Uchaguzi 2020 Lissu alipowasili Mwanza aliahirisha kuzungumza alichokua amepanga baada ya kupata idadi ndogo wananchi

Uchaguzi 2020 Lissu alipowasili Mwanza aliahirisha kuzungumza alichokua amepanga baada ya kupata idadi ndogo wananchi

Akipata watu, mnasema amewanunua au ni mamluki wa ccm wamejivika magwanda!
...akikutana na watu wawili mnasema hali mbaya!
Tuwaeleweje nyie mataga? Mnataka nini...!?
Btw subirini mtakipata mnachokitafuta!!
Kweli kabisa kinachotafutwa kitapatikana tuu
 
Mbona wamejieleza wenyewe hapo kuwa hakukuwa na taarifa ya mapema, afterall amepita asbuhi sana hapo ila nadhani wote tumeona mchana pale Busega alivyopata watu wengi na safari nzima hadi Tarime.

Akipata watu ooh mafuriko hayana kura, akisuprise watu ooh amechokwa!! Sasa kivp akataliwe Mwanza alafu akubalike porini huko Busega na Magu? Hata Logic inakataa.
Kumbe na nyie wanasombwa na malori
 
Alikuja akaishia nyegezi ndipo akageuza kurudi kupitia njia ya kusagala kisesa
Hili jukwaa limevamiwa, Lissu hakuingia jijini mwanza kwani alipita Usagara na kutokea Kisesa akaelekea Musoma.
Danganya wajinga wenzio tu
 
Alikuja akaishia nyegezi ndipo akageuza kurudi kupitia njia ya kusagala kisesa
Ratiba yake ilikuwa aende Mwanza then Geita ndio aende Mara, kaona upepo sio mzuri kapiga gear ya angani kama ndege ya kivita, kapita uchochoro katokezea kisesa huyo Tarime hata musoma hakupita, pale Bunda kahutubia sokoni, karudi usiku usiku kala chochoka ya bariadi katokezea maganzo huyo Arusha, hivi hizi gari zinakimbiaje? jana alikuwa Tarime leo yuko Arusha msijetugongea Punda wetu mkatuharibia maisha
 
Back
Top Bottom