LIssu alikosea, Mbowe hakuvunja katiba kuwa mwenyeti kwa muda mrefu

LIssu alikosea, Mbowe hakuvunja katiba kuwa mwenyeti kwa muda mrefu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Ni lini Lissu amewahi kupendekeza kuweka ukomo kwenye uongozi wa chama cha chadema akakataliwa?

Kwanini anaisema katiba kwenye mkutano wa bayana/hadhara badala ya kutumia vikao vya chama?

Kama chadema wanataka chama chao kife, basi wamkumbatie Lissu.

Dunia nzima sasa hivi imekumbatia dialogue badala ya jino kwa jino kama kule Sundani kwa aikna RSF na Jeshi, DRC na M23, Urusi na Ukraine, nk. Lissu anataka nginjangija inayopoteza watu weeeengi na mali zao badala ya dialogue.
 
Ni lini Lissu amewahi kupendekeza kuweka ukomo kwenye uongozi wa chama cha chadema akakataliwa?

Kwanini anaisema katiba kwenye mkutano wa bayana/hadhara badala ya kutumia vikao vya chama?

Kama chadema wanataka chama chao kife, basi wamkumbatie Lissu.

Dunia nzima sasa hivi imekumbatia dialogue badala ya jino kwa jino kama kule Sundani kwa aikna RSF na Jeshi, DRC na M23, Urusi na Ukraine, nk. Lissu anataka nginjangija inayopoteza watu weeeengi na mali zao badala ya dialogue.
Hakuna mahali Lissu alisema Mbowe amevunja Katiba kwa kukaa muda mrefu bali alisema yeye akiwa madarakani mojawapo ya mambo atakayofanya kuifanyia marekibisho Katiba ili kuweka ukomo wa vipindi vya uongozi. Lissu ndiye Mwenyekiti ajaye.
 
Hiyo dialogue iliyofanyika kwa jina la maridhiano imeleta matokeo gani?
Tusichoke na dialogue, hata akina Nyerere waliwafukuza wakoloni nchini kwa dialogue huku wakiendelea kuimarisha chama chao cha TANU. Vyama vyetu vya upinzani viko imara kiasi gani kuweza kuiongoza nchi? Tuna viongozi wanaohamahama kila siku kutafuta maslahi binafsi. Chadema ina wabunge wangapi bungeni hata wakichaguliwa kwenda Ikulu leo, au wataishia kutangaza Martial Law kama yule rais wa Korea Kusini? Tuache kudanganya watanzania vyama vyetu vya upinzani haviko tayari kuliongoza taifa, hata ofisi za kueleweka kila mkoa havina, ni kama saccos tu kila kiongozi kujitafutia maisha binafsi.
 
Hakuna mahali Lissu alisema Mbowe amevunja Katiba kwa kukaa muda mrefu bali alisema yeye akiwa madarakani mojawapo ya mambo atakayofanya kuifanyia marekibisho Katiba ili kuweka ukomo wa vipindi vya uongozi. Lissu ndiye Mwenyekiti ajaye.
Yeye ni makamu mwenyekiti na mwanasheria mkuu wa chama kwa miaka mingi, ni lini alishawahi kupeleka agenda kwenye mikutano kuhusu ukomo wa uongozi ndani ya chama?
 
Ni lini Lissu amewahi kupendekeza kuweka ukomo kwenye uongozi wa chama cha chadema akakataliwa?

Kwanini anaisema katiba kwenye mkutano wa bayana/hadhara badala ya kutumia vikao vya chama?

Kama chadema wanataka chama chao kife, basi wamkumbatie Lissu.

Dunia nzima sasa hivi imekumbatia dialogue badala ya jino kwa jino kama kule Sundani kwa aikna RSF na Jeshi, DRC na M23, Urusi na Ukraine, nk. Lissu anataka nginjangija inayopoteza watu weeeengi na mali zao badala ya dialogue.

Vijana wa kisasa mna vichwa vizito sana aisee, hebu nenda kareplay ile lecture utuonyeshe wapi Simba kasema Mwenyekiti Mbowe kavunja katiba au kamtaja tu. Tunajiuliza hizi div zero zinakua zinaongezeka deile wakati watoto wanaenda shule kila siku kwa nini? Kumbe hata kusikiliza tu hamjui sasa mtacompose nini namna hii?
 
Yeye ni makamu mwenyekiti na mwanasheria mkuu wa chama kwa miaka mingi, ni lini alishawahi kupeleka agenda kwenye mikutano kuhusu ukomo wa uongozi ndani ya chama?
Kama ungemsikiliza Lissu kwenye hotuba yake siku anatangaza nia usingeanzisha hii thread, alitoa maelezo ya kutosha kujibu hizi hoja zako, itafute usikilize .
 
Lissu anafanya kama vile hajakuwa kiongozi mkubwa chamani. Atoe ushahidi kuonyesha kama agenda zake ya kuboresha Katiba ya chama iligonga mwamba ndani ya vikao halali vya chama au zilikataliwa kufikishwa kwenye vikao. Na amtaje aliyezigongesha mwamba. Kuboresha katiba haiwezi kuwa agenda ya mwenyekiti, bali ajenda ya chama ikiungwa mkono na wajumbe na wanachama.
 
Kama ungemsikiliza Lissu kwenye hotuba yake siku anatangaza nia usingeanzisha hii thread, alitoa maelezo ya kutosha kujibu hizi hoja zako, itafute usikilize .
Nimemsikiliza mwanzo mwisho, lakini hakujibu maswali kama yalivyoulizwa, bali alitafuta upenjo ya kukwepa wajibu wake kama kiongozi mkuu (mwanasheria, makamu Mwenyekiti) wa chama. Katika hali ya kawaida alipaswa kujiuzulu nafasi zake kama ushauri wake ulikuwa hauzingatiwi kwenye vikao. Mbona hakujiuzulu uanasheria mkuu wa chama na umakamu mwenyekiti wa chama kama kweli ushuri wake ulikuwa hausikilizwi?
 
Hiyo dialogue iliyofanyika kwa jina la maridhiano imeleta matokeo gani?
Kaka dialogue haijawahi kushindwa jambo. ILA kabla ya kuchangua njia hii ya dialogue lazima kwanza ufanye SWOC (nguvu ulizonazo, udhaifu wako, fursa ulizonazo na changamoto zilizoko) Analysis kuhusu wewe mwenyewe kwa kujilinganisha na mpinzani wako. Dialogue ni njia ya uhakika lakini njia ndefu kidogo.

Hebu niambie wewe, Nguvu ya chadema ni ipi, udhaifu wake ni upi, fursa walizonazo ni zipi na changamoto zao ni zipi? bila kufanya hivi hawafika mbali. Maana fursa mojawapo waliokuwa nayo pale mwanzo ilikuwa kumia Jumuiya ya Ulaya na Marekani kusaidia kifedha, kukemea na kuweka vikwazo; lakini sasa hivi hata huko kwao wanalia na demokrasia hakuna, fedha hawana pia, maisha yao ni magumu pia. Lazima watafute fursa nyingine zilizopo kama vile kuwa na Rais mwenye 4Rs. Kwa unyenyekevu mkubwa watumie hizi 4Rs za Rais kujenga vyama vyao badala ya nginjanginja ya Lissu. Kama Nyerere angetaka nginjanginja dhidi ya wakoloni huenda hata Nyerere angeuawa na wakoloni au Uhuru ungechelewa kuliko ilivyokuwa.
 
Hakuna mahali Lissu alisema Mbowe amevunja Katiba kwa kukaa muda mrefu bali alisema yeye akiwa madarakani mojawapo ya mambo atakayofanya kuifanyia marekibisho Katiba ili kuweka ukomo wa vipindi vya uongozi. Lissu ndiye Mwenyekiti ajaye.
Maccm ni mabumunda kama mwenyekiti wao ndio maana kwasasa hayawezi kushinda uchaguzi wowote bila polis Kwa kiti chochote kinachogombaniwa na hii ni kutokana na akili zake za kijinga.
 
🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂
CHADEMA Digital yawakana Wana CHADEMA.

Nimefurahi sana leo. Mamluki na vibaraka wa mabeberu(AKA Chadema Digital) wameanza kujionyesha. Wanawakana wana CHADEMA wa Mbowe na wa Lissu.

Muwashauri wauze sera. Alooo
 
Tusichoke na dialogue, hata akina Nyerere waliwafukuza wakoloni nchini kwa dialogue huku wakiendelea kuimarisha chama chao cha TANU. Vyama vyetu vya upinzani viko imara kiasi gani kuweza kuiongoza nchi? Tuna viongozi wanaohamahama kila siku kutafuta maslahi binafsi. Chadema ina wabunge wangapi bungeni hata wakichaguliwa kwenda Ikulu leo, au wataishia kutangaza Martial Law kama yule rais wa Korea Kusini? Tuache kudanganya watanzania vyama vyetu vya upinzani haviko tayari kuliongoza taifa, hata ofisi za kueleweka kila mkoa havina, ni kama saccos tu kila kiongozi kujitafutia maisha binafsi.
Nadhani Tuishie Hapa.
 
Maccm ni mabumunda kama mwenyekiti wao ndio maana kwasasa hayawezi kushinda uchaguzi wowote bila polis Kwa kiti chochote kinachogombaniwa na hii ni kutokana na akili zake za kijinga.
Poleni sana.

Hivi CHADEMA wameshindwaje chaguzi zilizopita na Wajinga au "Mabumunda"

Uzeni sera. Sii maneno maneno.
 
Back
Top Bottom