Pre GE2025 Lissu aombe radhi, asijitoe akili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tundu Lissu, ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa chama, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya chama, na mtu mwenye ndoto za kuwa rais wa nchi hii,
Raisi? Labda wa Chama chake ama Taasisi ya Uhanarakati.

Kwa maoni ya Watanzanzia wengi nchini, Tundu Lissu abakie na ndoto tu. Hatoweza mikiki mikiki ya Urais. Wanaona makasiriko yake vinyongo na visasi vyake, vitakuja kuligharimu Taifa....yaani aondokane na ndoto hiyo. Hachaguliki.

Naunga mkono mtazamo huo, Tundu Laigwanaan Lissu hatoweza kuwa Rais wa Nchii hii. "Tutashitakiwa".
 
Taarifa ya CHADEMA akiileta humu Erythrocyte ndo ntaamini ni genuine.
 
exit ground and stages. huyo muungwana anaondoka kama sio kuondoshwa b4 2025🐒
 
HABARI YA MCHONGO
 
Chadema kwa style hiyo hamna adabu kila mtu ni kambale yaani nyie kuomgoza nchi sahau
 
Lissu amesahau chadema ilivyompigania kipindi kigumu cha kupigwa risasi. ebu awe na shukrani
 
Tundu A. Lissu, huwa haeleweki kasimamia upande upi, nafkiri bado hajasomeka dhamira au maana yake.
Asikuangaisheni huyo mguu ndani mguu nje ndio maana familia yake ameicha ubelgiji bado ana hadhi ya ukimbizi mpaka leo
 
Mkor
Mkorofi huyo ! Hiyo radhi ndo tiketi ya kuondoka Chadema
 
Utengamano wa uwezo wa kufikiri wa tundu lisu hutegemeana na majira ya mwezi. Mwezi ukiwa kona huyo jamaa yetu anaweza kulipuka na kuropoka kitu chochote mpaka mkashangaa.
Inashangaza kuna watu eti wangependa kuona lisu anakuwa rais siku moja. Yani kichaa akabidhiwe rungu!
 
Chadema imekuwa na image mbaya isiyokuwa ya kizalendo kipindi cha miaka ya karibuni na kimekuwa cha kiharakati zaidi nadhani wakigundua tatizo lao lipo wapi na wakachukua maamuzi magumu mapema watanusurika. Ni vigumu sasa hivi kupata wazalendo kutoka ccm wakahamia chadema ila wanaweza hamia wale wenye makandokando.

Chadema wanaamini katiba mpya ndio itaitoa ccm madarakani, awaamini kuwa chama chao kikiwa bora na kikawa na uungwaji mkono mkubwa na kikaaminika na kila rika na hata baadhi ya wana ccm kukiamini hasa wale wazalendo, wanaweza kuitoa ccm madarakani. Ila kama watakuwa ni watu wakueneza ubaguzi na chuki miongoni mwa watanzania ni wataishia kupata madiwani na wabunge.
 
Wanakamati kwa kauli moja wamemtaka Lissu kuandika barua ndani ya masaa 72 ya kuomba radhi.
Umesahau kitu kimoja.
Ulikuwepo kwenye kikao hicho cha Kamati kuu ya CHADEMA ; maanake hujataja popote hizi taarifa umezipata wapi.

Lakini nikueleze jambo moja, kadri mnavyozidi kuhangaika hivi, ndiyo mnavyozidi kuwaonyesha waTanzania uwezo wenu mdogo wa kupambanua mambo.

Katika andiko lako lote refu, hakuna hata mahali pamoja ulipoweza kuonyesha kwamba Lissu ni mnafiki.

Kinachojitokeza waziwazi katika andiko hili, ni ile tabia ile ile anayoitumia Samia; tabia ya ulaghai, udanganyifu, hadaa nyingi.


Samia alipokuwa amefanikiwa kumnasa Mbowe kwenye yale "Maridhiano" hewa; sasa mnatumia ulaghai huo huo kutaka kuueneza uonekane hata akina Lissu walikwisha ukubali. Mbowe kastuliwa, sasa sijui mtatumia mbinu gani kuwalaghai tena CHADEMA.
 
Mbona Lissu alishanasa kwenye mqridhiano na akapewa na mafao yake hata kabla ya mwenyekiti?

Au zile perepete za stejini ndio zinakufanya uamini vinginevyo?
 
Huku ndiko kusifia unakokusema au kuna mengine zaidi? Sioni kusifu kwa aina yoyote hapa.
Kinana kashindwa, nyinyi kweli mtaweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…