Uchaguzi 2020 Lissu anazidi kuumbuka, kila hoja anayoanzisha inaonekana haina mashiko kwa Watanzania

Uchaguzi 2020 Lissu anazidi kuumbuka, kila hoja anayoanzisha inaonekana haina mashiko kwa Watanzania

Buti la jeje analovaa huyu Lisu mguu wa kulia linaanza kumzidi uzito kuelekea 28 oktoba.
 
Tumepoteza marafiki? Are you insane? Nchi nyingi hazikuja kwenye msiba wa mkapa sababu zilikuwa zimefunga mipaka. Hiyo sio sababu ya kuongea. Burundi hawakufunga mpaka.
We kweli Ni wa ajabu mada ilikuwa Ina semaje ? Usikurupuke jibu kutokana na mada, anyway nimeona uwezo wako kujenga hoja.
 
Back
Top Bottom