Wakulima na wanafanya biashara piaWatumishi wa umma akili ziwakae sawa
Mtumishi wa umma atayemuunga mkono Jiwe apimwe akili kama ni normal au ni abnormal
SGR wana miezi mitatu hawajawalipa wazabuni kuna migomo isiyokwisha ulipaji wao ni wa shida wakati tunaambiwa ni pesa za ndani zinaendesha mradi huoTangu Uhuru hakuna kipindi ambacho watumishi wa umma wameishi kinyonge na kimaskini Kama kipindi Cha 2015-2020. Hata ulisema habari ya SGR ,bwawa la maji, hospital zilizojengwa hawaelewi.Kuna kundi la watumishi wa kutoka tamisemi wanazurura nchi nzima kuzungumza na kutafuta Nini watumishi wa umma wanachofikiri kuhusu uchaguzi Mkuu wa October .ukweli Ni kwamba watumishi wote wa umma wanaotarajia kumwaga mboga na aliyebakia amwage ugali.
Wewe si ulisema 08/08 Lissu hakupata mafuriko?Hahhaha.. Makamanda mnapagawa na mafuriko bado?
Hayo hata enzi za Slaa yakikuwepo mara mbili yake
Ni za ushoga! Una lingine?Hizo bangili alizovaa mkono wa kulia ni za nini
Na wewe unataka kama hiyo?Naona amepigilia tshirt mpya!
Hahhaha.. Makamanda mnapagawa na mafuriko bado?
Hayo hata enzi za Slaa yakikuwepo mara mbili yake
Jiwe hawezi kukubaliKUNA MTU ATASHINDWA KULA CHAKULA LEO. MIMI NAOMBA TU MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WOTE TUWASIKIE
Tangu Uhuru hakuna kipindi ambacho watumishi wa umma wameishi kinyonge na kimaskini Kama kipindi Cha 2015-2020. Hata ulisema habari ya SGR ,bwawa la maji, hospital zilizojengwa hawaelewi.Kuna kundi la watumishi wa kutoka tamisemi wanazurura nchi nzima kuzungumza na kutafuta Nini watumishi wa umma wanachofikiri kuhusu uchaguzi Mkuu wa October .ukweli Ni kwamba watumishi wote wa umma wanaotarajia kumwaga mboga na aliyebakia amwage ugali.
Hakuna mtu anahangaika ni vitu vidogo hivyo,KUNA MTU ATASHINDWA KULA CHAKULA LEO. MIMI NAOMBA TU MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WOTE TUWASIKIE
Msimu wa mafuso kupiga helaCCM itakuwa inaandaa magari ya kubeba watu kupeleka kwenye mikutano
Huo wimbo wa corona bakini nao nyie akina bolizozo wacha tusake wadhamini kwa sasa.Tarime sio mbali na sirari mpakani na Kenya kwenye korona,
Kumbe lisu aliwadanganya wakenya kuwa tuna korona.
Awalize hao wana tarime kama wana korona, tusikie majibu yao
Hivi mkuuu maisha yeye Magufuli anayoish na watumishi wa nchi hii ndivyo wanavyoishi? Magufuli ana roho mbaya sana,watumishi tunafanya kazi mnoo lakini hata mia haongezi ,yaani hana shukrani wala imani .Watumish wakati mwingne tunamuombeaga mabaya kabisaaa.Mzee Ruksa juzi pale Lupaso wenye akili walimuelewa. Kuwa wakati anapokea nchi wengine hata kuvaa viatu ilikuwa ni mambo ya kusadiki kama ya mbinguni au kusubiri umri flani ndio ulazimike. Kuna kipindi Tanzania wafanyakazi walikuwa wanavaa sarawili zenye viraka makalioni. Tena wale wa mabakabaka. Ugumu unaongelea wa wafanyakazi ni upi hasa ukilinganisha na nini?
KabisaMsimu wa mafuso kupiga hela