Uchaguzi 2020 Lissu asiachwe aeneze uchochezi huu

Uchaguzi 2020 Lissu asiachwe aeneze uchochezi huu

Kwa nnavyojua mm lissu ni mzalendo wa nchi yake ila kwa mwendo huu isiwe cloning yake ile... jembe let jp oyeee
 
We huna akili bwege na fala
Sio kwamba hana akili, ni kweli huyo jamaa yenu ni chinjachinja, ni wangapi wameuawa katika kipindi cha utawala wake ??, tumia akili yako kupinga hoja kwa hoja sio kutukana watu, huyo unaemtukana kuna siku utakutana nae pahala ambapo unahitaji msaada seriously.
 
Sio kwamba hana akili, ni kweli huyo jamaa yenu ni chinjachinja, ni wangapi wameuawa katika kipindi cha utawala wake ??, tumia akili yako kupinga hoja kwa hoja sio kutukana watu, huyo unaemtukana kuna siku utakutana nae pahala ambapo unahitaji msaada seriously.
Nitakutana nae wapi? Hao waliochinjwa unaweza kuweka orodha? Na ndugu zao hawajafungua kesi?
Acha kukariri upuuzi wa huyu fala.
 
Lissu hana tofauti na wakina Kambona wa enzi za Nyerere. Hivi Nyerere angecheka na akina Kambona leo Tanzania tungekuwa wapi?

Lissu kurudi Tanzania wengine bado tunashangaa imekuwa kuwaje? Kambona alikaa huko uhamishoni akarudi Tanzania akakaa kwa heshima kusubiria kufa tu. Hata akina Babu ilikuwa hivyo hivyo. Sasa huyu Lissu anayezunguka akipayuka na kumkashifu Rais ni nani hasa.?
Unajua historia ya Kambona wewe au unajiongelea tu? Alifanya kosa gani hasa au wewe ni zao la zile propaganda za Kijani?
 
Lissu atashughulikiwa sawa na wachochezi wengine, ngoja tumalize uchaguzi kwanza.
 
Ameshakata tiketi ya kurudi kwao ubeligiji. Anajua ni mhalifu
[/ yan unaeza kuta na hili ni libaba na linafamilia 🤔🤔🤔🤔. Kwan lissu ni Raia a wap mana huenda unezaliwa 2017kwa ulichokiandika mataga🙌🏿🙌🏿🤔
 
Mkuu nchi hii hii ya Nyerere wasikamatwe?
Huyo swali la kumuuliza ni kuwa amezaliwa lini maana umri nao unaweza kuwa hoja kubwa juu ya maoni yake kisha tunajibu hivi mwaka 2014 kipindi cha nyuma kulikuwa hakuna watu wa siojulikana ha2a wasiojulikana walitoka wap nani mfadhili wao na wako kwa lengo gani nchi hiii🤔🤔akishajibu
Mkuu wa nchi kwa nn hajaamrisha uchunguzi juu ya hilo tukio 🤔
Muhusika tunamjua trh 28 atajua hajui kmmk
 
Mkuu acha mahakimu, leo Maafisa waandamizi wa JWTZ wamemuambia CDF Mabeyo kwamba analihiriki Jeshi, ameliingiza kwenye siasa chafu za ccm
Mimi huwa najiuliza hawa vingozi wetu hizi mbinu chafu wanazotumia wanadhani hizo nchi nyingine huwa hawazioni.
 
Back
Top Bottom