This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Mwanamme ambaye hajawhi kutoka au kutembea mbali na nyumbani kwake huwa anaamini mke wake ndie anayejua kupika tu.Lahaula siku akatoka akala chakula alichopika mwanamke mwingine ndio atajua alaaaa kumbe kuna wajuzi wa kipika!!! Nlikua najidanganya kuwa mke wangu ndiyo mpishi mzuri.Yawekeni sawa na wazi ili washindwe kihalali bila figisu coz uhakika wa ushindi upo sababu mmefanya makubwa kuliko hata aliyofanya mkoloni tangu nchi hii kuumbwa.Hadi tumefika uchumi wa Kati toka mlo mmoja kwa siku Hadi tunasaza Milo 4 kwa siku
Kweli ujinga mzigo, upumbavu ni ugonjwa usiopona kama huu unaoumwa wewe.Kwahiyo hata wewe hicho kifungu hukijui ila tume pekee ndiyo wanakijua.Hujawahi kufikiri kwa kichwa hata siku moja wewe.Akishakatwa ni lazima watataja sababu na hicho kifungu, hivyo subiri na usiwe na papara mpaka sasa hivi hajakatwa bado, labda anaweza kuwa na bahati akapita au asiwe na bahati wakakata, ...
Belgium waliua wakongo milioni 30,Wanamuogopa mwanasheria wake chezea the Hague
Kweli ujinga mzigo, upumbavu ni ugonjwa usiopona kama huu unaoumwa wewe.Kwahiyo hata wewe hicho kifungu hukijui ila tume pekee ndiyo wanakijua.Hujawahi kufikiri kwa kichwa hata siku moja wewe.
Lisu hakatwi ili watz wamfundishe adabu na kumkata ngebe 28/10/2020
Sisi hatuna mahakama tuna matawi ya ccm inayosimamia kesi ya akwelina na kabenderaNi kweli lakini jiulize alistahili kuvuliwa ubunge na mahakama ikaunga mkono?
Lakini watawala wa kiafrica wameuwa waafrika wengi Sana kuliko hata idadi ya waafrika waliouliwa na wakoloni.Belgium waliua wakongo milioni 30,
Ubelgigi,Ufaransa, Uingereza,Ugerumani hawana sifa za utawala bora kwa makoloni yake ikiwemo Tanganyika.
Wanatakiwa washitakiwe wao kwanza.Angalau Marekani wanaweza wakasikika lakini wale mashetani walioiba ,kuuwa,kuwafunga na kupora mali za Afrika HAWANA SIFA HATA YA KUKEMEA.
Wewe hujasoma history, hao mbwa wa kibelgigi walifyeka wakongo kabisa,Wajerumani nao walitaka kumaliza makabila ya Namibia eti siku hizi wanataka kufidia vijisenti kwa Namibia,na Raisi wa Namibia amezikataa.Lakini watawala wa kiafrica wameuwa waafrika wengi Sana kuliko hata idadi ya waafrika waliouliwa na wakoloni.
πππMagufuli amezoea KUKIMBIA washindani wake tangu akiwa Mbunge, safari asijaribu kutuletea michezo yake hiyo ni lazima AKUBALI KUJIPIMA na washindani wake akiwemo Lissu.
Yawekeni sawa na wazi ili washindwe kihalali bila figisu coz uhakika wa ushindi upo sababu mmefanya makubwa kuliko hata aliyofanya mkoloni tangu nchi hii kuumbwa.Hadi tumefika uchumi wa Kati toka mlo mmoja kwa siku Hadi tunasaza Milo 4 kwa siku
Lissu hakatwi kwa sababu kavunja sheria , Ni kwa sababu ya maagizo toka juu kwa Limbukeni mkuu wa kihutu , ambaye haishi mbinguni anaishi duniani hivyo kila anachopanga watu wanaona sio siri .Tuacheni propaganda rahisi kiasi hicho zisizokua na kichwa wala miguu. Unapolalamika kua Lissu anakatwa na NEC kwa kipengele kipi cha sheria? Taja hicho kifungu hapa hapa usiwe muongo muongo na mpotoshaji.
Kwa wanaodai kuwa alianza kampeni mapema hawajui sheria wanafanya propaganda. Hakuna kitu kinachoitwa kampeni kabla ya kampeni. Alichofanya Mhe Lissu ni mikutano ya kawaida tu wakati anatafuta wadhamini wake. Labda msema kafanya mkutano kinyume na sheria kama kuna kifungu kinazuia kufanya mikutano ya hadhara kitu ambacho hakipo.
Niwatoe hofu kuwa Lissu hawezi kukatwa na hakuna sababu ya kufanya hivyo na siyo kwa sababu eti NEC wanamuogopa au wanaogopa kutokea vurugu, yatakatwa kwa sababu hajavunja sheria ya uchaguzi. Ataachwa apambane kama walivyo wagombea wengine.
Ukiwa na akili unazungumziaje Lissu kukatwa wakati hujui sheria au hizo kanuni za uchaguzi zinasemaje.Wewe ni nini kinachokuongoza kuona Lissu atakatwa.Kwani hizo sheria zimefichwa watu hawawezi kuziona wakasoma.Mhubiri wa kikristo usiyetumia biblia na wala hujui hata kifungu kimoja. Tz yetu kila kitu ujinga ujinga tu.Mimi siyo Mwanasheria na wala sifanya kazi Tume yetu ya uchaguzi, nitakijulia wapi? Subiri akikatwa watasema halafu utaanzia hapo, lkn mpaka sasa hivi hajakatwa bado anaweza kuendelea kuropoka, ...
mugabe pekee ameuwa waafrika 2000,kamuzu banda kauwa wangapi,mobutu nje,moi,mkapa,bokasa,iddi amini,gadafi ,nguema,mobutu je,nkuruzinza jumapili anahubiri kanisa akitoka hapo anakwenda uwa watu,pk je M7 je,menguist marium,siadi barreh,idi amni ,samuel doe,bashiri,hawa tu kwa uchache wameuwa waafrika wangapi ili kulinda tu matumbo yao,achilia waafrika waliokufa sababu ya vita,machafuko,njaa,dhuluma walizofanyiwa baada ya uhuru na wakoloni weusi.Weka chuki pembeni tazama reality.Wakoloni weusi Wameuwa waafrika wengi sana kwa kuliko hata hata ambao waliuliwa na wakoloni weupe.Wewe hujasoma history, hao mbwa wa kibelgigi walifyeka wakongo kabisa,Wajerumani nao walitaka kumaliza makabila ya Namibia eti siku hizi wanataka kufidia vijisenti kwa Namibia,na Raisi wa Namibia amezikataa.
Ubaya zaidi waliandika historia ya mihemuko.
Ukiona mtu mweusi anashangilia biscuit anayopewa na mzungu huku amenyanganywa shamba zima ,ni masikitikiko.Hasa akijua kuvaa 3 piece suit,kutumia umma na kisu,na kuzungumza lugha yao,huku akibeza lugha yake mwenyewe,very pathetic.
Lissu akikatwa ni kwa sababu ya maelekezo toka juu. Period!!Tuacheni propaganda rahisi kiasi hicho zisizokua na kichwa wala miguu. Unapolalamika kua Lissu anakatwa na NEC kwa kipengele kipi cha Sheria? Taja hicho kifungu hapa hapa usiwe muongo muongo na mpotoshaji.
Kwa wanaodai kuwa alianza kampeni mapema hawajui sheria wanafanya propaganda. Hakuna kitu kinachoitwa kampeni kabla ya kampeni. Alichofanya Mhe Lissu ni mikutano ya kawaida tu wakati anatafuta wadhamini wake. Labda msema kafanya mkutano kinyume na sheria kama kuna kifungu kinazuia kufanya mikutano ya hadhara kitu ambacho hakipo.
Niwatoe hofu kuwa Lissu hawezi kukatwa na hakuna sababu ya kufanya hivyo na siyo kwa sababu eti NEC wanamuogopa au wanaogopa kutokea vurugu, yatakatwa kwa sababu hajavunja Sheria ya Uchaguzi. Ataachwa apambane kama walivyo wagombea wengine.