Uchaguzi 2020 Lissu asiachwe aeneze uchochezi huu

Uchaguzi 2020 Lissu asiachwe aeneze uchochezi huu

Laghaiiii tu
alikuwa wapi siku za nyuma
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2020-10-22 at 12.40.23.mp4
    6 MB
JIwe ameiba matrilioni na anamiliki kimyemela makampuni ya ujenzi kwa jina la Mayanga Construction. Kuna mengi tutayasikia yote, mauaji ya watanzania wasio na hatia ni mengi kila kona na anahusika.
 
Mtakumbuka kuwa tangu Tundu lisu ashambuliwe hapa Dodoma hakuwahi kusema nani alikuwa nyuma ya tukio lile zaidi ya kusema makonda alikuwepo Dodoma kitu ambacho kilionekana kama uzushi tu na alikaa miaka yote bila kusema nani alipiga au kusema kama serikali ilihusika au la.

Jana mkoani lindi Lissu kaibuka na hii hoja inayoonekana kama kiki tu, Lissu ni mwanasheria hapa anajua hana ushahidi wa jambo hili analomtuhumu Rais, huku akijua baada ya kampeni atajibu hili mahakamani .

Naviomba vyombo vya uchuguzi vimuache amalize kampeni asipate kiki ila akimaliza wamtaiti mpaka aache kuropoka
Kwani hili nalo ni jambo la kuletwa hapa lijadiliwe?

Wewe siku zote hizo hukujua wala kusikia ni nani mhusika mkuu wa matukio kama hayo?

Uchunguzi uliruhusiwa ufanyike ili ijulikane ni nani mhusika?

Wewe unaposhikiwa akili, halafu wewe mshikiwa akili unataka nawe uwe na watu wa kuwashikia akili, hayo siyo maajabu?
 
Sihasa hizo mkuu, achana nae hana ushahidi wa lolote.
 
Acha upumbavu wewe sababu nyinyi ndio mnamzushia uongo kiongozi wetu Mh Tundu Lisu.
Ushoga mmeubariki nyinyi alafu mnamsingizia! Rejea mlivyomkana makonda mkaandika na barua kuwabembeleza mabeberu kuwa mashoga na wasagaji wapo huru Tanzania.
Mkaja tena na uzushi wenu kuwa anatumika na mabeberu ila chaajabu rasilimali karibu zote mlishawapa hao mabeberu.
CCM siku hizi haina tofauti na kikundi cha wahuni
Mgombea wao ndio kabisa anatia aibu kwa uongo kuhusu hoja za wabunge wetu, ndani ya bunge.

Maoni ya wapinzani kuhusu vitendo vyake vya ukandamizaji wa haki yanazuiliwa, mlidhani yataweza kufichika kwenye teknolojia ya sasa.

Mungu wa kweli aliyemwepusha Shujaa Lissu kwenye shambulio la kishetani bado yupo.

Wakati sasa umefika, CCM lazima mtalipa tu kwa kipindi cha miaka mitano ya giza mlichotupitisha.

Tumechoka na ibada zenu kwa Jiwe zinazoongozwa na njaa zenu, WAKATI waTz wanadhulumiwa maisha na usitawi mchana kweupe.
Wote wenye nia ya kulikomboa taifa letu tutatoka kwenda kupiga na kulinda kura zetu.

Tunataka UHURU, HAKI na MAENDELEO YA WATU. SASA BASI.
Amen
1603549084723.png
 
..jeshi la Polisi wafanye uchunguzi.

..vinginevyo Tundu Lissu ataendelea kuwataja wale anaohisi wanahusika.

..ila mimi naamini anachokisema kwasababu hakuna maelezo ya kwanini walinzi wa area D waliondolewa siku aliyoshambuliwa Tundu Lissu.
Watakuja tuelezea vizuri tukiishamaliza kazi 28/10
 
Kwa sasa Lisu ni untouchable, dunia nzima jicho lipo hapo,aliyeambiwa yupo ni mgombea si ajibu, we unamjibia kama nani? siku hizi mshakuwa wajnga kila mtu anaamlisha vyombo vya usalama nini cha kufanya,mbeleko itawaua.simameni kama nyinyi.
 
Lissu hana tofauti na wakina Kambona wa enzi za Nyerere. Hivi Nyerere angecheka na akina Kambona leo Tanzania tungekuwa wapi?

Lissu kurudi Tanzania wengine bado tunashangaa imekuwa kuwaje? Kambona alikaa huko uhamishoni akarudi Tanzania akakaa kwa heshima kusubiria kufa tu. Hata akina Babu ilikuwa hivyo hivyo. Sasa huyu Lissu anayezunguka akipayuka na kumkashifu Rais ni nani hasa.?
Mnapoandika hivyo mnamaanisha kuwa kweli mlitaka kumuua kwa hiyo wauwaji wa Lisu ni nyie.
 
Watakuja tuelezea vizuri tukiishamaliza kazi 28/10

..aliyepanga tukio la kumuua TL alikosea kuondoa ulinzi wote.

..hiyo ndio imesababisha waliopanga wajulikane hata na mtu wa kawaida.

..jambo lingine ni kumnyima msaada wakati TL akiwa hoi-bin-mahututi.

..serikali kujiweka kando wakati TL akihitaji kuwahishwa Nairobi. WHY?
 
Wapi Ben Saanane, kijana mdogo wa PHD anakatizwa doto yake

wapi Azory, mwandishi tu aliyeacha mke na vitoto vidogo; wapi Mawazo? Aliyeacha pia mke na vitoto vidogo

Kwa amri ya nani watu walimimina risasi zaidi ya 30 kwemye mwili wa binadamu?

Hii ndiyo Tanzania inayojengwa na hii CCM mpya?

Tunahitaji TUNU ya taifa letu back!!

Tundu Antipas Lissu ni jibu....ujinga umezidi sana nchi hii...watanzania simameni wote kwa umoja wenu huyu jamaa aondoke ..hafai kuongoza taifa lenu.
 
Sisi tunachowezakusema ni hiki - kuwa Lissu alipigwa risasi hizo 16 za ndege na wenzake kwa lengo la kumfanyia njia ya kwenda Ulaya kutayarishwa kwa haya afanyayo na asemayo kwa nia na lengo OVU na kutaka kuichokza Serikali na vyombo vya dola, LAKINI wote wanajua anachotafuta, hivyo wameamua kumnyamazia tu!
Uzuri wake wakati wa KUJA kutubu u karibu sana. D DAY 28/10
Mama Samia katwambia kuwa huwa mnaua kabisa kwa risasi zisizo zidi tatu.
Kumbe ndio maana alitumwa kwenda kuthibitisha kama KWELI bado yu hai.
 
Mwambieni Magufuli amkamate ndio mtajua hamjui bado,Mahakimu si kawateua yeye,ampeleke mahakamani tuone.
 
Back
Top Bottom