Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa Makamu Mwenyekiti, baada ya kupata Uenyekiti kimyaa

Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa Makamu Mwenyekiti, baada ya kupata Uenyekiti kimyaa

Kwa hiyo kabla hajawa mwenyekiti alikuwa hajui idadi ya wanachama wakati alikuwa makamu mwenyekiti? Au unaumia Lissu kukabidhiwa ofisi na sio Mbowe? Hata kama atakuta huko ofisini mwanachama hai ni yeye peke yake furaha yetu ni kuona Mbowe na team yake waliotawala miongo 2 plus wameondoka basi. Hayo mengine tumuachie yule mkulima wa bamia kule kijijini Mbutu Block E.
Kwa lengo kumtoa mbowe sio ccm? Dah
 
Hata kama atakuta huko ofisini mwanachama hai ni yeye peke yake furaha yetu ni kuona Mbowe na team yake waliotawala miongo 2 plus wameondoka basi. Hayo mengine tumuachie yule mkulima wa bamia kule kijijini Mbutu Block E.
Kwa hiyo ndio sera ya Lisu hiyo na timu yake? Mnasikitisha sana

Kwa hiyo Lisu atakuwa mwenyekiti kwa muda gani?
 
Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa makamu mwenyrkiti ,baada ya kupata uenyekiti kimyaa. Uenyekiti sio lelemama alidhani lelemama.

Kuna taarifa za ndani kuwa alichokikuta baada ya kukabidhiwa kiti hakuamini macho yake.

Kabla kushika kiti aliaminishwa kuwa Chadema ina wanachama milioni nane kumbe ilikuwa propaganda tu kufika ofisini kakuta takwimu zinaonyesha wako laki nne na waliolipia ada za mwaka ni elfu 2 tu ambao ndio wanachama hai wa Chadema.

Kwenye kikao cha makabidhiano kilichofanyika hotelini Bagamoyo Lissu aligoma katakata kuongea na waandishi wa habari akidai hicho ni kikao cha kazi hakihitaji waandishi wa habari tofauti na tabia yake alikuwa nayo akiwa makamu mwenyekiti ya kupenda media kila akiwepo ziwepo kuwa yeye anapenda uwazi wa chochote cha chama sababu chama ni cha wananchi sasa hivi kaanza kukimbia media.
Kijamaa kiongo wewe hatari!
 
Hakuna kiongozi wa jumuiya yoyote halali Tanzania aliye kinyume na utawala. Nililisema hili hata kwa Mwambukusi.

Uongozi ni dhamana kubwa na ngumu sana kuitendea kazi, sababu mifumo inasomana na ndio uzuri wetu.
Uko sahihi
 
Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa makamu mwenyrkiti ,baada ya kupata uenyekiti kimyaa. Uenyekiti sio lelemama alidhani lelemama.

Kuna taarifa za ndani kuwa alichokikuta baada ya kukabidhiwa kiti hakuamini macho yake.

Kabla kushika kiti aliaminishwa kuwa Chadema ina wanachama milioni nane kumbe ilikuwa propaganda tu kufika ofisini kakuta takwimu zinaonyesha wako laki nne na waliolipia ada za mwaka ni elfu 2 tu ambao ndio wanachama hai wa Chadema.

Kwenye kikao cha makabidhiano kilichofanyika hotelini Bagamoyo Lissu aligoma katakata kuongea na waandishi wa habari akidai hicho ni kikao cha kazi hakihitaji waandishi wa habari tofauti na tabia yake alikuwa nayo akiwa makamu mwenyekiti ya kupenda media kila akiwepo ziwepo kuwa yeye anapenda uwazi wa chochote cha chama sababu chama ni cha wananchi sasa hivi kaanza kukimbia media.
Tatizo la vijana wa siku hizi ni wakurupukaji sana umapenda trend tu wala sio hoja. Lissu yupo serious sio mambo ya utani na anapanga sera na Chama chake. Sasa ni kiongozi wa taasisi muda wa kampeni umeisha kuwa muongeaji wa chama na yeye ataenda kuongea na watanzania akikamilisha agenda. Sio kila siku atakuwa kwenye media bila sababu. wakati ule ilikuwa kampeni sasa akienda kwenye media ni sera za nchi
 
Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa makamu mwenyrkiti ,baada ya kupata uenyekiti kimyaa. Uenyekiti sio lelemama alidhani lelemama.

Kuna taarifa za ndani kuwa alichokikuta baada ya kukabidhiwa kiti hakuamini macho yake.

Kabla kushika kiti aliaminishwa kuwa Chadema ina wanachama milioni nane kumbe ilikuwa propaganda tu kufika ofisini kakuta takwimu zinaonyesha wako laki nne na waliolipia ada za mwaka ni elfu 2 tu ambao ndio wanachama hai wa Chadema.

Kwenye kikao cha makabidhiano kilichofanyika hotelini Bagamoyo Lissu aligoma katakata kuongea na waandishi wa habari akidai hicho ni kikao cha kazi hakihitaji waandishi wa habari tofauti na tabia yake alikuwa nayo akiwa makamu mwenyekiti ya kupenda media kila akiwepo ziwepo kuwa yeye anapenda uwazi wa chochote cha chama sababu chama ni cha wananchi sasa hivi kaanza kukimbia media.
Naona kila mtu anaamua tu kuandika kile kinachompa furaha hata kama hajui kitu chochote juu ya kile anachoandika. Cha msingi ni kufurahisha fuvu na moyo.
 
Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa makamu mwenyrkiti ,baada ya kupata uenyekiti kimyaa. Uenyekiti sio lelemama alidhani lelemama.

Kuna taarifa za ndani kuwa alichokikuta baada ya kukabidhiwa kiti hakuamini macho yake.

Kabla kushika kiti aliaminishwa kuwa Chadema ina wanachama milioni nane kumbe ilikuwa propaganda tu kufika ofisini kakuta takwimu zinaonyesha wako laki nne na waliolipia ada za mwaka ni elfu 2 tu ambao ndio wanachama hai wa Chadema.

Kwenye kikao cha makabidhiano kilichofanyika hotelini Bagamoyo Lissu aligoma katakata kuongea na waandishi wa habari akidai hicho ni kikao cha kazi hakihitaji waandishi wa habari tofauti na tabia yake alikuwa nayo akiwa makamu mwenyekiti ya kupenda media kila akiwepo ziwepo kuwa yeye anapenda uwazi wa chochote cha chama sababu chama ni cha wananchi sasa hivi kaanza kukimbia media.
Unamsikia Mwabukusi? Kelele zilikuwa njaa ya pesa na ya madaraka. Angepata urais je?
 
Jikuma la ccm ww ulitaka aongee nn zaidi ya kujipanga na mikakati ya kuwamaliza majizi ya taifa hili
 
Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa makamu mwenyrkiti ,baada ya kupata uenyekiti kimyaa. Uenyekiti sio lelemama alidhani lelemama.
Lissu ni yule yule acheni Propaganda zenu.
 
Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa makamu mwenyrkiti ,baada ya kupata uenyekiti kimyaa. Uenyekiti sio lelemama alidhani lelemama.

Kuna taarifa za ndani kuwa alichokikuta baada ya kukabidhiwa kiti hakuamini macho yake.

Kabla kushika kiti aliaminishwa kuwa Chadema ina wanachama milioni nane kumbe ilikuwa propaganda tu kufika ofisini kakuta takwimu zinaonyesha wako laki nne na waliolipia ada za mwaka ni elfu 2 tu ambao ndio wanachama hai wa Chadema.

Kwenye kikao cha makabidhiano kilichofanyika hotelini Bagamoyo Lissu aligoma katakata kuongea na waandishi wa habari akidai hicho ni kikao cha kazi hakihitaji waandishi wa habari tofauti na tabia yake alikuwa nayo akiwa makamu mwenyekiti ya kupenda media kila akiwepo ziwepo kuwa yeye anapenda uwazi wa chochote cha chama sababu chama ni cha wananchi sasa hivi kaanza kukimbia media.
We umexipata wp hz hbr kama sio umbea
 
Si mmesema anaongea sana mpaka mkashauri media zisimrekodi live ziwe zinafanya edit ndio zilirushe hewani kwa hofu ya kuogopa kufungiwa, kisa tu lissu anaongea ukweli bila uthibitisho. Leo mtanataka aongee!?
 
Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa makamu mwenyrkiti ,baada ya kupata uenyekiti kimyaa. Uenyekiti sio lelemama alidhani lelemama.

Kuna taarifa za ndani kuwa alichokikuta baada ya kukabidhiwa kiti hakuamini macho yake.

Kabla kushika kiti aliaminishwa kuwa Chadema ina wanachama milioni nane kumbe ilikuwa propaganda tu kufika ofisini kakuta takwimu zinaonyesha wako laki nne na waliolipia ada za mwaka ni elfu 2 tu ambao ndio wanachama hai wa Chadema.

Kwenye kikao cha makabidhiano kilichofanyika hotelini Bagamoyo Lissu aligoma katakata kuongea na waandishi wa habari akidai hicho ni kikao cha kazi hakihitaji waandishi wa habari tofauti na tabia yake alikuwa nayo akiwa makamu mwenyekiti ya kupenda media kila akiwepo ziwepo kuwa yeye anapenda uwazi wa chochote cha chama sababu chama ni cha wananchi sasa hivi kaanza kukimbia media.
Wewe ni takataka.

Ni majuzi tu hapa mlisema Lissu anaongea sana!

Takataka msiojitambua
 
Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa makamu mwenyrkiti ,baada ya kupata uenyekiti kimyaa. Uenyekiti sio lelemama alidhani lelemama.

Kuna taarifa za ndani kuwa alichokikuta baada ya kukabidhiwa kiti hakuamini macho yake.

Kabla kushika kiti aliaminishwa kuwa Chadema ina wanachama milioni nane kumbe ilikuwa propaganda tu kufika ofisini kakuta takwimu zinaonyesha wako laki nne na waliolipia ada za mwaka ni elfu 2 tu ambao ndio wanachama hai wa Chadema.

Kwenye kikao cha makabidhiano kilichofanyika hotelini Bagamoyo Lissu aligoma katakata kuongea na waandishi wa habari akidai hicho ni kikao cha kazi hakihitaji waandishi wa habari tofauti na tabia yake alikuwa nayo akiwa makamu mwenyekiti ya kupenda media kila akiwepo ziwepo kuwa yeye anapenda uwazi wa chochote cha chama sababu chama ni cha wananchi sasa hivi kaanza kukimbia media.
Utakuwa ni bonge la kiazi, kama amekuta hakuko sawa yeye kosa lake ni nini?
 
Labda media ndiyo hazimtafuti tena!

Huwa si mchoyo wa kuongea/kutoa maoni! 😄
 
Kikao alichofanya bagamoyo cha makabidhiano kwa nini aligoma kuongea na waandishi wa habari wakati yeye ndie mpinga usiri kwenye vitu vya chama akiwa makamu mwenyekiti? Anaficha nini kwani wakati akiwa makamu alisema mambo ya chama huhitaji uwazi hakuna cha kuficha wala siri ya kikao cha chama

Vyote vinatakiwa kuwekwa hadharani

Haya twende kazi ya kikao cha bagamoyo mbona kaufyata ?
Kama unampenda sana Mbowe nenda kaishi naye. Mkubali kuwa TL ndiye Mwenyekiti wa CDM hutaki tumia gunzi.lakini Mbowe mnaye kwa nini msiendelee naye tu muite Mwenyekiti wa Familia yako badala ya kumuitwa mpendwa mwite Mwenyekiti maana nyie si ndo mnakuwa viti vyake?😁

Kuna wakati wa kuongea na wakati wa kunyamaza. Kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka. Kila jambo na wakati wake. Kama unampenda sana Mbowe ongea naye muishi wote kama mkewe atakukubalia. Ili uendelee ku enjoy.
 
Back
Top Bottom