Pre GE2025 Lissu: Aliyemleta Abdul kunihonga anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti na anamuunga mkono 'Mwenyekiti'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
N
SIASA NI KAMA DINI TU WATU WAKIKUAMINI HATA UCHAFUE VIPI HAWAKUSIKII YAANI WATU KWA MBOWE HATA USEME ANAKULA WATU HAWATA KUELEWA WATAMCHAGUA TU
Naam ,Imani, imani ni hatari tupu
 
Eeh ndivyo walivyo !
 
Tumia akili wewe zuzu la ccm
 
Mhmm alitakaje, hiyo nafasi ibaki wazi?
Atulie atashinda, aache kuchanganyikiwa mapema, akishindwa si basi, kelele za nini?
 
Yaani wanachama wa chadema wanavyojidai rushwa kwao mwiko sijui saiv wako vip
 
Unaakili sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…