Mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu ametoa kauli yake ya kwanza baada ya Mpinzani wake Freemn Mbowe kukubali matokeo hata kabla hawajafika ukumbini, kwa kutweet.
Lissu amesema wameweka a golden satndard, ambapo chama chochote nchini wameambiwa kama wanawaweza wafikie kiwango cha CHADEMA, wamefanya uchaguzi huru, wa wazi, wa haki na wa kidemokrasia ambao haukuwa na mizengwe. Kila mwenye haki ya kupiga kura na kura yake ilihesabika na kuhesabiwa. Uchaguzi ambao umefatiliwa ndani na nje ya nchi, na marafiki zao wa jumuiya ya kimataifa, asasi za kiraia, vyama vya siasa na serikali kupitia ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Your browser is not able to display this video.
Wamefanya uchaguzi uliokuwa wazi ambao haujawahi kutokea nchini na yote haya yamefanikiwa kama Mbowe alivyoahidi uchaguzi utakuwa na sasa wanaenda kuponya majeraha yaliyotokana na uchaguzi.
Lissu ameongeza kuwa Mbowe ametumikia kwa vipindi 4 ambavyo ni sawa na miaka 20, alipochukua chama kilikuwa na wabunge 5 na kukipeleka mpaka kuwa chama kikuu cha upinzani, kupata kambi upinzani bungeni kulichoongoza kwa miaka 10, aongeza kuwa Mbowe amekifanya chama kuwa kikubwa kuliko CCM sababu CCM si chama cha siasa, bali ni chama dola, amekifanya kuwa chama kikuu cha siasa
Asema historia ikiandikwa watatambua mchango wa Mbowe kwa kufanya siasa za vyama vingi kuwa viable kufikiwa.
Hakuna ubishi kuwa Lissu ni msomi wa kiwango cha juu kabisa. Kutokana na majukumu mapya aliyopewa na wanachama wa CDM, anatakiwa awe kiongozi anaeamini katika;
1. Aache kutuhumu bila kuwepo kwa ushaidi.
2. Amwombe Mzee Mbowe Msamaha hadharani kwa kumwita mla rushwa.
Hakuna ubishi kuwa Lissu ni msomi wa kiwango cha juu kabisa.Kutokana na majukumu mapya aliyopewa na wanachama wa CDM ,anatakiwa awe kiongozi anaeamini katika1:
1: Aache kutuhumu bila kuwepo kwa ushaidi,
2: Amwombe Mzee Mbowe Msamaha hadharani kwa kumwita mla rushwa.
Wacha uchochezi,uchaguzi umekwisha salama tofauti na nyie maccm mlivyopanga. Lissu hajawahi kumuita Mbowe mla rushwa,na hivi wewe Makupa unapata wapi moral authority ya kuyasema haya hivi kuna mtu alikuwa anamtukana Mbowe hadi matusi ya nguoni kuliko wewe? Wacheni hizo mlitegemea Chadema ipasuke na haikuwa hivyo.
Wacha uchochezi,uchaguzi umekwisha salama tofauti na nyie maccm mlivyopanga. Lissu hajawahi kumuita Mbowe mla rushwa,na hivi wewe Makupa unapata wapi moral authority ya kuyasema haya hivi kuna mtu alikuwa anamtukana Mbowe hadi matusi ya nguoni kuliko wewe? Wacheni hizo mlitegemea Chadema ipasuke na haikuwa hivyo.
Mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu ametoa kauli yake ya kwanza baada ya Mpinzani wake Freemn Mbowe kukubali matokeo hata kabla hawajafika ukumbini, kwa kutweet.
Lissu amesema wameweka a golden satndard, ambapo chama chochote nchini wameambiwa kama wanawaweza wafikie kiwango cha CHADEMA, wamefanya uchaguzi huru, wa wazi, wa haki na wa kidemokrasia ambao haukuwa na mizengwe. Kila mwenye haki ya kupiga kura na kura yake ilihesabika na kuhesabiwa. Uchaguzi ambao umefatiliwa ndani na nje ya nchi, na marafiki zao wa jumuiya ya kimataifa, asasi za kiraia, vyama vya siasa na serikali kupitia ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Wamefanya uchaguzi uliokuwa wazi ambao haujawahi kutokea nchini na yote haya yamefanikiwa kama Mbowe alivyoahidi uchaguzi utakuwa na sasa wanaenda kuponya majeraha yaliyotokana na uchaguzi
Lissu ameongeza kuwa Mbowe ametumikia kwa vipindi 4 ambavyo ni sawa na miaka 20, alipochukua chama kilikuwa na wabunge 5 na kukipeleka mpaka kuwa chama kikuu cha upinzani, kupata kambi upinzani bungeni kulichoongoza kwa miaka 10, aongeza kuwa Mbowe amekifanya chama kuwa kikubwa kuliko CCM sababu CCM si chama cha siasa, bali ni chama dola, amekifanya kuwa chama kikuu cha siasa
Asema historia ikiandikwa watatambua mchango wa Mbowe kwa kufanya siasa za vyama vingi kuwa viable kufikiwa.
View attachment 3210107
Kwa hakika katika siasa, adui wa jana ni rafiki wa kesho.
CCM , hasa bwana Nchimbi, lini mtampongeza Mwenyekiti mpya wa CHADEMA. Tundu Antipas Lissu?
Siku za nyuma watani wetu CCM hapa jukwaani walituchana ukweli kuwa CHADEMA ni mali ya Mbowe na familia yake, CHADEMA ni mali ya wachaga. Sisi kwa mapenzi ya chama tulipinga sana.
Kauli za Mh. Mbowe kipindi cha kuelekea uchaguzi uliomalizika leo alfajiri zilithibitisha kuwa CHADEMA kilikuwa chama chake binafsi. Hata baadhi ya viongozi na wadau kama akina Yericko Nyerere walimuunga mkono Mbowe kwakuwa walijua Mbowe yuko CHADEMA milele hivyo walijipendekeza ili wakumbukwe kwenye nafasi za ubunge.
Sasa CHADEMA ni mali ya Watanzania.
Kituo kinachofuata ni kuigeuza Tanzania kuwa mali ya Watanzania wote.
Ile Tanzania ya Rais anatembeza na mabulungutu ya pesa anagawa kila anakokwenda inakwenda kukomeshwa .
Watanzania wote watafaidi rasilimali za nchi yao.
Mimi ni miongoni mwa wachache ambao nanufaika na rasilimali za nchi hii ila si mbinafsi , natamani kilTaifa nzania afurahie rasilimali zetu .
Mambo ya kuchukua mamia ya wasanii kwenda nao Dodoma na kuwalipa pesa kizembe yanakwenda kuisha.
Lissu mdau mkubwa wa haki.
Haki uinua Taifa
Hakuna ubishi kuwa Lissu ni msomi wa kiwango cha juu kabisa. Kutokana na majukumu mapya aliyopewa na wanachama wa CDM, anatakiwa awe kiongozi anaeamini katika;
1. Aache kutuhumu bila kuwepo kwa ushaidi.
2. Amwombe Mzee Mbowe Msamaha hadharani kwa kumwita mla rushwa.
Ni wale wenye hekima na busara ambao hawawezi kukaa kwenye mazingira ya makelele na mdomo bila mipango.
Inasekekana watajiengua Chadema kwa makundi makundi na kwa awamu tofauti tofauti watapokelewa na watajiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM, kwa nyakati tofauti.
Kama mdau wa siasa za ndani ya Chadema, ukipima vizuri na kutathmini mambo haya kwa kina, unadhani waliopo pale Chadema, nani hapendi kelele na mdomo, na kwahivyo itakua vigumu kufanya siasa ndani ya chama hicho, na hekima itamuelekeza kujiengua?π
Ni wale wenye hekima na busara ambao hawawezi kukaa kwenye mazingira ya makelele na mdomo bila mipango.
Inasekekana,
watajiengua Chadema kwa makundi makundi na kwa awamu tofauti tofauti watapokelewa na watajiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM, kwa nyakati tofauti.
Kama mdau wa siasa za ndani ya Chadema, ukipima vizuri na kutathmini mambo haya kwa kina,
unadhani waliopo pale Chadema, nani hapendi kelele na mdomo, na kwahivyo itakua vigumu kufanya siasa ndani ya chama hicho, na hekima itamuelekeza kujiengua?π
Ni wale wenye hekima na busara ambao hawawezi kukaa kwenye mazingira ya makelele na mdomo bila mipango.
Inasekekana watajiengua Chadema kwa makundi makundi na kwa awamu tofauti tofauti watapokelewa na watajiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM, kwa nyakati tofauti.
Kama mdau wa siasa za ndani ya Chadema, ukipima vizuri na kutathmini mambo haya kwa kina, unadhani waliopo pale Chadema, nani hapendi kelele na mdomo, na kwahivyo itakua vigumu kufanya siasa ndani ya chama hicho, na hekima itamuelekeza kujiengua?π