Lissu amkubali Sitta

Lissu amkubali Sitta

kwa kweli hata mimi naunga mkono uteuzi wa Sitta, kwa kweli hakuna ubishi, Bunge hili mtu atakayelimudu ni Sitta, kwa sababu anajua kutenda haki
 
Samia Suluhu hafai, na wamuweke huyo mzee Kificho. Kama hapana budi basi awekwe Katibu wa BLW. Yahya Khamis

kwanini unaona hafai,je hajatimiza vigezi vinavyotakiwa? nadhani tuache kura ifanye kazi yake
 
Huu ni wakati wa kuthibitisha kama kweli anaweza na atafanikiwa hilo kwa kuweka usawa kwa wajumbe wa pande zote
Akisimamia vizuri itamjenga kisiasa kwa wananchi bila kufuata itikadi za kisiasa lakini kwa wajumbe wa chama tawala ambao wanataka upendeleo fulani inaweza kumtesa kwenye mbio za Urais maana kufuata usawa ndio kitu kilisababisha asiwe spika kwa kipindi kingine,
Tusimsifie sana na kutegemea makubwa sana maana ni binadamu na itikadi zipo yeye ni mwanaCCM,
Ninamaliza kwa waliopo chama tawala ninaowafahamu na wanaopenda nafasi hiyo ni bora apewe sita
 
Wakati huu si wakati wa kujua chama bora ni kipi, ni mategemeo yetu kuwa sitta ataliongoza bunge maalumu kwa kiwango cha hali ya kiusawa
 
Back
Top Bottom