MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 305
- 728
Tundu Lissu ameishiwa sera ni bora akae kimya kuliko kuongea uongo na upotoshaji pindi anapoomba kura kwa wananchi katika kampeni zake.
Leo akiwa katika kampeni zake Makambako, Mkoani Iringa amewaeeleza wananchi kuwa uwanja wa ndege wa Mpanda kwa sasa haufanyi kazi kwamba ulijengwa kwasababu Mizengo Pinda alikuwa Waziri Mkuu kuwa Sasa sio Waziri Mkuu anaishi Zuzu Dodoma, Uwanja wa Ndege wa Mpanda watu wanalishia Mbuzi na Ng'ombe, jambo ambalo siyo kweli.
Ukweli ni kwamba mpaka sasa ndege za Air Tanzania zinafanya safari za kwenda mpanda, ushahidi huo hapo chini, unaoonesha kuwa kesho Tarehe 15/09/2020
Air Tanzania inaenda MPANDA na SEATS zimebaki 5 tu, hata Lissu anaweza kuziwahi kama unataka kwenda.
Watanzania tuwe makini na huyu Lissu kwa maneno anayoyatoa kwenye kampeni zake katika maeneo yenu, tuyatafakari na kuyatahimini kwani mtu ambaye analopoka mambo ambayo hayajui kiundani. NI MUONGO MPOTOSHAJI, HANA SERA.
Tuendelee kuunga mkono Rais Magufuli ili tuendelee kupata maendeleo
Leo akiwa katika kampeni zake Makambako, Mkoani Iringa amewaeeleza wananchi kuwa uwanja wa ndege wa Mpanda kwa sasa haufanyi kazi kwamba ulijengwa kwasababu Mizengo Pinda alikuwa Waziri Mkuu kuwa Sasa sio Waziri Mkuu anaishi Zuzu Dodoma, Uwanja wa Ndege wa Mpanda watu wanalishia Mbuzi na Ng'ombe, jambo ambalo siyo kweli.
Ukweli ni kwamba mpaka sasa ndege za Air Tanzania zinafanya safari za kwenda mpanda, ushahidi huo hapo chini, unaoonesha kuwa kesho Tarehe 15/09/2020
Air Tanzania inaenda MPANDA na SEATS zimebaki 5 tu, hata Lissu anaweza kuziwahi kama unataka kwenda.
Watanzania tuwe makini na huyu Lissu kwa maneno anayoyatoa kwenye kampeni zake katika maeneo yenu, tuyatafakari na kuyatahimini kwani mtu ambaye analopoka mambo ambayo hayajui kiundani. NI MUONGO MPOTOSHAJI, HANA SERA.
Tuendelee kuunga mkono Rais Magufuli ili tuendelee kupata maendeleo