mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Ni ujinga kujenga ghorofa wakati huo wanao hawajala kwa kuwa hamna chakula ndani au hawana mavazi ya kuwasitiri utu wao.SASA tunapoelekea watanzania mtaanza kuhojiwa kwanini mnajenga nyumba ya vyumba vitatu wakati unatumia chumba kimoja tuu...vitu kujengwa sio tatizo, la msingi tuendelee kuwasapoti watu tuliowapa dhamana waendelee kufanya Mambo mengi makubwa instead of demoralising them.. sidhani kama ni Sawa.. actually sioni tatizo kila Mkoa ukiwa na kiwanja cha ndege kizuri.
Unaamanisha unaweza kukata ticket hata kama huna mpango wa kusafiri? Acha kutoa majibu ya uongo weweMfumo kuonyesha kuwa siti tatu zimebaki haina maana kuwa kweli siti tatu zimebaki, ujanja huu hufanyika sana hata kwa makampuni ya nje ili kutamanisha abiria kukata tiketi. Nenda pale ofisini kwo utakuta ndege iko wazi zaidi ya asilimia 80
Toa ushauri wako. Je Mpanda kama makao makuu ya mkoa wa Katavi kusiwe na uwanja wa Ndege??? Sema wana Katavi na Mpanda wakusikie Mtanzania mwenzao???Uwanja wa ndege wa mpanda unaweza kutua ndege moja kwa wiki tena kwa msimu. Gharama zilizotumika kuujenga na kuuendesha ni kubwa kuliko uhalisia wa matumizi yake. Ulijengwa kwa msukumo wa Pinda wakati Pinda akiwa waziri mkuu, wakati huo mpanda ni wilaya katika mkoa wa Rukwa.
Nawaza tu hawa mawaziri wakuu kama Malecella (Mtera), Cleopa Msuya (Mwanga), Sumaye (Hanang), Sokoine na Lowassa (Monduli) hivi nao wangukuwa wabinafsi na washamba wa ndege, hivi wasingeweza kujenga viwanja vya ndege kule walikotokea?
Asante. Watu wanadhani Tanzania inaishia kwenye majijiWhat do you mean by saying there is no economic potential in Katavi? Do we take time to research on the issues we comment?
Helium gas, copper, coal, and other food stuff we eat, come from Katavi. And yet, because we want to hear what we would like listening, we dare make such an informed comment
Wanasiasa wanatujulia sana sababu process nzima ya kufikiria kama individuals, mayor tumeibinafsha kwao. Poor us!
Hivi mpanda sio makao makuu ya mkoa ?Uwanja wa ndege wa mpanda unaweza kutua ndege moja kwa wiki tena kwa msimu. Gharama zilizotumika kuujenga na kuuendesha ni kubwa kuliko uhalisia wa matumizi yake. Ulijengwa kwa msukumo wa Pinda wakati Pinda akiwa waziri mkuu, wakati huo mpanda ni wilaya katika mkoa wa Rukwa.
Nawaza tu hawa mawaziri wakuu kama Malecella (Mtera), Cleopa Msuya (Mwanga), Sumaye (Hanang), Sokoine na Lowassa (Monduli) hivi nao wangukuwa wabinafsi na washamba wa ndege, hivi wasingeweza kujenga viwanja vya ndege kule walikotokea?
Rukwa na katavi ni mikoa tofautiMkoa mmoja viwanja vya ndege viwili wakati ule wa Msoma kwa baba wa taifa ni uwanja wa vumbi(hauna rami). Kama angefanya upanuzi wa uwanja wa Sumbawanga au kuuboresha, angalau ingeeleweka kidogo na si kujenga uwanja huu wa Mpanda. Mtu mwerevu anaelewa kuwa ni ubinafsi wetu sisi binadamu wa kujipendelea kwetu pasipo kuangalia maslahi ya umma.
Hao nyumbu wanatafuta kila namna ya kuundermine juhudi zetu kama NchiToa ushauri wako. Je Mpanda kama makao makuu ya mkoa wa Katavi kusiwe na uwanja wa Ndege??? Sema wana Katavi na Mpanda wakusikie Mtanzania mwenzao???
Na huyu mwingine anayechanganyikiwa kila akisikia mawazo kinzani na mtizamo wake tumpeleke Apolo kule kwa Mkuu wa mhimili mmoja ama Mojawapo ya hospitali katika mkoa wa Dodoma? Shikamoo kanda ya ziwa kwa kutuwezesha kuzijua rangi halisi za chungwa.Mwisho wa siku mnaodhani wengine tunabeza tunaposema apatiwe psychological help jipeni muda tu na nyie mtafikia hitimisho hilo hilo.
Tundu Lissu hayupo sawa kichwani baada ya uchaguzi ndio ili swala litakuwa dhahiri. We unadhani kwanini viongozi wajuu wa CDM hawana shughuli nae.
Wananchi walitakiwa wamuulize na ukarabati unaofanywa kwenye viwanja vya ndege kwenye mikoa mingine ukiwemo mkoa anaotoka kwa kuzaliwa....wa Singida nao kwa ajili yake kwa kuwa ameruhusiwa kugombea urais kupitia chama cha Mbowe?Huyu mtu ni mtu mbaya sana. Hana hoja wala sera bali ni kuchonganisha watanzania wachukiane.
Jumanne alhamis na jumamos kwa mara tatu kwa mwezAir Tanzania ya kwenda mpanda ni Mara ngapi kwa mwezi?
Je, kuna economic potential yeyote ya kuweka airport?
Mtu akili inawaza Dar es salaam tuHao nyumbu wanatafuta kila namna ya kuundermine juhudi zetu kama Nchi
Wanataka tuabudu vya wageni
Upo sahihi lakini KIA ina serve Kilimanjaro na Arusha and uwanja wa Songwe una serve Mbeya na mkoa mpya wa Songwe. Formerly Katavi na Mpanda zilikuwa wilaya za Rukwa and so ukiwa na limited resorces huwezi jenga uwanja mwingine tena mkubwa ukaacha kujenga vituo vya afya au shule na ukajenga uwanja ambao ndege inatua mara moja kwa wiki. Ungeweza kuweka kama priority ya baadaye.Rukwa na katavi ni mikoa tofauti