yani kuna watu wanauhinga,hii hoja imegusa watu elfu7000,na familia zao mtu analeta mzaha wa kijinga aaisee,yani jpm huna kura kwa hawa watu,wengi wanajipendekeza kwako ona sasa inavyokula kwakoPunguza mahaba kijana, Lissu anagusa maisha ya kila mtanzania, hiyo buku 7 unayopewa isikuondolee utimamu wa kufikiri.
hani tumekata tamaa sana jamaniHaya ndy maswali mhimu nyakati hizi...Pole pole hawezi jibu maswali haya halafu kwann JPM ashindwe kujitokeza kujibu hoja hizi zote yeye mwenyewe ispokua amtumie pole pole ambae hupiga tu Porojo kama vile a naongea na watoto...Pole pole anaifukia CCM shimoni. Japo najua ndy nyakat Mungu ameamua kutumia hyu kuifuta CCM....madarakani
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Tuungane na LISSU bila kujali ITIKADI ZETU kwa Nguvu zote Hii kitu TAYARIhuyu ni katili kabisaa ,watoto wa watu wanakitapia mlo kwa sasa,
wewe utakua ndio mtumish uliyesain.lisu amehoji watumishi mwezi wa saba walisaini daftari la mahuzurio,mwezi mzima inamaana waliomba likizo isiyokua na malipo ya mwezi wa saba huku wakiendelea kusaini?huu ni utata kisheria,lisu amesema mtumishi hawezi kuipa serikali ofa au service free,huu ninitata kisheria kwa katibu mkuu
Lau kama ningekuwa na uwezo kuviangamiza vyama vya siasa ningeanza nan ccm kisha cuf na Nccr•LISU AMESEMA WATUMISHI WALIONGOMBEA NA KUSITISHIWA MISHAHARA YAO,WATAREJESHEWA KAMA MAPUNJO YA MSHAHARA WA KAWAIDA,AMESEMA WATUMISHI WALILADHIMISHWA KUANDIKA BARUA ZA RIKIZO ZISIZO KUA NA MALIPO YA MIEZI MIWILI,
•LISU AMESEMA HUU NI WIZI KAMA WIZI MWINGINE,AMEHOJI MAMBO YAFUATAYO,:
JPM WAKATI ANAGOMBEA BIHALAMURO AKIWA MWALIMU ALIKATWA MSHAHARA?LISU AMEULIZA JE WATUMISHA WANAODAIWA NA MABENK WANAREJESHAJE MAREJESHO YAO ?MABENKI YAMELAZIMU KUKATA MISHAHARA YAO YA KAWAIDA,
•LISU AMESEMA MTUMISHI AMEKAA MIEZI MIWILI BILA KULIPWA MSHAHARA LEO MSHAHARA UNAINGIA ANAKATWA REJESHO LA JULY,BADO HAJALIPA MADENI YA MTAANI NA FAMILIA INABAKI NA HAKUNA MSHAHARA,
•LISU AMESEMA HAYA YATAISHA OCTOBER 28,SERIKALI ITARUDISHA MAREJESHO YA BENKI NA MISHAHARA YAO,
•TUWAANGALIE SANA HAWA WATUMISHI WALIOGOMBEA KUPITIA CCM,NA WALIKUWA WATUMISHI NA WANAELEMENT ZA KISIASA WAMEJIPANGA KUIHARIBU KABISA CCM,KWA KUWADOKEZA WAPINZANI HABARI KAMA HIZI,WENGINE WANASEMA WAMEKICHANGIA CHAMA KWA KIASI KIKUBWA SANA KUPITIA FORM ZAO
•POLEPOLE UNATAKIWA KUJIBU HOJA ZA LISU ,
Huyu jamaa Sera yake ni ipi? Sijui hata kama anajua ilani ya chadema ina kurasa ngapi! Ndo tatizo la kumpa ugombea mtu ambaye hakushiriki hata kuandika ilani, kutwa alikuwa anazulura tu ubelgiji, afu eti ndo think tank ya chandimu, hahahaha•LISU AMESEMA WATUMISHI WALIONGOMBEA NA KUSITISHIWA MISHAHARA YAO,WATAREJESHEWA KAMA MAPUNJO YA MSHAHARA WA KAWAIDA,AMESEMA WATUMISHI WALILADHIMISHWA KUANDIKA BARUA ZA RIKIZO ZISIZO KUA NA MALIPO YA MIEZI MIWILI,
•LISU AMESEMA HUU NI WIZI KAMA WIZI MWINGINE,AMEHOJI MAMBO YAFUATAYO,:
JPM WAKATI ANAGOMBEA BIHALAMURO AKIWA MWALIMU ALIKATWA MSHAHARA?LISU AMEULIZA JE WATUMISHA WANAODAIWA NA MABENK WANAREJESHAJE MAREJESHO YAO ?MABENKI YAMELAZIMU KUKATA MISHAHARA YAO YA KAWAIDA,
•LISU AMESEMA MTUMISHI AMEKAA MIEZI MIWILI BILA KULIPWA MSHAHARA LEO MSHAHARA UNAINGIA ANAKATWA REJESHO LA JULY,BADO HAJALIPA MADENI YA MTAANI NA FAMILIA INABAKI NA HAKUNA MSHAHARA,
•LISU AMESEMA HAYA YATAISHA OCTOBER 28,SERIKALI ITARUDISHA MAREJESHO YA BENKI NA MISHAHARA YAO,
•TUWAANGALIE SANA HAWA WATUMISHI WALIOGOMBEA KUPITIA CCM,NA WALIKUWA WATUMISHI NA WANAELEMENT ZA KISIASA WAMEJIPANGA KUIHARIBU KABISA CCM,KWA KUWADOKEZA WAPINZANI HABARI KAMA HIZI,WENGINE WANASEMA WAMEKICHANGIA CHAMA KWA KIASI KIKUBWA SANA KUPITIA FORM ZAO
•POLEPOLE UNATAKIWA KUJIBU HOJA ZA LISU ,
Hivi mnajua hata sheria na taratibu za serikali? Kama hata sheria hamjui nchi mtaiongoza kweli? Labda kwa matamko!wewe utakua ndio mtumish uliyesain.
NITAMPA KURA YANGU,MIEZI MIWILI SINA MSHAHARA•LISU AMESEMA WATUMISHI WALIONGOMBEA NA KUSITISHIWA MISHAHARA YAO,WATAREJESHEWA KAMA MAPUNJO YA MSHAHARA WA KAWAIDA,AMESEMA WATUMISHI WALILADHIMISHWA KUANDIKA BARUA ZA RIKIZO ZISIZO KUA NA MALIPO YA MIEZI MIWILI,
•LISU AMESEMA HUU NI WIZI KAMA WIZI MWINGINE,AMEHOJI MAMBO YAFUATAYO,:
JPM WAKATI ANAGOMBEA BIHALAMURO AKIWA MWALIMU ALIKATWA MSHAHARA?LISU AMEULIZA JE WATUMISHA WANAODAIWA NA MABENK WANAREJESHAJE MAREJESHO YAO ?MABENKI YAMELAZIMU KUKATA MISHAHARA YAO YA KAWAIDA,
•LISU AMESEMA MTUMISHI AMEKAA MIEZI MIWILI BILA KULIPWA MSHAHARA LEO MSHAHARA UNAINGIA ANAKATWA REJESHO LA JULY,BADO HAJALIPA MADENI YA MTAANI NA FAMILIA INABAKI NA HAKUNA MSHAHARA,
•LISU AMESEMA HAYA YATAISHA OCTOBER 28,SERIKALI ITARUDISHA MAREJESHO YA BENKI NA MISHAHARA YAO,
•TUWAANGALIE SANA HAWA WATUMISHI WALIOGOMBEA KUPITIA CCM,NA WALIKUWA WATUMISHI NA WANAELEMENT ZA KISIASA WAMEJIPANGA KUIHARIBU KABISA CCM,KWA KUWADOKEZA WAPINZANI HABARI KAMA HIZI,WENGINE WANASEMA WAMEKICHANGIA CHAMA KWA KIASI KIKUBWA SANA KUPITIA FORM ZAO
•POLEPOLE UNATAKIWA KUJIBU HOJA ZA LISU ,
JAMAA FISADI KUPITA KIASI.JUMAPILI YUKO BENCHI LA KWANZA•LISU AMESEMA WATUMISHI WALIONGOMBEA NA KUSITISHIWA MISHAHARA YAO,WATAREJESHEWA KAMA MAPUNJO YA MSHAHARA WA KAWAIDA,AMESEMA WATUMISHI WALILADHIMISHWA KUANDIKA BARUA ZA RIKIZO ZISIZO KUA NA MALIPO YA MIEZI MIWILI,
•LISU AMESEMA HUU NI WIZI KAMA WIZI MWINGINE,AMEHOJI MAMBO YAFUATAYO,:
JPM WAKATI ANAGOMBEA BIHALAMURO AKIWA MWALIMU ALIKATWA MSHAHARA?LISU AMEULIZA JE WATUMISHA WANAODAIWA NA MABENK WANAREJESHAJE MAREJESHO YAO ?MABENKI YAMELAZIMU KUKATA MISHAHARA YAO YA KAWAIDA,
•LISU AMESEMA MTUMISHI AMEKAA MIEZI MIWILI BILA KULIPWA MSHAHARA LEO MSHAHARA UNAINGIA ANAKATWA REJESHO LA JULY,BADO HAJALIPA MADENI YA MTAANI NA FAMILIA INABAKI NA HAKUNA MSHAHARA,
•LISU AMESEMA HAYA YATAISHA OCTOBER 28,SERIKALI ITARUDISHA MAREJESHO YA BENKI NA MISHAHARA YAO,
•TUWAANGALIE SANA HAWA WATUMISHI WALIOGOMBEA KUPITIA CCM,NA WALIKUWA WATUMISHI NA WANAELEMENT ZA KISIASA WAMEJIPANGA KUIHARIBU KABISA CCM,KWA KUWADOKEZA WAPINZANI HABARI KAMA HIZI,WENGINE WANASEMA WAMEKICHANGIA CHAMA KWA KIASI KIKUBWA SANA KUPITIA FORM ZAO
•POLEPOLE UNATAKIWA KUJIBU HOJA ZA LISU ,