Lissu Anaungwa Mkono na Watu Wababaishaji wasio na Ushawishi wala kukubalika kwa Jamii

Lissu Anaungwa Mkono na Watu Wababaishaji wasio na Ushawishi wala kukubalika kwa Jamii

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.

Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.

Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.

Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi , busara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.

Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu kifuani pake akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.

Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini haungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinasibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Alafu aliposhindwa urais na kuambulia mbunge mmoja ulilalamika ameibiwa kura.
 
Hivi wewe Lucas unajiona kuwa un akili timamu na una ushawishi wowote? Sativa tu amekuzidi kila kitu mpaka maisha, yeye sio chawa wala halambi makalio ya mtu anapambana sio wewe mpaka uandike mapambio ndio angalau utumiwe buku bmili ule mihogo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.

Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.

Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.

Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi ,biashara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.

Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.

Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini hauungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinajibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa hiyo aasa hivi unamtetea mbowe?
Mbona hamueleweki chawa?
Kila mtu chadema hamumtaki😂😂😂
 
Alafu aliposhindwa urais na kuambulia mbunge mmoja ulilalamika ameibiwa kura.
Embu acha ujinga wako hapa wewe.wapi niliko lalamika? Yalikuwa yananihusu nini mpaka nilalamike ?niligombea ubunge jimbo gani? Kwanini unapenda sana kukurupuka?
 
Hivi wewe Lucas unajiona kuwa un akili timamu na una ushawishi wowote? Sativa tu amekuzidi kila kitu mpaka maisha, yeye sio chawa wala halambi makalio ya mtu anapambana sio wewe mpaka uandike mapambio ndio angalau utumiwe buku bmili ule mihogo.
Embu acha kunidhalilisha hapa. Hivi mimi ndio wa kunifananisha na mtu kama SATIVA? Hivi unaona huyo jamaa yupo sawa kichwani mwake? Uwe na adabu
 
Hivi Lukasi nyie si ndio mlikuwa mnalalamika Mbowe dikteta amekaa madarakani miaka 21?

Nyie si ndio mlikuwa mnasema Chadema hawafanyi uchaguzi sababu ni wadikteta?

Hii unayofanya hapa ni kuonesha uoga wenu kwa Lisu
 
Hivi Lukasi nyie si ndio mlikuwa mnalalamika Mbowe dikteta amekaa madarakani miaka 21?

Nyie si ndio mlikuwa mnasema Chadema hawafanyi uchaguzi sababu ni wadikteta?

Hii unayofanya hapa ni kuonesha uoga wenu kwa Lisu
Kwani Mbowe amekuwa anakuwa madarakani kwa kupigiwa kura au kulazimisha kwa nguvu? Si amekuwa anachaguliwa na wana CHADEMA wenyewe kuendelea kuwa Mwenyekiti wao?
 
Embu acha kunidhalilisha hapa. Hivi mimi ndio wa kunifananisha na mtu kama SATIVA? Hivi unaona huyo jamaa yupo sawa kichwani mwake? Uwe na adabu
Sativa huwezi kumfikia kwa chochote kile, wewe hata akili huna. Hizi threads tu huwa unaandikiwa halafu mwisho ndio unajazia vi mistari viwili vya kububujikwa na machozi. Hivi mwanaume gani kutwa kujipendekeza tu?

Sativa nalipa kodi kila siku malaki yakutosha kwa kutengeneza pesa online. Wewe upo umekaa tu kama zombie.

Sativa amemlipia Lissu form ya million moja na nusu wewe hapo hata kula tu mchana ni mtihani ni mpaka mabwana zako wahakikishe umepost mapambio yakutosha ndio wakupe posho.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.

Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.

Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.

Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi ,biashara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.

Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.

Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini hauungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinajibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
kuna wale wanaojiita eti ni maaskofu wanachekesha sana dah,

eti ndio watu anaowatengemea wamsaidie kushinda uchaguzi ndani ya chadema 🤣

hata ukiwatazama kwa sura tu unawaona kabisa hawa njaa imewapiga kisawasawa na wanakiu hatari 🤣
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.

Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.

Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.

Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi ,biashara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.

Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.

Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini hauungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinajibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.

Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.

Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.

Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi ,biashara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.

Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.

Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini hauungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinajibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wanaomuunga mkono ni hao wenye greed wanaovutiwa kila siku kwenye Maria space kunyweshwa sumu za uharakati,Jeshi limeapa kupinda katiba wewe unasema nataka nishike dola nikabadilishe katiba so uneventful unakuwa threats ,"Tutaongoza mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya Vs Tutabadilisha katiba ",vijana wamekuta chama kimejengwa mikononi mwa wanachadema wanaona wale waliokuwapo sio watu hawafai.Unavaa suruali tshit ya chadema unaeleweka unadunda kitaa wanajua hawa ni majembe alafu anatokeza mtu anasema chama walio ndani ya chama hawafai eti kuna rushwa kwa nini asiwataje na awathibitishe ,kwanini aliongoza harakati za kubadili ukomo akiwa mwanasheria alafu anatafuta sponsor za kelele za watu nje ya chama.Kuna watu wanadiriki kusema bila lissu chadema hawaoni kitu wtf hii ni kufu ivi kuna nccr au act kwanini iwe chadema ijapo kuwa madhaifu ya watu yapo ila chama kinendeshwa kwa maoni ya watu tofauti
 
Hiyo haikuhusu maana huna mamlaka ya kuniuliza wala kunihoji
haha bottom line is kodi yako si lolote si chochote. Hata ukiacha kulipa for the rest of your life serikali haitoyumba.
Vile vile huna mamlaka ya kuwapangia chadema cha kufanya, tuliza komwe
 
Sativa huwezi kumfikia kwa chochote kile, wewe hata akili huna. Hizi threads tu huwa unaandikiwa halafu mwisho ndio unajazia vi mistari viwili vya kububujikwa na machozi. Hivi mwanaume gani kutwa kujipendekeza tu?

Sativa nalipa kodi kila siku malaki yakutosha kwa kutengeneza pesa online. Wewe upo umekaa tu kama zombie.

Sativa amemlipia Lissu form ya million moja na nusu wewe hapo hata kula tu mchana ni mtihani ni mpaka mabwana zako wahakikishe umepost mapambio yakutosha ndio wakupe posho.
Sasa mtu mwenye akili Timamu unaweza vipi kumuweka SATIVA akawa Sehemu ya watu wako wa kukuunga mkono kutafuta Uwenyekiti wa chama? Jitu kutwa nzima linatukana matusi ya nguoni mitandaoni ni vipi waweza kujitangaza hata kwa watu kuwa huyo mtu unasaidiana naye? Hivi utakuwa na akili au matope?
 
haha bottom line is kodi yako si lolote si chochote. Hata ukiacha kulipa for the rest of your life serikali haitoyumba.
Vile vile huna mamlaka ya kuwapangia chadema cha kufanya, tuliza komwe
CHADEMA wanapokea Ruzuku kwa hiyo kila mtanzania ana haki na uhuru wa kujadili mambo ya kisiasa ya vyama vyote vyenye usajili na vinavyotambulika na kuendeshwa kwa mujibu wa sheria
 
Back
Top Bottom