Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Hakuna dialogue Kama mtawala wako ameshika risasi na tindikaliHakuna dialogue kama mpinzani wako ameshika panga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna dialogue Kama mtawala wako ameshika risasi na tindikaliHakuna dialogue kama mpinzani wako ameshika panga.
Lissu ni mwanaharaki kuliko mwanasiasa. Hana sera juu ya nini atalifanyia taifa akiingia Ikulu. Sera zake ni wamasai wa ngorongoro, DP world na Muungano. Lakini hasemi atafanya nini mbadala kwenye kilimo uvuvi, ufugaji, viwanda, uchimbaji na biashara vitoe tija kuliko ilivyo sasaPoleni sana.
Hivi CHADEMA wameshindwaje chaguzi zilizopita na Wajinga au "Mabumunda"
Uzeni sera. Sii maneno maneno.