Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Tuacheni propaganda rahisi kiasi hicho zisizokua na kichwa wala miguu. Unapolalamika kua Lissu anakatwa na NEC kwa kipengele kipi cha Sheria? Taja hicho kifungu hapa hapa usiwe muongo muongo na mpotoshaji.
Kwa wanaodai kuwa alianza kampeni mapema hawajui sheria wanafanya propaganda. Hakuna kitu kinachoitwa kampeni kabla ya kampeni. Alichofanya Mhe Lissu ni mikutano ya kawaida tu wakati anatafuta wadhamini wake. Labda msema kafanya mkutano kinyume na sheria kama kuna kifungu kinazuia kufanya mikutano ya hadhara kitu ambacho hakipo.
Niwatoe hofu kuwa Lissu hawezi kukatwa na hakuna sababu ya kufanya hivyo na siyo kwa sababu eti NEC wanamuogopa au wanaogopa kutokea vurugu, yatakatwa kwa sababu hajavunja Sheria ya Uchaguzi. Ataachwa apambane kama walivyo wagombea wengine.
Kwa wanaodai kuwa alianza kampeni mapema hawajui sheria wanafanya propaganda. Hakuna kitu kinachoitwa kampeni kabla ya kampeni. Alichofanya Mhe Lissu ni mikutano ya kawaida tu wakati anatafuta wadhamini wake. Labda msema kafanya mkutano kinyume na sheria kama kuna kifungu kinazuia kufanya mikutano ya hadhara kitu ambacho hakipo.
Niwatoe hofu kuwa Lissu hawezi kukatwa na hakuna sababu ya kufanya hivyo na siyo kwa sababu eti NEC wanamuogopa au wanaogopa kutokea vurugu, yatakatwa kwa sababu hajavunja Sheria ya Uchaguzi. Ataachwa apambane kama walivyo wagombea wengine.