Pre GE2025 Lissu aongea baada ya ushindi CHADEMA, asema Mbowe aliahidi uchaguzi wa huru na haki na ametenda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona mambo ya CHADEMA yanakutesa sana? Hata kama wakijiunga na CCM tatizo liko wapi?
si kweli ndungu masumbuko, usiwapotoshe wadau,

mimi ni mtaalamu wa siasa na kwahivyo siasa haiwezi kunibabaisha ndugu yangu masumbuko πŸ’
 
TL akimtuhumu mtu anakuwa na ushahidi,akurupuki hovyo,ndo maana wameshindwa kumshitaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…