LIssu alikuwa kiongozi wa Chama cha Wanasheria wa Mazingira (LEAT), kimekufa baada ya Lissu na Nshala kufanya ubadhirifu, ndio apewe CHADEMA?

LIssu alikuwa kiongozi wa Chama cha Wanasheria wa Mazingira (LEAT), kimekufa baada ya Lissu na Nshala kufanya ubadhirifu, ndio apewe CHADEMA?

LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Myanmar, ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Kumbe zile harakati zake migodini ilikuwa analipwa na wafadhili!! 🤔
 
Kumbe zile harakati zake migodini ilikuwa analipwa na wafadhili!! 🤔
Kalipwa fedha nyingi sana, sawa na Deogratius Kibamba wa jukwaa la katiba, baada ya serikali kusitisha mchakato, kala hela zote kisha akaua taasisi, sasa haina nguvu
 
LEAT ilikuwa ni moja kati ya taasisi kubwa sana, ikipokea mabilioni kutoka kwa wafadhili, kiasi kwamba ikawa na ofisi mikoani, pale Mwanza walikuwa na ofisi jengo la Nyanza ghorofa ya juu,.

LEAT haikudumu. Lissu na Nshalla na mwenzao mmoja sasa marehemu walifyeka hela zote na kuingiza mifukoni mwao kiasi kwamba taasisi ikafa. Utawala wa hovyo ulitamalaki, mpaka leo wameacha madeni ya mishahara ya wafanyakazi.

Huyu ndio mumkabidhi chadema? Like serious? Lile jumba lake pamoja na la Nshalla yalijengwa wakati wizi umetamalaki LEAT.

Chadema sio taasisi ya majaribio!
Chama cha wanasheria kina hela gani boss, au ni chama cha wauza unga nini?
 
Chama cha wanasheria kina hela gani boss, au ni chama cha wauza unga nini?
Walikuwa nazo nyingi sana, nadhani hata nyumba yake aliijenga kwa kutegemea wizi wa hela za LEAT
 
Kama Lisu wa Leo ni dhaifu kiasi hiki,basi CHADEMA ni dhaifu mara 1000 ya Lisu,haiwezekani wala haiingi akili hata kwa mtoto mdogo kuona kwamba mtu alieaminiwa kuwa anafaa kuwa Raisi,akawaikilisha CHADEMA,leo aonekane hawezi kuongoza.
Wapinzania waliseme tena CCM kuwa inawaibia,bali wapinzani wa aina ya hizi hoja wanadhirisha kuwa CCM inashinda kwa kihalali kwa sababu upinzani huchagua watu dhaifu.
Bora kusema tu kwa sasa Lisu hatakiwi lakini siyo kwamba anaweza kuleta madhara kama haya yaliyoandikwa hapo,au ndo upinzani walikuwa wanataka kuuzia watanzania mbuzi kwenye gunia.
 
Kama Lisu wa Leo ni dhaifu kiasi hiki,basi CHADEMA ni dhaifu mara 1000 ya Lisu,haiwezekani wala haiingi akili hata kwa mtoto mdogo kuona kwamba mtu alieaminiwa kuwa anafaa kuwa Raisi,akawaikilisha CHADEMA,leo aonekane hawezi kuongoza.
Wapinzania waliseme tena CCM kuwa inawaibia,bali wapinzani wa aina ya hizi hoja wanadhirisha kuwa CCM inashinda kwa kihalali kwa sababu upinzani huchagua watu dhaifu.
Bora kusema tu kwa sasa Lisu hatakiwi lakini siyo kwamba anaweza kuleta madhara kama haya yaliyoandikwa hapo,au ndo upinzani walikuwa wanataka kuuzia watanzania mbuzi kwenye gunia.
Hizi taarifa zilikuwa hazijaibuka hadharani
 
Za kuambiwa ……..
 

Attachments

  • IMG_4986.jpeg
    IMG_4986.jpeg
    124.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom