Lissu anasema ataweka ukomo wa uongoz. Mbowe anasema hawezi kuachia chama kwenye minyukano. Je, twende na nani?

Lissu anasema ataweka ukomo wa uongoz. Mbowe anasema hawezi kuachia chama kwenye minyukano. Je, twende na nani?

Twoten

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2014
Posts
2,052
Reaction score
2,163
Habari wana mageuzi? Nilifuatilia hotuba za magwiji hao wawili wakati wanatangaza nia ya kugombea nafasi ya mwenyekiti CHADEMA. Lissu alisema akiwa mwenyekiti Chadema ataweka ukomo wa uongozi Chadema ili kutoa fursa kwa vijana kuchukuwa nafasi ya uongozi. Mbowe yeye slisema hawezi kuachia chama chake cha Chadema kikiwa kwenye minyukano. Na hakusema ni lini ataachia ngazi. Sasa nauliza twende na nani?
 
Minyukano anaisabibsha/kaileta yeye twende na Lissu maana Mbowe akiondoka na minyukano inaondoka
 
Back
Top Bottom