Uchaguzi 2020 Lissu asiachwe aeneze uchochezi huu

Uchaguzi 2020 Lissu asiachwe aeneze uchochezi huu

Sijui atapitia wapi kurejea kwa mabeberu huyu kibaraka, maana mpaka sasa keshajifunga
 
Kama wewe ni Mtanzania huamini kuwa Makonda ndiye aliyeongoza kikosi cha watu WASIOJULIKANA kumwagia risasi na kumjeruhi TUNDU LISSU kwa maagizo ya Meko aka Jiwe basi inabidi ukapimwe akili.

Utakuwa ni mllemavu wa AKILI
Tukuamini wewe unayesemea vichochoroni? Ajabu na kweli, wenzako wanasema hadharani jinsi walivyopanga.


Wakili wenu kawaambia mjitoe kwenye uchaguzi mnachubiri nini?
 
Ninyi mna mwita Shoga,Msaliti,Beberu,Chiba maneno kibao ya hovyo mbona hajawahi kumwaga povu?
 
Ngoja tujikumbushe ile kauli ya mkuuView attachment 1611029

Aisee, ndiyo maana wahenga walisema "mdomo uliponza kichwa". Haya maneno ni ushahidi thabiti na wa moja kwa moja na yenyewe haya yanamfunga sawia..

Najua wengi wanasema hakutaja jina. Hili halina maana na kama ndivyo anapaswa yeye kuweka wazi, maneno yake haya yalimlenga nani? Yuko na kwenye vita ya uchumi na nani? Wasaliti ni kina nani kwenye vita hii? Yeye Rais anapata wapi mamlaka ya kuamuru watu wauwawe kwa kuigwa risasi kinyume cha sheria?

Hakika mdomo uliponza kichwa. Na atajuta na ataelewa tu kuwa kuwa Rais wa nchi hakukupi uhalali wa kumiliki uhai wa watu kwamba unaweza kuamua tu toka chumbani mwako nani afe..!!

Baada ya kauli hii, masaa matatu baadaye Tundu Lissu akamiminiwa risasi 38 huku 16 zikiingia mwilini...

Ingeishia hapa labda ingekuwa ngumu kuithibitisha kauli ya John Pombe..

Kwani baada ya tukio hili baya kabisa na kinyama, hatimaye uthibitisho ukazidi kujidhihirisha wenyewe kuwa agizo la kumuua Tundu Lissu lilitolewa na John Pombe Magufuli mwenyewe..!

Akanyimwa fedha ya matibabu, akidhani jamaa atakufa..

Ndugai akaagizwa kuwa, akifa huyo moja kwa moja mpelekeni akazikwe kujijini kwake, maiti yake isiingizwe bungeni kuagwa..

Baadaye akamwagiza Ndugai amvue jamaa ubunge..

Duuh, huyu mzee ni shetani na ana roho ya uuaji kabisa..

Kwa hakika kabisa, atatangulia kufa yeye na atamwacha Tundu Lissu akiwa mzima wa afya..!

Lazima alipie dhambi hii ya umwagaji damu za watu akiwa hapa hapa duniani..!!!
 
Acha upumbavu wewe sababu nyinyi ndio mnamzushia uongo kiongozi wetu Mh Tundu Lissu.

Ushoga mmeubariki nyinyi alafu mnamsingizia! Rejea mlivyomkana makonda mkaandika na barua kuwabembeleza mabeberu kuwa mashoga na wasagaji wapo huru Tanzania.

Mkaja tena na uzushi wenu kuwa anatumika na mabeberu ila chaajabu rasilimali karibu zote mlishawapa hao mabeberu.
CCM siku hizi haina tofauti na kikundi cha wahuni
Wewe lia nauongo, ikifika Desemba 18, 2020 Lissu anayoyoma Ubelgiji na huo ndiyo mwisho wake na CDM, maana tapeli Mbowe atakuwa ameishamuondowa kwenye nyadhifa zote kama ilivyotokea kwa Slaa na Lowassa. Kwa vile yeye ana mdomo mchafu kama mamba hata ukatibu kata wa Magufuli hatauona, kazi yake itakuwa kudanganya juu ya TZ na kupewa ruzuku ya kutumia na familia yake. Sisi tuko waangalify saana. Hatutaki waliyoyafanya Wabelgiji DRC yatokee TZ.
 
KWENYE MAHITAJI YA MSINGI KWA BINAADAMU

Tumejitahidi kutoa maji safi na matamu kabisa yenye rangi ya MAZIWA, katika kila uchochoro wa Taifa hili.

Ndugu Mataga tunakuomba kura yako, Ili tuweze kusambaza mabomba ya asali sasa kila uchochoro wa Taifa hili

MITANO TENA
 

Attachments

  • 2600538_tapatalk_1603552691492.jpeg
    2600538_tapatalk_1603552691492.jpeg
    87.2 KB · Views: 1
Wanaukumbi!

Lissu alikuwa wapi siku zote hadi aje sasa kusema hivi?

Kwa nini anamzushia Mh Rais mambo ya hovyo,uongo na uzandiki mkubwa namna hii?

Rais kikwete aliwahi kusema CHADEMA wanakiwanda cha uongo basi hii ndio product.

Lisu asiachwe aeneze uchochezi huu?

Mtakumbuka kuwa tangu Tundu Lissu ashambuliwe hapa Dodoma hakuwahi kusema nani alikuwa nyuma ya tukio lile zaidi ya kusema makonda alikuwepo Dodoma kitu ambacho kilionekana kama uzushi tu na alikaa miaka yote bila kusema nani alipiga au kusema kama serikali ilihusika au la.

Jana mkoani lindi Lissu kaibuka na hii hoja inayoonekana kama kiki tu, Lissu ni mwanasheria hapa anajua hana ushahidi wa jambo hili analomtuhumu Rais, huku akijua baada ya kampeni atajibu hili mahakamani.

Naviomba vyombo vya uchuguzi vimuache amalize kampeni asipate kiki ila akimaliza wamtaiti mpaka aache kuropoka.


USSR
Mnaona siku zimekwisha mmeanza kuweweseka sasa mlidhani jua limesimama!!!???

Mlipopanga yenu dhidi ya Lissu Mungu nae alipanga lake juu yake

Maajabu yakatokea risasi 38 lakini hakufa wote tunajua maamuzi ya uhai wa mtu yapo mikononi mwa Mungu tu chuma kikapona

Halafu kimegeuka kuwa mwiba mchungu na sasa anawanyima usingizi wote tunalijua hilo hata wewe ni shahidi


# NI YEYE TU 2020
# THE BULLET PROOVE
# THE IRON PRESIDENT
# THE REAL KINJEKETILE BULLET CONDENCER
 
Lissu hana tofauti na wakina Kambona wa enzi za Nyerere. Hivi Nyerere angecheka na akina Kambona leo Tanzania tungekuwa wapi?

Lissu kurudi Tanzania wengine bado tunashangaa imekuwa kuwaje? Kambona alikaa huko uhamishoni akarudi Tanzania akakaa kwa heshima kusubiria kufa tu. Hata akina Babu ilikuwa hivyo hivyo. Sasa huyu Lissu anayezunguka akipayuka na kumkashifu Rais ni nani hasa.?
Huna cha kumfanya Lissu

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kauli ya Magufuli akapigwa risasi. Nani kaagiza. Muuaji Magufuli tuuu HATUKTAKII CCM YETU
 
Hahahaa kwa hiyo Lissu aliyeshambuliwa anatakiwa aseme nani kamshambulia? Lakini hii CCM kitu inachowafanya nyie watu Mungu anajua. Akili yote imekuwa corrupted. Mafuvu mmebebea nywele tu hamna akili hata moja.
Yaani akili za watu wengine, hazitibiki hata Mirembe
 
Muda wote amekuwa akizungumzia kushambuliwa kwake bila kumnyoshea mtu kidole. Naona ametibuliwa.
Ni baada ya Mropokaji kuropoka kuhusu ugonjwa na matibabu yake alipokuwa Arusha juzi.
 
Lissu hana tofauti na wakina Kambona wa enzi za Nyerere. Hivi Nyerere angecheka na akina Kambona leo Tanzania tungekuwa wapi?

Lissu kurudi Tanzania wengine bado tunashangaa imekuwa kuwaje? Kambona alikaa huko uhamishoni akarudi Tanzania akakaa kwa heshima kusubiria kufa tu. Hata akina Babu ilikuwa hivyo hivyo. Sasa huyu Lissu anayezunguka akipayuka na kumkashifu Rais ni nani hasa.?

Ni Raisi anaesubiri kuapishwa.
 
Kakojoe ulale. Waache wanaume wakae barazani waongee jambo lao. Kila kisemacho kina ushahidi wa kina. Hapa nyau anaringishiwa nyama ili akurupuke, ajiingize mwenyewe, na game lianze.
 
Punguani mkubwa ulitaka Lissu atajua walompiga risasi yeye angejuaje zaidi ya kujua tukio lilipangwa na Makonda
 
Hapo utasikia bwana Pole pole anatoa maagizo kwa jeshi la polisi,
Huko nyuma inasadikiwa Alphonce Mawazo aliuawa mchana kweupe.
Kwa kweli kuna sababu ya watanzania kudai haki na uhuru,
vikipatikana hivyo amani yetu itadumu.
Ni kweli, tunahitaji kuona hapana mtu yeyote ndani ya nchi hii anaonewa, anateswa, anauawa, anawekwa kwenye viroba kwa sababu ya kutofautiana msimamo wowote ule, sio leo anauawa mfuasi wa Upinzani polisi wanajikalisha kimya, akiuawa mkora wa ccm unawasikia polisi (mpaka igp) wanakomaza misuri ya shingo wakiahidi uchunguzi wa kina, na mwisho wa siku wanaokamatwa mara nyingi ni wafuasi wa upinzani
 
Back
Top Bottom