Lissu Anaungwa Mkono na Watu Wababaishaji wasio na Ushawishi wala kukubalika kwa Jamii

Lissu Anaungwa Mkono na Watu Wababaishaji wasio na Ushawishi wala kukubalika kwa Jamii

Ndugu zangu Watanzania,

Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.

Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.

Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.

Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi ,biashara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.

Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.

Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini hauungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinajibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Process ya uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kimsingi ni ya wanachama wa CHADEMA.

Wao ndio wanaamua nani atawafaa.

Wewe ni mwanachama wa CHADEMA?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.

Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.

Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.

Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi ,biashara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.

Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.

Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini hauungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinajibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wababaishaji na wanaokesha hata kuota jina Lisu.
 
Gentleman you are wrong,

binafsi ni mtaalamu na mwanasiasa mbobevu na muandamizi katika siasa za vyama,

infact,
kinachofanyika hata na hao ulowatag,
ni kueleza mazingira yanayojiri ndani ya uchaguzi wa chadema ilogawanyika.

Na hiyo kazi ni ya kitaalamu labda ndio maana unasema mimi na hao wangwana wengine tupo vocal sana kuuesmea uchaguzi huo. Na hiyo ni kwasababu tuko na bidii na tupo na access kubwa sana ya kujua na kuelewa mambo ya ndani zaidi hususan kwa wale wanaotarajiwa kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa.

Na hakuna nia mbaya kabisa, tunafanya haya kwa nia njema zaidi ya kujifunza na kuelewa zaidi siasa ndani ya vyama mbalimbali vya siasa.

So,
usipotoshe wadau gentleman tafadhali sana 🐒
Wewe ni chawa, tena usiyetumia reasoning...
 
Wewe ni chawa, tena usiyetumia reasoning...
relax gentleman,

ukweli ni mkubwa na mzito mno kuliko mihemko na pengine makadiriko.

Ni vizuri kukubali ukweli gentleman 🐒
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.

Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.

Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.

Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi ,biashara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.

Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.

Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini hauungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinajibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sikujua kama wewe ni popoma hivi! Ila siku zinavyozidi kwenda unajidhuhirisha!
 
relax gentleman,

ukweli ni mkubwa na mzito mno kuliko mihemko na pengine makadiriko.

Ni vizuri kukubali ukweli gentleman 🐒
Huoni kama wewe ndio unahemkwa gentleman. Come to think of it, mnatumia nguvu nyingi sana, how much do you earn for this?
 
Anachukiwa na maccm tu, yameibuka ghafla hayazungumzii kitu kingine yani kutwa kucha chadema, wakati haina haina hata nguvu yani, ilishinda 1% tu serikali za mitaa sasa sijui nini kunawatisha uvccm kutwa kupishana na mashindano ya nyuzi mpya kuhusu Lissu (simba) na Mbowe.
 
Sawa tu hata wakiwa hao hao haina shida ili mradi amechukua fomu.
 
Huoni kama wewe ndio unahemkwa gentleman. Come to think of it, mnatumia nguvu nyingi sana, how much do you earn for this?
Gentleman,
niko na utulivu mkubwa sana na ndio maana I can reply all comments za wadau with humility, respect and patience ya kiwango cha juu sana..

na hapa namalizia andiko jingine punde si punde nitaludondosha humu jukwaani.

So,
relax and avoid mayhem ili angalau ujifinze mambo muhimu sana kuelekea uchaguzi wa chadema ilogawanyika 🐒
 
Nadhani CCM wanamuogopa Lissu sio Mbowe.
Huenda Mbowe wameshammudu tayari hivyo Lissu atakuja kuwaharibia mahesabu yao kabisa.
Mtu anaeungwa mkono na CCM hafai kuongoza upinzani wa kweli.
Inafahamika msimamo wa Lisu ni upi shida inakuja huwezi kumbadili kirahisi na kupambana nae ni ngumu maana mpaka risasi zilishindwa.
 
Process ya uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kimsingi ni ya wanachama wa CHADEMA.

Wao ndio wanaamua nani atawafaa.

Wewe ni mwanachama wa CHADEMA?
Na katika kuamua kwao wameamua Mwamba Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wao.ndio Maana unaona wanaendelea kumuunga mkono hadharani kabisa.tofauti na Lissu Anaungwa mkono na watu kama SATIVA watu ambao ni aibu kwa jamii na Taifa kwa namna wanavyotukana matusi ya nguoni hovyo hovyo mitandaoni
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.

Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.

Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.

Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi ,biashara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.

Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.

Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini hauungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinajibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Safari hii mtatema bungo
 
Back
Top Bottom