Jamani tutakuja kuingia hasara na huyu mgonbea wetu.Kama NEC wanaruhusu tubadilishe mapema.Wananchi huku wanamshangaa sana namna anavyobeza hii miundo mbinu yote ambayo imetekelezwa kipndi hiki.Wanajiuliza yeye anataka kuleta nini kwa sababu shida za wananchi ni zilezile za maji,umeme,barabara,afya,elimu nk. Wanajiuliza au anataka kugawa pesa kwa kila mtu ili kila mtu atengeneze miundo mbinu yake ?
Jamani hapa kuna tatizo,CHADEMA hawajapata bado mgombea.Badilisheni mapema kama inaruhusiwa
MNAKESHA BURE!Lissu aache kuweweseka!
ccm mbona mnachelewa kumbadilisha magu hawezi kushinda safari hii ni LisuJamani tutakuja kuingia hasara na huyu mgonbea wetu.Kama NEC wanaruhusu tubadilishe mapema.Wananchi huku wanamshangaa sana namna anavyobeza hii miundo mbinu yote ambayo imetekelezwa kipndi hiki.Wanajiuliza yeye anataka kuleta nini kwa sababu shida za wananchi ni zilezile za maji,umeme,barabara,afya,elimu nk. Wanajiuliza au anataka kugawa pesa kwa kila mtu ili kila mtu atengeneze miundo mbinu yake ?
Jamani hapa kuna tatizo,CHADEMA hawajapata bado mgombea.Badilisheni mapema kama inaruhusiwa
Lawama zote kwa viongozi wa Chadema hawampi taarifa sahihi na hali halisi ya nchi kwa sasa, ndiyo maana wakati anahojiwa na chombo cha habari cha Kenya hivi karibuni bado yeye aliendelea kutoa taarifa za kwamba corona bado ipo na inaua watu wengi Tanzania hadi waandishi wa habari waliokuwa wakimhoji wakamshangaa na mmoja wao akamuuliza kama ipo mbona nyinyi viongozi wa Chadema hamvai barakoa? hakutegemea kwa hilo swali akawa na kigugumizi 'therefore na you know" zikawa nyingi sana kutoka mdomoni mwake. Kwa kifupi jamaa ni garasha na kila anapohutubia anapunguza kura badala ya kuongeza, mbaya zaidi viongozi wenzake wa Chadema wanamuogopa kumpa ushauri wa vitu gani muhimu anatakiwa aviongelee kwenye hotuba zake.Upo sahihi Lissu kwenye suala la hekima ana mapungufu kidogo.
Lawama zote kwa viongozi wa Chadema hawampi taarifa sahihi na hali halisi ya nchi kwa sasa, ndiyo maana wakati anahojiwa na chombo cha habari cha Kenya hivi karibuni bado yeye aliendelea kutoa taarifa za kwamba corona bado ipo na inaua watu wengi Tanzania hadi waandishi wa habari waliokuwa wakimhoji wakamshangaa na mmoja wao akamuuliza kama ipo mbona nyinyi viongozi wa Chadema hamvai barakoa? hakutegemea kwa hilo swali akawa na kigugumizi 'therefore na you know" zikawa nyingi sana kutoka mdomoni mwake. Kwa kifupi jamaa ni garasha na kila anapohutubia anapunguza kura badala ya kuongeza, mbaya zaidi viongozi wenzake wa Chadema wanamuogopa kumpa ushauri wa vitu gani muhimu anatakiwa aviongelee kwenye hotuba zakeJamani tutakuja kuingia hasara na huyu mgonbea wetu.Kama NEC wanaruhusu tubadilishe mapema.Wananchi huku wanamshangaa sana namna anavyobeza hii miundo mbinu yote ambayo imetekelezwa kipndi hiki.Wanajiuliza yeye anataka kuleta nini kwa sababu shida za wananchi ni zilezile za maji,umeme,barabara,afya,elimu nk. Wanajiuliza au anataka kugawa pesa kwa kila mtu ili kila mtu atengeneze miundo mbinu yake ?
Jamani hapa kuna tatizo,CHADEMA hawajapata bado mgombea.Badilisheni mapema kama inaruhusiwa
unataka kutuambia anaogopwa kuliko Magu anavyoogopwa ccmLawama zote kwa viongozi wa Chadema hawampi taarifa sahihi na hali halisi ya nchi kwa sasa, ndiyo maana wakati anahojiwa na chombo cha habari cha Kenya hivi karibuni bado yeye aliendelea kutoa taarifa za kwamba corona bado ipo na inaua watu wengi Tanzania hadi waandishi wa habari waliokuwa wakimhoji wakamshangaa na mmoja wao akamuuliza kama ipo mbona nyinyi viongozi wa Chadema hamvai barakoa? hakutegemea kwa hilo swali akawa na kigugumizi 'therefore na you know" zikawa nyingi sana kutoka mdomoni mwake. Kwa kifupi jamaa ni garasha na kila anapohutubia anapunguza kura badala ya kuongeza, mbaya zaidi viongozi wenzake wa Chadema wanamuogopa kumpa ushauri wa vitu gani muhimu anatakiwa aviongelee kwenye hotuba zake.
Je na wewe unatokea hiyo jamii au wewe watoka jamii nyingine? Kuna muimbaji hapa Tanazani anaitwa Lissu? Kama hakuna tafakari hiyo jamii ni watu wa aina gani.Ndugu, huyu Tundu watu hawamjui ni nani. Hii naiongelea Kilimanjaro ambako baadhi ya maeneo Chadema wanawika. Wachache wanajua ni mgonjwa kaja juzi juzi tuu na hawajui kama ni mgombea. Na nikisema Lisu wanasema huyo ni muimbaji wa njimbo za injili
Hapa kuna kitu nmenote, Lisu out!
Itoshe tu kusema ccm kuna watu wana akili sana na mipango yao huanzia mbali.
Lissu aache kuweweseka!
Wewe ndiyo mpumbavu kabisa. Issue hapa ni kosa la maadili. Ingekua mahakama imetengua uamuzi wa Spika, basi Lissu angerudishiwa ubunge wake. Hivyo, kosa la maadili linaendelea kusimama mpaka leo.
Jamani tutakuja kuingia hasara na huyu mgonbea wetu.Kama NEC wanaruhusu tubadilishe mapema.Wananchi huku wanamshangaa sana namna anavyobeza hii miundo mbinu yote ambayo imetekelezwa kipndi hiki.Wanajiuliza yeye anataka kuleta nini kwa sababu shida za wananchi ni zilezile za maji,umeme,barabara,afya,elimu nk. Wanajiuliza au anataka kugawa pesa kwa kila mtu ili kila mtu atengeneze miundo mbinu yake ?
Jamani hapa kuna tatizo,CHADEMA hawajapata bado mgombea.Badilisheni mapema kama inaruhusiwa
Sasa unafikili atakuwa na hoja gani za maana huyo Tundu!.. 24/7 ni kupinga mambo aliyofanya JPM , anawaona wananchi wajinga! Kiufupi lissu kajawa na chuki na Jpm , na itawa cost cdm!.
hao sio majasiri ila wana maslahi na yanayoendelea wakiamfanya huo unaouona ni ujasiri.Sema ujasiri wa watanzania upo kwenye keyboard.
Tanzania ingekuwa na watu jasiri serious kama John Heche, Tundu Lisu. HALIMA MDEE , John Mnyika na wengine kama hao angalau 1000, utawala wa kimabavu wa ccm ungeshafika kikomo miaka 10 iliyopita.
Nchi hii ujinga umetamalaki, raia hawajui haki zao za msingi na wanaojaribu kuwaelimisha kuhusu haki zao wanaonekana wasaliti.
Serikali ikitimiza wajibu wake kama kujenga barabara na miundombinu mingine , wananchi wengi kutokana na ujinga wao wanahisi wanafanyiwa upendeleo.
Baadhi ya watanzania ni sawa na mtu ambaye anatoa hela kwenye ATM halafu anaishukuru ATM kwa kumpa pesa ambazo ni zake.
Sasa mtu akudhamini tu bila kumwambia japo kwa kifupi utafanya nn..... akili huna hata za kuambiwa unashindwa kutumia.Yeye ametuma maombi tume ya kugombea kiti cha urais, anaanzaje kuwaambia wananchi kwamba akiingia ikulu, huyu ni sawa na mwanafunzi kafanya mtihani wa kumaliza form six anapokuwa anasubiri matokeo, hawezi tena kuanza kuomba kujaza form za kujiunga chuo kikuu. Lazima asubiri matokeo na ajue kama ame pass au la. Lissu anapata wapi uthibitisho kama tume imempitisha?
Chadema siku zote tunawaambia mnaendeshwa na mihemko, hamuwezi kuchanga za kuambiwa na zenu. Halafu mtasema tume imewaonea wakati mmeyafanya weneywe tena mmeanza kutoa ahadi, maana yake mnanadi ilani kabla ya kipenga. Tupa kule wajinga hawa