Lissu apotosha mwananchi kuhusu Uwanja wa Ndege wa Mpanda-Katavi

Lissu apotosha mwananchi kuhusu Uwanja wa Ndege wa Mpanda-Katavi

SASA tunapoelekea watanzania mtaanza kuhojiwa kwanini mnajenga nyumba ya vyumba vitatu wakati unatumia chumba kimoja tuu...vitu kujengwa sio tatizo, la msingi tuendelee kuwasapoti watu tuliowapa dhamana waendelee kufanya Mambo mengi makubwa instead of demoralising them.. sidhani kama ni Sawa.. actually sioni tatizo kila Mkoa ukiwa na kiwanja cha ndege kizuri.
Ni ujinga kujenga ghorofa wakati huo wanao hawajala kwa kuwa hamna chakula ndani au hawana mavazi ya kuwasitiri utu wao.
 
Mfumo kuonyesha kuwa siti tatu zimebaki haina maana kuwa kweli siti tatu zimebaki, ujanja huu hufanyika sana hata kwa makampuni ya nje ili kutamanisha abiria kukata tiketi. Nenda pale ofisini kwo utakuta ndege iko wazi zaidi ya asilimia 80
Unaamanisha unaweza kukata ticket hata kama huna mpango wa kusafiri? Acha kutoa majibu ya uongo wewe
 
Uwanja wa ndege wa mpanda unaweza kutua ndege moja kwa wiki tena kwa msimu. Gharama zilizotumika kuujenga na kuuendesha ni kubwa kuliko uhalisia wa matumizi yake. Ulijengwa kwa msukumo wa Pinda wakati Pinda akiwa waziri mkuu, wakati huo mpanda ni wilaya katika mkoa wa Rukwa.

Nawaza tu hawa mawaziri wakuu kama Malecella (Mtera), Cleopa Msuya (Mwanga), Sumaye (Hanang), Sokoine na Lowassa (Monduli) hivi nao wangukuwa wabinafsi na washamba wa ndege, hivi wasingeweza kujenga viwanja vya ndege kule walikotokea?
Toa ushauri wako. Je Mpanda kama makao makuu ya mkoa wa Katavi kusiwe na uwanja wa Ndege??? Sema wana Katavi na Mpanda wakusikie Mtanzania mwenzao???
 
What do you mean by saying there is no economic potential in Katavi? Do we take time to research on the issues we comment?

Helium gas, copper, coal, and other food stuff we eat, come from Katavi. And yet, because we want to hear what we would like listening, we dare make such an informed comment
Wanasiasa wanatujulia sana sababu process nzima ya kufikiria kama individuals, mayor tumeibinafsha kwao. Poor us!
Asante. Watu wanadhani Tanzania inaishia kwenye majiji
 
Uwanja wa ndege wa mpanda unaweza kutua ndege moja kwa wiki tena kwa msimu. Gharama zilizotumika kuujenga na kuuendesha ni kubwa kuliko uhalisia wa matumizi yake. Ulijengwa kwa msukumo wa Pinda wakati Pinda akiwa waziri mkuu, wakati huo mpanda ni wilaya katika mkoa wa Rukwa.

Nawaza tu hawa mawaziri wakuu kama Malecella (Mtera), Cleopa Msuya (Mwanga), Sumaye (Hanang), Sokoine na Lowassa (Monduli) hivi nao wangukuwa wabinafsi na washamba wa ndege, hivi wasingeweza kujenga viwanja vya ndege kule walikotokea?
Hivi mpanda sio makao makuu ya mkoa ?
 
Mkoa mmoja viwanja vya ndege viwili wakati ule wa Msoma kwa baba wa taifa ni uwanja wa vumbi(hauna rami). Kama angefanya upanuzi wa uwanja wa Sumbawanga au kuuboresha, angalau ingeeleweka kidogo na si kujenga uwanja huu wa Mpanda. Mtu mwerevu anaelewa kuwa ni ubinafsi wetu sisi binadamu wa kujipendelea kwetu pasipo kuangalia maslahi ya umma.
Rukwa na katavi ni mikoa tofauti
 
CHADEMA WAMEKOSEA SANA KUTULETEA MGOMBEA AMBAE NI MANUSURA WA KIFO.
ALISTAHILI KUPUMZIKA ILI DISHI LIKAE VIZURI. LAKINI WAO WAMEMTOA HOSPITALI WODINI HADI JUKWAANI.
HUYU JAMAA UKIMCHUNGUZA KWA UMAKINI NI KAMA HAYUKO SAWA.
NADHANI NDIO MAANA MBOWE AMEMKACHA MAPEMA.

TANGIA ALIPOENDA ZANZIBAR NA KUTANGAZA KUMUUNGA MKONO ZITTO NA MAALIM SEIF.
ILHALI CHADEMA INA MGOMBEA URAIS KULE ZANZIBAR.....KUNA JAMBO LILIANZIA HAPO.

ANYWAY WAKATI UKUTA TUTAYAONA YAJAYO
20200909_182648.jpg
 
Wamesha changanyikiwa hao we ngoja utasikia Mengi ipo siku watakuja kitwambia mrad wa Treni ya umeme Sio kweli haupo Ila Watanzania Tunaota
 
Hata Leo hili Tundu limepotosha tena kuwa treni ya Kaliua hadi Mpanda haipo halafu linadanganya wananchi litajenga reli ya Mpada hadi Songwe wakati limeshindwa kujenga ofisi ya chadema makao makuu.
 
Mwisho wa siku mnaodhani wengine tunabeza tunaposema apatiwe psychological help jipeni muda tu na nyie mtafikia hitimisho hilo hilo.

Tundu Lissu hayupo sawa kichwani baada ya uchaguzi ndio ili swala litakuwa dhahiri. We unadhani kwanini viongozi wajuu wa CDM hawana shughuli nae.
Na huyu mwingine anayechanganyikiwa kila akisikia mawazo kinzani na mtizamo wake tumpeleke Apolo kule kwa Mkuu wa mhimili mmoja ama Mojawapo ya hospitali katika mkoa wa Dodoma? Shikamoo kanda ya ziwa kwa kutuwezesha kuzijua rangi halisi za chungwa.
 
Huyu mtu ni mtu mbaya sana. Hana hoja wala sera bali ni kuchonganisha watanzania wachukiane.
Wananchi walitakiwa wamuulize na ukarabati unaofanywa kwenye viwanja vya ndege kwenye mikoa mingine ukiwemo mkoa anaotoka kwa kuzaliwa....wa Singida nao kwa ajili yake kwa kuwa ameruhusiwa kugombea urais kupitia chama cha Mbowe?
 
Rukwa na katavi ni mikoa tofauti
Upo sahihi lakini KIA ina serve Kilimanjaro na Arusha and uwanja wa Songwe una serve Mbeya na mkoa mpya wa Songwe. Formerly Katavi na Mpanda zilikuwa wilaya za Rukwa and so ukiwa na limited resorces huwezi jenga uwanja mwingine tena mkubwa ukaacha kujenga vituo vya afya au shule na ukajenga uwanja ambao ndege inatua mara moja kwa wiki. Ungeweza kuweka kama priority ya baadaye.
 
Back
Top Bottom