jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Weka ratibaMagufuli alitakiwa kuwa Iringa , naye wameshamuandikia barua ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka ratibaMagufuli alitakiwa kuwa Iringa , naye wameshamuandikia barua ?
[emoji3577]kesho tutakuwa serengeti , ila tunairuhusu Tume kupanda majukwaani kumnadi mgombea wa ccm
😂😂😂😂 wakikujibu nitaggMagufuli alitakiwa kuwa Iringa , naye wameshamuandikia barua ?
Hata NEC imesheheni wanasheria nguli!Hivi NEC bado haijajua uchaguzi huu una mgombea mwanasheria nguli?
Magufuli ni Rais wa Tanzania .. anafanya kampeni na majukumu yake ..who is Lissu??Mbona Magufuli yy tarehe 26 alitakiwa awepo shinyanga lkn alikua na kikao na wakurugenzi wa tume
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Naomba ratiba ya Kasimu Mkuu jingalao maana nae anagombea uwaziri mkuu😄😄. Nyie ma ccm mshapanikiWeka ratiba
Hoja ni Lisu lakini wewe robotti unalazimisha tujadili Magufuli.Mbona Magufuli yy tarehe 26 alitakiwa awepo shinyanga lkn alikua na kikao na wakurugenzi wa tume
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
MATAGA unachekesha sana, unaweza kuta kuna wazazi wanakuhesabu kama mtoto waoMagufuli ni Rais wa Tanzania .. anafanya kampeni na majukumu yake ..who is Lissu??