Hubble Telescope
JF-Expert Member
- Jan 30, 2025
- 426
- 527
Muache ndugu mwenyekiti apige kaziNaona tangu achaguliwe mwenyekiti wa chadema mitandao ya kijamii anaigopa hata kuitumia.
Kabla ya uchaguzi alikuwa akitewet kila siku lkn hivi sasa mtandao wake wa X ambao ulikuwa active hivi hapost tena.
Nimegundua anaogopa negative comments kutoka chadema na ccm ambazo zimekuwa nyingi. Mwenziwe lema inasemekana hupiga blocko tu.
Hii tofauti na Mbowe ambae alikua mstahamilivu sana ktk siasa.
Malaria yako itakuja kuisha kweli wewe?Simchukii lissu. Lissu rafiki yangu, kilinichokera njia alioingilia kupata uongozi
Ukiwa makamu unajificha kwenye koti mwenyekiti. Ndiyo maana alipata nafasi ya kudeal na media. Sasa kapewa usukani ni kazi kubwa.Kwa hivyo alipokuwa makamo alikua hana kazi?
Yaani huyu manzi kila akimkumbuka Lissu lazima apate ndoto nyevu.Lisu alikuzalisha akakuacha? Mbona kila muda unamfuatilia.
Aliwatoa usishana wao halafu akaenda kuoa huko Musoma
Naona malaria imekushika kweli kweli. Tulia dawa zinachangnywa maabara kwa ajili ya ccm hili waje wapigwe sindano. Hivi wamesha tambulisha mgombea wao? Maana haijulikani kama wameshafanya hivyoNaona tangu achaguliwe mwenyekiti wa chadema mitandao ya kijamii anaigopa hata kuitumia.
Kabla ya uchaguzi alikuwa akitewet kila siku lkn hivi sasa mtandao wake wa X ambao ulikuwa active hivi hapost tena.
Nimegundua anaogopa negative comments kutoka chadema na ccm ambazo zimekuwa nyingi. Mwenziwe lema inasemekana hupiga blocko tu.
Hii tofauti na Mbowe ambae alikua mstahamilivu sana ktk siasa.
Utegemee na yeye kuondolewa kwa matusi na kejeliMalaria yako itakuja kuisha kweli wewe?
1. Hukukereka Mbowe alipobadili Katiba ili abaki madarakani.
2. Hukukereka Mbowe alipowafurusha kina Kafulila, Zitto et al bila sababu ya msingi.
3. Hukukereka 2015 Mbowe alipobadili gia angani kwa kutelekeza vita dhidi ya ufisadi na kuiweka CHADEMA kwenye mikono ya fisadi waliyempiga vita kwa miaka mingi.
4. Hukukereka Mbowe alipoanza round mpya ya kung’oa waliokataa kuwa machawa wake (Msigwa, Heche, etc).
Hivyo basi, huna haja ya kukereka kwa Lissu kuja na antidote ya Ayatollah Mbowe!
Mgombea wa ccm ni mama Samia Suluhu Hasssan. Wa chadema hawanaNaona malaria imekushika kweli kweli. Tulia dawa zinachangnywa maabara kwa ajili ya ccm hili waje wapigwe sindano. Hivi wamesha tambulisha mgombea wao? Maana haijulikani kama wameshafanya hivyo
mbona mabwana wapo wengi we mdada we umemganda mnyaturu tu anakupiga popo kanyea mbingu nini?Naona tangu achaguliwe mwenyekiti wa chadema mitandao ya kijamii anaigopa hata kuitumia.
Kabla ya uchaguzi alikuwa akitewet kila siku lkn hivi sasa mtandao wake wa X ambao ulikuwa active hivi hapost tena.
Nimegundua anaogopa negative comments kutoka chadema na ccm ambazo zimekuwa nyingi. Mwenziwe lema inasemekana hupiga blocko tu.
Hii tofauti na Mbowe ambae alikua mstahamilivu sana ktk siasa.