Lissu aseme pia pesa alizotaka kupewa aliambiwa ni za nini au kwa lengo gani?

Lissu aseme pia pesa alizotaka kupewa aliambiwa ni za nini au kwa lengo gani?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa sababu Lissu amekuwa anafunguka sana kwa vyombo vya habari na ameamua kuweka wazi mambo yote ndani ya CHADEMA waandishi wa habari sasa wamuulize Lissu pesa zinazosemewa alililetwa na Abdul ambazo anaambiwa wengine walizichukua waliambiwa ni za nini.

Ili story ikamalike na iweze kuunganika sawasawa itakuwa busara aseme aliambiwa au waliambiwa wanapewa hizo pesa kwa sababu zipi.

Kabla ya kuita hongo au rushwa ni vyema kuelewa madhumuni ya hizo pesa kwanza.
 
Hawezi kusema, na hana huo uthibitisho. Kama hadi leo ameshindwa kuthibitisha kuwa Makonda alishiriki tukio lake wala hajataka kuchukua sheria aliyobobea.
 
Kwa sababu Lissu amekuwa anafunguka sana kwa vyombo vya habari na ameamua kuweka wazi mambo yote ndani ya CHADEMA waandishi wa habari sasa wamuulize Lissu pesa zinazosemewa alililetwa na Abdul ambazo anaambiwa wengine walizichukua waliambiwa ni za nini.

Ili story ikamalike na iweze kuunganika sawasawa itakuwa busara aseme aliambiwa au waliambiwa wanapewa hizo pesa kwa sababu zipi.

Kabla ya kuita hongo au rushwa ni vyema kuelewa madhumuni ya hizo pesa kwanza.
Mbona Lissu alishasema siku nyingi kuwa hizo hela ni kwa ajili ya kuwafunga mdomo wasimseme vibaya mama yake.
 
Kwa sababu Lissu amekuwa anafunguka sana kwa vyombo vya habari na ameamua kuweka wazi mambo yote ndani ya CHADEMA waandishi wa habari sasa wamuulize Lissu pesa zinazosemewa alililetwa na Abdul ambazo anaambiwa wengine walizichukua waliambiwa ni za nini.

Ili story ikamalike na iweze kuunganika sawasawa itakuwa busara aseme aliambiwa au waliambiwa wanapewa hizo pesa kwa sababu zipi.

Kabla ya kuita hongo au rushwa ni vyema kuelewa madhumuni ya hizo pesa kwanza.
Machawa inabidi mumuulize kada wenu aliyempeleka Abdul Kwa lisu
 
Kwa sababu Lissu amekuwa anafunguka sana kwa vyombo vya habari na ameamua kuweka wazi mambo yote ndani ya CHADEMA waandishi wa habari sasa wamuulize Lissu pesa zinazosemewa alililetwa na Abdul ambazo anaambiwa wengine walizichukua waliambiwa ni za nini.

Ili story ikamalike na iweze kuunganika sawasawa itakuwa busara aseme aliambiwa au waliambiwa wanapewa hizo pesa kwa sababu zipi.

Kabla ya kuita hongo au rushwa ni vyema kuelewa madhumuni ya hizo pesa kwanza.
Mpango wenu mbovu umebumburuka na sasa mnahaha kudhani mnaweza kuzuia mafuriko kwa mikono
 
Nimemsikiliza wenje Leo, kakiri alimpeleka mtoto wa rais kwa lissu, ukweli ni kwamba Abdul hakwenda kwa lissu kwa sababu ya pesa za matibabu tu za lissu, nitakuwa wa mwisho kuamini
 
Nimemsikiliza wenje Leo, kakiri alimpeleka mtoto wa rais kwa lissu, ukweli ni kwamba Abdul hakwenda kwa lissu kwa sababu ya pesa za matibabu tu za lissu, nitakuwa wa mwisho kuamini
Jiulize Abduli aende kwa lissu kwa mambo ya pesa za matibabu yeye kama nani kwenye serikali nchi hii ina vituko
 
Nimemsikiliza wenje Leo, kakiri alimpeleka mtoto wa rais kwa lissu, ukweli ni kwamba Abdul hakwenda kwa lissu kwa sababu ya pesa za matibabu tu za lissu, nitakuwa wa mwisho kuamini
Alienda kwa sababu zipi nyingine??
 
Kwa sababu Lissu amekuwa anafunguka sana kwa vyombo vya habari na ameamua kuweka wazi mambo yote ndani ya CHADEMA waandishi wa habari sasa wamuulize Lissu pesa zinazosemewa alililetwa na Abdul ambazo anaambiwa wengine walizichukua waliambiwa ni za nini.

Ili story ikamalike na iweze kuunganika sawasawa itakuwa busara aseme aliambiwa au waliambiwa wanapewa hizo pesa kwa sababu zipi.

Kabla ya kuita hongo au rushwa ni vyema kuelewa madhumuni ya hizo pesa kwanza.
Mbona alisema ni za KUNUNULIWA ili aunge mkono mapambio.
 
Kwa sababu Lissu amekuwa anafunguka sana kwa vyombo vya habari na ameamua kuweka wazi mambo yote ndani ya CHADEMA waandishi wa habari sasa wamuulize Lissu pesa zinazosemewa alililetwa na Abdul ambazo anaambiwa wengine walizichukua waliambiwa ni za nini.

Ili story ikamalike na iweze kuunganika sawasawa itakuwa busara aseme aliambiwa au waliambiwa wanapewa hizo pesa kwa sababu zipi.

Kabla ya kuita hongo au rushwa ni vyema kuelewa madhumuni ya hizo pesa kwanza.

Ni wenda wazimu peke yao wenye kuweza kumwamini Wenje na tantalila zake kwenye hili:

"Body language ya wenje inasema anadanganya, kwenye kusoma human body language when telling lies,Facial expressions,liars may have flared nostrils, bite their lip, blink rapidly, or sweat.
Fidgeting: Liars may shuffle their feet, rock back and forth,or move their head to the side."


Mwisho wa kumnukuu mwungwana mmoja.

By the way, who's Wenje?
 
Kila anayepambana na Lisu huwa anakufa ama anaabika.

Boni Yai, Ntobi na Yericko Nyerere wamedhalilika sana. Jiwe amekufa kabisa.

GfOQmW0XAAAb4Um.jpeg


Na Bado!
 
Hata kama zingekua ni za matibabu, je Abdul ndio anaverify pesa za serikal? Yeye kama nani
Wenje alidanganya Sana watanzania juzi, eti ukutane na mtu mara moja ghafla uzungumzie malipo ya lissu, ni udalali.Mbowe na wenje wote madalali
 
Back
Top Bottom