brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
We dada hatuwezi kumpa chama mwendawazimu na wenzake.Hii ni aina mojawapo ya vilaza wanaoamini siasa hazibadiliki, na Hawa ndio wale wa zidumu fikra za mwenyekiti.
Tunataka watu wenye adabu.
Wenye kutetea taifa lao
Mwehu muda wote ni kubagaza kila mtu.
Nchi haiendeshwi na wehu.
Ndo maana nchi alopochukua mwendazake Mungu aliamua ugomvi mapema