Kama Lisu wa Leo ni dhaifu kiasi hiki,basi CHADEMA ni dhaifu mara 1000 ya Lisu,haiwezekani wala haiingi akili hata kwa mtoto mdogo kuona kwamba mtu alieaminiwa kuwa anafaa kuwa Raisi,akawaikilisha CHADEMA,leo aonekane hawezi kuongoza.
Wapinzania waliseme tena CCM kuwa inawaibia,bali wapinzani wa aina ya hizi hoja wanadhirisha kuwa CCM inashinda kwa kihalali kwa sababu upinzani huchagua watu dhaifu.
Bora kusema tu kwa sasa Lisu hatakiwi lakini siyo kwamba anaweza kuleta madhara kama haya yaliyoandikwa hapo,au ndo upinzani walikuwa wanataka kuuzia watanzania mbuzi kwenye gunia.