Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Buti la jeje analovaa huyu Lisu mguu wa kulia linaanza kumzidi uzito kuelekea 28 oktoba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonaje ungejiita tu Changu??
We kweli Ni wa ajabu mada ilikuwa Ina semaje ? Usikurupuke jibu kutokana na mada, anyway nimeona uwezo wako kujenga hoja.Tumepoteza marafiki? Are you insane? Nchi nyingi hazikuja kwenye msiba wa mkapa sababu zilikuwa zimefunga mipaka. Hiyo sio sababu ya kuongea. Burundi hawakufunga mpaka.
Huo nao Ni mtizamo wako binafsi au ndio wale wa buku Saba.Lissu ni mtu mnafiki Sana, watanzania wengi wa leo wanaweza kuchuja kila asemacho.
Soma na makalio ya habari piaHivi huwa kuna watu wanasoma unachoandika? mimi huwa nasoma kichwa cha habari nimemaliza!