Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Mgema akisifiwa--- yangu macho mumwagieni mi sifa ila akiyakoroga msibadilishe kauli. Nafasi hiyo wange mpa Komba au kingunge nisingekuwa na shaka.
Kidumu Chama cha Mapinduzi. Slaa alimwita Mnafiki, leo Lissu anamwita Muadilifu. Mwenyekiti wa Bunge anaweza kutoka Chama chochote ila Mwenyekiti Bora lazima atoke CCM.
Mtu akimpinga sitta atakuwa anachuki binafsi japo chuki zake haziwezi kufua dafu.
Sitta anakubarika na wajumbe wote wa bunge la katiba na watanzania wote.
Lissu lazma amkumbali Sitta WA CCM, sababu CCM Ni chama makini na kina watu makini.
Yule Mzee bwana anasoma na kuulewa na ameshaifahamu na kujipambanua nafasi yake katika hii jamii yetu tunayoabudu pesa.
Lissu lazma amkumbali Sitta WA CCM, sababu CCM Ni chama makini na kina watu makini.