Mbona Lissu alishasema siku nyingi kuwa hizo hela ni kwa ajili ya kuwafunga mdomo wasimseme vibaya mama yake.Kwa sababu Lissu amekuwa anafunguka sana kwa vyombo vya habari na ameamua kuweka wazi mambo yote ndani ya CHADEMA waandishi wa habari sasa wamuulize Lissu pesa zinazosemewa alililetwa na Abdul ambazo anaambiwa wengine walizichukua waliambiwa ni za nini.
Ili story ikamalike na iweze kuunganika sawasawa itakuwa busara aseme aliambiwa au waliambiwa wanapewa hizo pesa kwa sababu zipi.
Kabla ya kuita hongo au rushwa ni vyema kuelewa madhumuni ya hizo pesa kwanza.
Machawa inabidi mumuulize kada wenu aliyempeleka Abdul Kwa lisuKwa sababu Lissu amekuwa anafunguka sana kwa vyombo vya habari na ameamua kuweka wazi mambo yote ndani ya CHADEMA waandishi wa habari sasa wamuulize Lissu pesa zinazosemewa alililetwa na Abdul ambazo anaambiwa wengine walizichukua waliambiwa ni za nini.
Ili story ikamalike na iweze kuunganika sawasawa itakuwa busara aseme aliambiwa au waliambiwa wanapewa hizo pesa kwa sababu zipi.
Kabla ya kuita hongo au rushwa ni vyema kuelewa madhumuni ya hizo pesa kwanza.
Mpango wenu mbovu umebumburuka na sasa mnahaha kudhani mnaweza kuzuia mafuriko kwa mikonoKwa sababu Lissu amekuwa anafunguka sana kwa vyombo vya habari na ameamua kuweka wazi mambo yote ndani ya CHADEMA waandishi wa habari sasa wamuulize Lissu pesa zinazosemewa alililetwa na Abdul ambazo anaambiwa wengine walizichukua waliambiwa ni za nini.
Ili story ikamalike na iweze kuunganika sawasawa itakuwa busara aseme aliambiwa au waliambiwa wanapewa hizo pesa kwa sababu zipi.
Kabla ya kuita hongo au rushwa ni vyema kuelewa madhumuni ya hizo pesa kwanza.
Wapambe nuxi sanaMpango wenu mbovu umebumburuka na sasa mnahaha kudhani mnaweza kuzuia mafuriko kwa mikono
Jiulize Abduli aende kwa lissu kwa mambo ya pesa za matibabu yeye kama nani kwenye serikali nchi hii ina vitukoNimemsikiliza wenje Leo, kakiri alimpeleka mtoto wa rais kwa lissu, ukweli ni kwamba Abdul hakwenda kwa lissu kwa sababu ya pesa za matibabu tu za lissu, nitakuwa wa mwisho kuamini
Hata kama zingekua ni za matibabu, je Abdul ndio anaverify pesa za serikal? Yeye kama naniNimemsikiliza wenje Leo, kakiri alimpeleka mtoto wa rais kwa lissu, ukweli ni kwamba Abdul hakwenda kwa lissu kwa sababu ya pesa za matibabu tu za lissu, nitakuwa wa mwisho kuamini
Mbona alisema ni za KUNUNULIWA ili aunge mkono mapambio.Kwa sababu Lissu amekuwa anafunguka sana kwa vyombo vya habari na ameamua kuweka wazi mambo yote ndani ya CHADEMA waandishi wa habari sasa wamuulize Lissu pesa zinazosemewa alililetwa na Abdul ambazo anaambiwa wengine walizichukua waliambiwa ni za nini.
Ili story ikamalike na iweze kuunganika sawasawa itakuwa busara aseme aliambiwa au waliambiwa wanapewa hizo pesa kwa sababu zipi.
Kabla ya kuita hongo au rushwa ni vyema kuelewa madhumuni ya hizo pesa kwanza.
Kwa sababu Lissu amekuwa anafunguka sana kwa vyombo vya habari na ameamua kuweka wazi mambo yote ndani ya CHADEMA waandishi wa habari sasa wamuulize Lissu pesa zinazosemewa alililetwa na Abdul ambazo anaambiwa wengine walizichukua waliambiwa ni za nini.
Ili story ikamalike na iweze kuunganika sawasawa itakuwa busara aseme aliambiwa au waliambiwa wanapewa hizo pesa kwa sababu zipi.
Kabla ya kuita hongo au rushwa ni vyema kuelewa madhumuni ya hizo pesa kwanza.
Kila anayepambana na Lisu huwa anakufa ama anaabika.
Boni Yai, Ntobi na Yericko Nyerere wamedhalilika sana. Jiwe amekufa kabisa.
Mbona alisema ni za KUNUNULIWA ili aunge mkono mapambio.
Wenje alidanganya Sana watanzania juzi, eti ukutane na mtu mara moja ghafla uzungumzie malipo ya lissu, ni udalali.Mbowe na wenje wote madalaliHata kama zingekua ni za matibabu, je Abdul ndio anaverify pesa za serikal? Yeye kama nani