Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama D kimekukumba nini? alikuja kupata wadhamini, sasa hotuba wapi na wapi? Wakija anawahutubia, wakikosekana anaondoka as long as amepata wadhamini!
Mbona wamejieleza wenyewe hapo kuwa hakukuwa na taarifa ya mapema, afterall amepita asbuhi sana hapo ila nadhani wote tumeona mchana pale Busega alivyopata watu wengi na safari nzima hadi Tarime.Msikilize alivyoshangaa na wewe unisaidie kushangaa. Sijui yeye alitegemea kukuta nini
asante kwa TaarifaEeeee Uzi tayari
Vumilia JF ni jukwaa huru na haliendeshwi kwa matusi
Umepagawa?Nimemskia anataja idadi ya watu aliokutana nao ktk maeneo mengine. Kwani anafuata wadhamini au kujaza watu ( nyomi )?
Na je anajua nyomi ni kokoro tu wanaenda wapiga kura na wasiopiga kura?, Pia wapo wapiga kura wake na wasio wake pia, wapo wachangamkia fursa (wafanya bishara ndogondgo) wanaozunguka kufuata walaji.
So asipende kujidanganya kwa wingi wa watu. Bado mdogo sana kisiasa huyu mwanasheria machachari asie na nidhamu kwa wenzake.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Mbona inaonyesha hakuwa na ratiba ya Mwanza bali alipita tu.Mwanza kunani
View attachment 1536820
Mbona wamejieleza wenyewe hapo kuwa hakukuwa na taarifa ya mapema, afterall amepita asbuhi sana hapo ila nadhani wote tumeona mchana pale Busega alivyopata watu wengi na safari nzima hadi Tarime.
Akipata watu ooh mafuriko hayana kura, akisuprise watu ooh amechokwa!! Sasa kivp akataliwe Mwanza alafu akubalike porini huko Busega na Magu? Hata Logic inakataa.
Wapi nimesema Busega ni jiji la Mwanza? Logic ni kwamba kivp apate watu vijijini ambako ndio ngome ya CCM alafu akose watu mjini?Busega siyo Jiji la Mwanza
Mwanza kunani
View attachment 1536820
Hawa machoco sio wa kubishana nao, watakupa headacheAkipata watu, mnasema amewanunua au ni mamluki wa ccm wamejivika magwanda!
...akikutana na watu wawili mnasema hali mbaya!
Tuwaeleweje nyie mataga? Mnataka nini...!?
Btw subirini mtakipata mnachokitafuta!!