Pre GE2025 Lissu amjibu Wenje, asema aliudanganya umma kuhusu suala la Abdul

Pre GE2025 Lissu amjibu Wenje, asema aliudanganya umma kuhusu suala la Abdul

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wenje amekubali kuwa Abdul alienda naye kwa Lissu!!??
Unaniuliza au unasema?

Hayo maneno wanayasema wao, mimi nawewe tuwaombe wahusika ushahidi kisha tuuchambue sisi tupate ukweli.

Wakitufundisha kufikiri, tutakua bias.
 
Unaniuliza au unasema?

Hayo maneno wanayasema wao, mimi nawewe tuwaombe wahusika ushahidi kisha tuuchambue sisi tupate ukweli.

Wakitufundisha kufikiri, tutakua bias.
Kuna watu mu wabishi mpaka basi.
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Hapaswi kufukuzwa, wacha saga yote i play out na pia demokrasia ichukue mkondo wake.
 
Mtu mstaarabu ni yule anayevumilia hard times hata kama anashutumiwa kwa uwongo! Wewe binafsi HUWEZI kutoa ushahidi wa unachokisema zaidi ya kujazwa ujinga na Mjinga Lissu!
Wewe ndiye mjinga kwa sababu unadhani rushwa hutolewa kama sadaka kanisani..

Unataka ushahidi upi kwa ishu ya Hezekia Wenje wakati yeye mwenyewe kakiri kwa kinywa chake kuwa dalali wa rushwa za Mwenyekiti wa CCM Rais Samia kwa kumtumia mwanae Abdul Amir...?

Hezekia Dibogo Wenje kasema mwenyewe kwa mdomo wake kwamba, "...ndiyo nilimpeleka Abdul kwa Tundu Lissu ili Abdul amlipe fedha zake za matibabu na mimi (Wenje) nipate mgawo wangu...!!"

Unataka justification gani nyingine ili uthibitishe kuwa jamaa (Abdul - mtoto wa Rais Samia) anatembeza mlungula kwa viongozi wa CHADEMA kama huyu Hezekia Wenje na wenzake...?

Kama huoni na hutambui sura ya rushwa hapo, basi wewe ni miongoni mwa watu wajinga na wapumbavu kabisa hapa duniani unayehitaji msaada mkubwa wa kuufanyia ukarabati mkubwa ufahamu na uelewa wako wa mambo...!!
 
Ukimuuliza hilo swali majibu yake utajuta, lissu yuko makini sana mbowe hana namna ili chadema isiamame lissu awe mwenyekiti otherwise chadema kwisha habar yake
Hivi kwanini Lissu asianzishe chama chake? AlikuwaGA NCCR - Mageuzi sijui TLP akahama kwenda Chadema. Sasa hivi mwenye Chadema hamtaki. Swali langu sasa, kama kweli Lissu anakubalika na Watanzania si mumshauri aanzishe chama chake? Atadandia vya wenzie hadi lini? Mbona Zitto Kabwe alianzisha ACT - Wazalendo? Au Lissu hajiamini na amezoea vya kunyonga!?
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Upuuzi, aache kufukuzwa king'ang'anizi wa madaraka Mbowe miaka zaidi ya 20 afukuzwe Lissu kwa kusema ukweli?!.
 
Wewe ndiye mjinga kwa sababu unadhani rushwa hutolewa kama sadaka kanisani..

Unataka ushahidi upi kwa ishu ya Hezekia Wenje wakati yeye mwenyewe kakiri kwa kinywa chake kuwa dalali wa rushwa za Mwenyekiti wa CCM Rais Samia kwa kumtumia mwanae Abdul Amir...?

Hezekia Dibogo Wenje kasema mwenyewe kwa mdomo wake kwamba, "...ndiyo nilimpeleka Abdul kwa Tundu Lissu ili Abdul amlipe fedha zake za matibabu na mimi (Wenje) nipate mgawo wangu...!!"

Unataka justification gani nyingine ili uthibitishe kuwa jamaa (Abdul - mtoto wa Rais Samia) anatembeza mlungula kwa viongozi wa CHADEMA kama huyu Hezekia Wenje na wenzake...?

Kama huoni na hutambui sura ya rushwa hapo, basi wewe ni miongoni mwa watu wajinga na wapumbavu kabisa hapa duniani unayehitaji msaada mkubwa wa kuufanyia ukarabati mkubwa ufahamu na uelewa wako wa mambo...!!
"ndiyo nilimpeleka Abdul kwa Tundu Lissu ili Abdul amlipe fedha zake za matibabu na mimi (Wenje) nipate mgawo wangu...!!"
Huyu Abdul ni nani?
 
"ndiyo nilimpeleka Abdul kwa Tundu Lissu ili Abdul amlipe fedha zake za matibabu na mimi (Wenje) nipate mgawo wangu...!!"
Huyu Abdul ni nani?
Huyo huyo unayemfahamu wewe...

At least, ungemshauri Wenje asimame kwenye msimamo huu, asingejifunua..

Mwenzio (Wenje) kasema alikutana kwenye kikao cha sherehe ya harusi mahali fulani. Akatambulishwa kwake kuwa huyu ni Abdul Ameir mtoto wa Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania..

Kwa ufupi sana ni kuwa, Abdul ni mtu huyohuyo unayemfahamu wewe...!
 
Huyo huyo unayemfahamu wewe...

At least, ungemshauri Wenje asimame kwenye msimamo huu, asingejifunua..

Mwenzio (Wenje) kasema alikutana kwenye kikao cha sherehe ya harusi mahali fulani. Akatambulishwa kwake kuwa huyu ni Abdul Ameir mtoto wa Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania..

Kwa ufupi sana ni kuwa, Abdul ni mtu huyohuyo unayemfahamu wewe...!
Unajikanyagakanyaga
Kwaiyo mulitudanganya kusema ni chama cha demokrasia na maendeleo, rangi zenu sasa zishajulikana wazwaz ni chama mnagangia njaa
Mimi ni CCM lialia. Sina unasaba wowote na Chadema.
 
Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Mtu mstaarabu haropoki ila anasema anachoamini hadharani,saa sita na nusu mchana!..Saga la sasa Chadema linatusaidia watanzania wengi kujua kama tuna nchi salama au la..mimi naamini kuwa ..tuna nchi salama!
Hongereni wazalendo wa TISS..Keep on documenting haya mambo..analysis itafanywa wakati sahihi ukifika..even if ni baada ya miaka 50.
 
Wakuu,

Lissu anaongea club house sasa hivi kujibu hoja za wenje na kuongelea mambo mengine.

Kati ya aliyosema ni kuwa hajawahi kumtuma Wenje kuhusu madai yake kabisa na kwamba ni uongo. Lakini pia hajawahi kutoa doc za madai yake kwa abdul ili amsaidie kufatilie madai yake.

Alipoenda kumpa rushwa alitolewa nje, na siyo kwenda kuchukua docs za madai ya Lissukwahiyo wenje kadanganya.

Haya sasa mambo yanazidi kuwa matamu.

Kufatilia session hiyo washa VPN ukafaidi, bila VPN huwezi kusikiliza, ni kwenye channel ya Sauti ya Watanzania.

View attachment 3183679
View attachment 3183680
Haya mazungumzo ni muhimu sana kwa kufumbua watu bongo zao.
 
Back
Top Bottom