Uchaguzi 2020 Lissu apokelewa Tarime kwa kishindo

Watumishi wa umma akili ziwakae sawa
Tangu Uhuru hakuna kipindi ambacho watumishi wa umma wameishi kinyonge na kimaskini Kama kipindi Cha 2015-2020. Hata ulisema habari ya SGR ,bwawa la maji, hospital zilizojengwa hawaelewi.Kuna kundi la watumishi wa kutoka tamisemi wanazurura nchi nzima kuzungumza na kutafuta Nini watumishi wa umma wanachofikiri kuhusu uchaguzi Mkuu wa October .ukweli Ni kwamba watumishi wote wa umma wanaotarajia kumwaga mboga na aliyebakia amwage ugali.
 
Tarime sio mbali na sirari mpakani na Kenya kwenye korona,

Kumbe lisu aliwadanganya wakenya kuwa tuna korona.

Awalize hao wana tarime kama wana korona, tusikie majibu yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…