Uchaguzi 2020 Lissu aonya juu ya mkakati wa nia ovu ya kumuengua baada ya watawala kupagawa kwa kimbunga chake mikoani, asema hilo halitofanikiwa

Uchaguzi 2020 Lissu aonya juu ya mkakati wa nia ovu ya kumuengua baada ya watawala kupagawa kwa kimbunga chake mikoani, asema hilo halitofanikiwa

Ndio maana anahutubia kwenye ofsi za chama tu. Na analifahamu hilo. Sasa kupata wadhamini miambili wenye kadi kila mkoa unadhani hao unakutana nao wapi?? Kuna wenye kadi na wasio na kadi wote watakufata.

Nyie si mmefanya mambo mazuri kwa watanzania?? Sasa woga wa nini?
Mkuu hivi yule Pumba na yeye huwa anafikisha hao 200 kwenye kila mkoa?
 
Akizungumza mbele ya umati wa wananchi huko Babati, Lissu amesema wamepata taarifa za vikao vya wakubwa na vibaraka wao wanaohofia kimbunga chake huko mikoani.

Lissu anasema mkakati huo wa kumuengua ulijenhwa juu ya hoja mbili.

1. Ya kwanza ni wao kutaka kupitia kichaka cha maadili, kwamba kwa kuwa alifutwa Ubunge na Ndugai kupitia hoja mfu za maadili basi asiruhusiwe kugombea urais. Lissu anasema hoja hiyo wameshaifuta kwa sababu sheria inataka mtu awe amefungwa ndo hilo takwa linakamilika.

2. Pili kuhusu nia yao ovu ya kumuengua kuhusu kuanza kampeni mapema Lissu kasema kuwa kisheria Mtu haanzi kampeni mapema mpaka awe tayari ameshapitishwa na tume huru ya uchaguzi kuwa mgombea na kisha tarehe ya kampeni iwe imetangazwa ndo unaweza kusema kuwa huyu kaanza kampeni mapema! Kama Tume haijapitisha wagombea basi kisheria hakuna cha suala la kuanza kampeni mapema.

Hoja kuntu za Lissu unaweza kuzisikiliza hapa chini:


Zitto kashasema wakifanya hivyo kwa tuhuma za kubumba basi uchaguzi hautofanyika.
 
Nilikuwa kijijini juzi. Kati ya watu 100 wanaomjua lissu ni watatu, hawezi kuwa Raisi
Ndugu matanga, kama ni kweli hiyo hoja yako, unaweza niambia ulitaka wamjueje wakati walikatazwa kufanya siasa, au hulijui hili? Sasa siasa ndiyo zinaanza, baada ya muda rudi tena huko porini kwenu ufanye tena huo utafit uchwara wako
 
Yaani kumchagua lisu tumepotea sana wanachadema
Lisu ana akili nyingi sana lakini hana hekima kabisa
..afadhali ya nyarandu mara mia kuliko lisu
Naomba msinifokee maoni yangu tu..
Upo sahihi Lissu kwenye suala la hekima ana mapungufu kidogo.
 
Ha ha jamaa ana akili sana..kweli unaanzaje kampeni wakati hujateuliwa?
Mchezo wa mpira unaanza kuchezwa baada ya kipenga cha kwanza cha Refa na kumalizika kwa kipenga cha mwisho na siyo baada ya kuingia uwanjani na kuanza kupiga mpira golini hayo ni mazoezi tu. Timu zetu za mpira hushinda kabla hata hazijaingia uwanjani na baada ya mchezo walioshinda wanafurahi walioshindwa wanalalama Uwanja haukuwa mzuri au ile mvua ilisababisha wafungwe lakini kwa mwenye akili atajua sababu ni udhaifu wa timu iliyofungwa kwa sababu timu zote mbili zimetumia Uwanja huohuo na hali hiyohiyo. Akili za Wabongo ni kutafuta sababu zisizokuwepo.
 
Hekima gani unayoitaka?

Hivi huyo magufuli ana hekima?

Hahahaaa.... Aiseee...

Doooh!
Magufuli ana hekima sana ndio maana alimwambia job ndugai awashughulikie wabunge ndani ya bunge na yeye atashughulika nao wakiwa nje ya bunge.
 
Lissu alikuwa ameanza campaign mapema simple as that awezi jifananisha na raisi katika miaka 5 mtu aliekuwa anatimiza wajibu wake.

Kanuni za uchaguzi ziko wazi na chombo chenye mamlaka ya kuzitunga ni NEC kwa mujibu wa sheria, Lissu was wrong, mengine ni porojo.

Labda atumie mfano wa anachokiongea Magufuli muda huu kwenye mkutano wa TAG huku sasa ni kufanya political campaign na yeye.

Ukishaanza kuingiza mambo ya umefanya nini na kutoa ahadi za mbele utafanya ita ilo tukio kwa jina lolote sijui mwaliko au harakati za kutafuta wadhamini provided umeingiza maneno ya kujipigia debe that’s a campaign.

Alikuwa anatumia haki yake ya kikatiba kuzungumza mambo ya nchi.

Kwani umeshasikia mahali popote katika mazungumzo ya Lissu akiomba kura kwa wananchi kuwa wananchi naomba kura zenu?

Siku atakapoanza kuomba kura hapo ndo atakapokuwa ameanza kampeni!
 
Umenikumbusha! Ila, MKATA UMEME alikuwa ni Lubuva, tofauti na wa sasa, ambaye hafichi UKADA wake kwa CCM!
Hapana sidhani kama ni kada,kwani ulishawahi muona na kadi ya ccm au kuteuliwa/kuchaguliwa na ccm katika nafasi yoyote ile?,mkuu ngoja tusubili wananchi watakachoamua,huku wenye mlengo usioegemea upande wowote tukicheki tu matokeo na makopo ya popcorn tu.
 
Haoni mwenzake magufuli abatafuta wadhamini kimya kimya?
 
Alikuwa anatumia haki yake ya kikatiba kuzungumza mambo ya nchi.

Kwani umeshasikia mahali popote katika mazungumzo ya Lissu akiomba kura kwa wananchi kuwa wananchi naomba kura zenu?

Siku atakapoanza kuomba kura hapo ndo atakapokuwa ameanza kampeni!
Uwezi kuita watu nyumbani kwako, ukaanda vinywaji, chakula, DJ, mziki ukapigwa, watu mkaserebuka; halafu ukaita kikao. Hiyo ilikuwa ni party ni simple as that by definition.

Similarly definition ya campaign ni kujinadi kwenye mkusanyiko wa watu wewe ndio unafaa, unabsinisha makosa ya wenzako, unatoa maelezo utafanya nini wakati ukipata nafasi, etc. Popote unapo hutubia umma maswala ya siasa na kuahidi mabadiliko ni campaign by definition.

Na kanuni za tume ya uchaguzi zipo wazi they are self explanatory (literally meant/rule) uitaji kuwa mwanasheria kujua what is permitted and not during this period.

Lissu amekuwa akifanya campaign na yeye anajua kosa hilo ndio maana anatafuta justification ya kusema Magufuli nae alikuwa akifanya kwa miaka mitano which is not true.

Hakuna mwanasheria yoyote huko twitter wale wanazi wa upinzani wataoweza pinga icho liko wazi by definition Lissu ameanza campaign kabla ya muda kwa kanuni za kusimamia uchaguzi zilizotolewa na NEC.
 
Akizungumza mbele ya umati wa wananchi huko Babati, Lissu amesema wamepata taarifa za vikao vya wakubwa na vibaraka wao wanaohofia kimbunga chake huko mikoani.

Lissu anasema mkakati huo wa kumuengua ulijenhwa juu ya hoja mbili.

1. Ya kwanza ni wao kutaka kupitia kichaka cha maadili, kwamba kwa kuwa alifutwa Ubunge na Ndugai kupitia hoja mfu za maadili basi asiruhusiwe kugombea urais. Lissu anasema hoja hiyo wameshaifuta kwa sababu sheria inataka mtu awe amefungwa ndo hilo takwa linakamilika.

2. Pili kuhusu nia yao ovu ya kumuengua kuhusu kuanza kampeni mapema Lissu kasema kuwa kisheria Mtu haanzi kampeni mapema mpaka awe tayari ameshapitishwa na tume huru ya uchaguzi kuwa mgombea na kisha tarehe ya kampeni iwe imetangazwa ndo unaweza kusema kuwa huyu kaanza kampeni mapema! Kama Tume haijapitisha wagombea basi kisheria hakuna cha suala la kuanza kampeni mapema.

Hoja kuntu za Lissu unaweza kuzisikiliza hapa chini:


Mbona Mbowe haonekani kufurahi, kakasirikia nini?!
 
Subiri uone!

Kipindi kile tunapiga kelele humu kwamba kwanini Lisu ameshindwa kujaza form ya maadili ya viongizi mkasema hoo alikuwa anatibiwa! Tukawaambia mbona anazunguka huko ulaya tunamuona? Mkasema hoo hatuna la kumfanya Lisu!

Sasa nec ndio hao sasa watamfanya na Lisu kashagundua wapi wenzie watamchinjia ndio maana ameanza kujihami mapema.

Safari hij kapatikana.
Naona mnamuogopa Lissu kama Covid-19 inavyoogopwa ulaya
 
Yaani kumchagua lisu tumepotea sana wanachadema
Lisu ana akili nyingi sana lakini hana hekima kabisa
..afadhali ya nyarandu mara mia kuliko lisu
Naomba msinifokee maoni yangu tu..
Nyalandu hamna kitu ni mjanja mjanja
Hana uwezo wa kuchambua mambo
Atawauza asubuhi na mapema
 
Back
Top Bottom