Uchaguzi 2020 Lissu ameahidi kurejesha mishahara ya Watumishi waliogombea

Uchaguzi 2020 Lissu ameahidi kurejesha mishahara ya Watumishi waliogombea

•LISU AMESEMA WATUMISHI WALIONGOMBEA NA KUSITISHIWA MISHAHARA YAO,WATAREJESHEWA KAMA MAPUNJO YA MSHAHARA WA KAWAIDA,AMESEMA WATUMISHI WALILADHIMISHWA KUANDIKA BARUA ZA RIKIZO ZISIZO KUA NA MALIPO YA MIEZI MIWILI,

•LISU AMESEMA HUU NI WIZI KAMA WIZI MWINGINE,AMEHOJI MAMBO YAFUATAYO,:

JPM WAKATI ANAGOMBEA BIHALAMURO AKIWA MWALIMU ALIKATWA MSHAHARA?LISU AMEULIZA JE WATUMISHA WANAODAIWA NA MABENK WANAREJESHAJE MAREJESHO YAO ?MABENKI YAMELAZIMU KUKATA MISHAHARA YAO YA KAWAIDA,

•LISU AMESEMA MTUMISHI AMEKAA MIEZI MIWILI BILA KULIPWA MSHAHARA LEO MSHAHARA UNAINGIA ANAKATWA REJESHO LA JULY,BADO HAJALIPA MADENI YA MTAANI NA FAMILIA INABAKI NA HAKUNA MSHAHARA,

•LISU AMESEMA HAYA YATAISHA OCTOBER 28,SERIKALI ITARUDISHA MAREJESHO YA BENKI NA MISHAHARA YAO,

•TUWAANGALIE SANA HAWA WATUMISHI WALIOGOMBEA KUPITIA CCM,NA WALIKUWA WATUMISHI NA WANAELEMENT ZA KISIASA WAMEJIPANGA KUIHARIBU KABISA CCM,KWA KUWADOKEZA WAPINZANI HABARI KAMA HIZI,WENGINE WANASEMA WAMEKICHANGIA CHAMA KWA KIASI KIKUBWA SANA KUPITIA FORM ZAO

•POLEPOLE UNATAKIWA KUJIBU HOJA ZA LISU ,
Huko Kanda ya Ziwa BUSEGA kuna jamaa zangu 12 WAlichangia MILIONI MOJA nje na Kulipia form kila moja
 
July na August walikata. Unaingia sept na Oct tunalipa madeni ya bank ya JULY na August . Kwa ujumla watumishi waliotia Nia zaidi ya 7000 miezi minne hakuna Mishahara. Ccm waondoke tu.
Ni kweli. Mm kila nikijaribu kuitoa inakwama. Kumbe ndiyo Bank wameshikia pesa yangu kuchukua malimbikizo yao. Then nivote kwa kwa aliyesabsbisha haye, hapana. CCM naipenda sana na bado kitaendelea kuwa chama changi ila kwa maumivu haya nasema hapana. I needy salary back before I vote to my party. No salary no my vote.
 
I am also a victim of this. So far my salary has been withheld by the bank to the extent that I have failed to withdraw even ten shillings. Seriously, how and why should I votes for those who tormented me for two months?. Impossible! First CCM must clear this matter before forcusing to our votes.
I am also a victim of this. So far my salary has been withheld by the bank to the extent that I have failed to withdraw even ten shillings. Seriously, how and why should I votes for those who tormented me for two months?. Impossible! First CCM must clear this matter before forcusing to our votes.
Yakiwakuta, ndio mnajua Magu hafai!
 
Ni kweli. Mm kila nikijaribu kuitoa inakwama. Kumbe ndiyo Bank wameshikia pesa yangu kuchukua malimbikizo yao. Then nivote kwa kwa aliyesabsbisha haye, hapana. CCM naipenda sana na bado kitaendelea kuwa chama changi ila kwa maumivu haya nasema hapana. I needy salary back before I vote to my party. No salary no my vote.
Dear, hata mimi nimekumbwa na hii sintofahamu. Sijui tutafanyaje kuishi..hakyamungu nimejiangalia kwenye kioo cha benk yaan sura imegeuka imekuwa kama ya zombi
View attachment 1581536
 
Hiyo ni Haki yao ila haiondoi uhalifu uliofanyika na maKatibu Mkuu Hazina/Utumishi wa Umma wanatakiwa kuwajibika,watumishi hawa asilimia 100 waligombea huko huko CCM,je hawajasomeshwa namba hawa Makada?
Tujiulize kungekuwa na waliogombea kupitia upinzani kingewafika kipi?Ubaguzi umekithiri sana nchi hii.
 
Hiyo ni Haki yao ila haiondoi uhalifu uliofanyika na maKatibu Mkuu Hazina/Utumishi wa Umma wanatakiwa kuwajibika,watumishi hawa asilimia 100 waligombea huko huko CCM,je hawajasomeshwa namba hawa Makada?
Tujiulize kungekuwa na waliogombea kupitia upinzani kingewafika kipi?Ubaguzi umekithiri sana nchi hii.
katibu mkuu utumishi na hazina wanatakiwa kijibu hoja ,la sivyo tumeanza kuamini kua ccm inadhama kabisaaa
 
Hiyo ni Haki yao ila haiondoi uhalifu uliofanyika na maKatibu Mkuu Hazina/Utumishi wa Umma wanatakiwa kuwajibika,watumishi hawa asilimia 100 waligombea huko huko CCM,je hawajasomeshwa namba hawa Makada?
Tujiulize kungekuwa na waliogombea kupitia upinzani kingewafika kipi?Ubaguzi umekithiri sana nchi hii.
yani polepole anakuja na hoja za hovyoooo hajui wao ndo wamewasaliti wana ccm wenzao?
 
Pale mgombea anapoleta mahaba kwenye sheria.

Nani ampigie kura mtu kisa mshahara wa mwezi mmoja??

Jamaa kaishiwa vya kuzungumza,

Ilani ya chama ni mbovu,

Haina mvuto anaishia kuzungumzia ya wenzake tu,

Hana na hawezi kuwaambia wananchi atawaletea vipi maendeleo zaidi ya haya yaliyofanywa na CCM.
Username na avatar vinasadifu yaliyomo kwenye ubongo wako.
 
Back
Top Bottom