Malaria yako itakuja kuisha kweli wewe?
1. Hukukereka Mbowe alipobadili Katiba ili abaki madarakani.
2. Hukukereka Mbowe alipowafurusha kina Kafulila, Zitto et al bila sababu ya msingi.
3. Hukukereka 2015 Mbowe alipobadili gia angani kwa kutelekeza vita dhidi ya ufisadi na kuiweka CHADEMA kwenye mikono ya fisadi waliyempiga vita kwa miaka mingi.
4. Hukukereka Mbowe alipoanza round mpya ya kung’oa waliokataa kuwa machawa wake (Msigwa, Heche, etc).
Hivyo basi, huna haja ya kukereka kwa Lissu kuja na antidote ya Ayatollah Mbowe!