macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Da. Sikutegemea wewe uko CCM. Kweli siasa za Tanzania ni mchezo wa kamari.Una kichaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da. Sikutegemea wewe uko CCM. Kweli siasa za Tanzania ni mchezo wa kamari.Una kichaa
Hakuna kitu kama kura ya BAWACHA bali kuna kura za mjumbe mmoja mmoja wa BAWACHA yenye kambi mbili.Uliza BAWACHA wanamtaka nani halafu rudi huku
Kitinda mimba hataki competition anataka wamuachie ziwa afyonze peke yake.Ina maana Odero hana?
Labda kwa msaada wa PoliccmBacheza, bawacha hakuna wa kumpa kura lisu.
Haya mabaraza mawili ni ya watu wenye utimamu na ndo asilimia kubwa wataingia kupiga kura sasa tusubiri 21 mwehu mwenza na BAVICHA atapigwa za uso
Huu uchaguzi ni mgumu sana wanduguView attachment 3205243
Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100
Namba zinasema hivi 👇🏽👇🏽
Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18
2. BAWACHA 33
- TAL 17
- FAM 16
3. BAVICHA 33
- TAL 31
- FAM 2
Jumla
Tundu Lissu 63
Freeman Mbowe 36.
Mkuu hebu kua na heshima hata kidgKichaa chako kimemzidi mhuni lissu
I second youDa. Sikutegemea wewe uko CCM. Kweli siasa za Tanzania ni mchezo wa kamari.
Mtoto wa shule. Umeelewa maana ya mabaraza?1200- 99 = 1101 ni za nani?
Tunataka tuelimishwe tu Mkuu!Hahahahahaha Mkuu unarusha kombora la Hamas
Basi sawa. Msalimie Celestine Simba!801-Lissu
300-mbowe
Ahahahahaha!!!1101>>>>
Lissu 1100
Mbowe 1
Upumbavu mwingine wa wanazi huu
Mimi nilielewa kwanini BAWACHA walipiga wimbo wa "Tuvushe Mwamba Tuvushe" na kushindwa kwa Celestine Simba nafasi ya Mwenyekiti.Mtoto wa shule. Umeelewa maana ya mabaraza?
Hii ni aina mojawapo ya vilaza wanaoamini siasa hazibadiliki, na Hawa ndio wale wa zidumu fikra za mwenyekiti.Wapambe wa ndugu matusi kichwareso mnahangaika kumchafua aliyekijenga chama nakukikuza mpaka naninyi mkajulikana na mlivyo wajinga mnadhani mtashinda!!
Uhuni huu wa lissu utamtafuna vibaya hata bahatimbaya ikitokea akashinda.
Look umbukeni hata shetani kunatuvita tudogo hutokea akaonekana akashinda lkn soote tunajua muovu hatokaa ashinde hata ikionekana kashinda
Ndo nakuambia wajumbe 80% BAWACHA team MboweHakuna kitu kama kura ya BAWACHA bali kuna kura za mjumbe mmoja mmoja wa BAWACHA yenye kambi mbili.
ChaiView attachment 3205243
Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100
Namba zinasema hivi 👇🏽👇🏽
Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18
2. BAWACHA 33
- TAL 17
- FAM 16
3. BAVICHA 33
- TAL 31
- FAM 2
Jumla
Tundu Lissu 63
Freeman Mbowe 36.