Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaaa,umombo wa nini? Nataka kukuambia mahakama zipo huru.
Ahaaaa, we una chuki na JPM.Sio chini ya Magufuli.
Ahaaaa, we una chuki na JPM.Sio chini ya Magufuli.
Ahaaaa, we una chuki na JPM.
Ahaaaa, we una chuki na JPM.Sio chini ya Magufuli.
Wewe una chuki. Hivi yule mama bibi kizee wa Arusha aliyedhurumiwa ardhi anaweza kukuelewa wewe? Jinsi JPM na serikali yake ilivyompatia haki yake?Jitahidi kutenganisha ukweli na chuki.
Kwani hili nalo ni jambo la kuletwa hapa lijadiliwe?Mtakumbuka kuwa tangu Tundu lisu ashambuliwe hapa Dodoma hakuwahi kusema nani alikuwa nyuma ya tukio lile zaidi ya kusema makonda alikuwepo Dodoma kitu ambacho kilionekana kama uzushi tu na alikaa miaka yote bila kusema nani alipiga au kusema kama serikali ilihusika au la.
Jana mkoani lindi Lissu kaibuka na hii hoja inayoonekana kama kiki tu, Lissu ni mwanasheria hapa anajua hana ushahidi wa jambo hili analomtuhumu Rais, huku akijua baada ya kampeni atajibu hili mahakamani .
Naviomba vyombo vya uchuguzi vimuache amalize kampeni asipate kiki ila akimaliza wamtaiti mpaka aache kuropoka
Mgombea wao ndio kabisa anatia aibu kwa uongo kuhusu hoja za wabunge wetu, ndani ya bunge.Acha upumbavu wewe sababu nyinyi ndio mnamzushia uongo kiongozi wetu Mh Tundu Lisu.
Ushoga mmeubariki nyinyi alafu mnamsingizia! Rejea mlivyomkana makonda mkaandika na barua kuwabembeleza mabeberu kuwa mashoga na wasagaji wapo huru Tanzania.
Mkaja tena na uzushi wenu kuwa anatumika na mabeberu ila chaajabu rasilimali karibu zote mlishawapa hao mabeberu.
CCM siku hizi haina tofauti na kikundi cha wahuni
Watakuja tuelezea vizuri tukiishamaliza kazi 28/10..jeshi la Polisi wafanye uchunguzi.
..vinginevyo Tundu Lissu ataendelea kuwataja wale anaohisi wanahusika.
..ila mimi naamini anachokisema kwasababu hakuna maelezo ya kwanini walinzi wa area D waliondolewa siku aliyoshambuliwa Tundu Lissu.
Mnapoandika hivyo mnamaanisha kuwa kweli mlitaka kumuua kwa hiyo wauwaji wa Lisu ni nyie.Lissu hana tofauti na wakina Kambona wa enzi za Nyerere. Hivi Nyerere angecheka na akina Kambona leo Tanzania tungekuwa wapi?
Lissu kurudi Tanzania wengine bado tunashangaa imekuwa kuwaje? Kambona alikaa huko uhamishoni akarudi Tanzania akakaa kwa heshima kusubiria kufa tu. Hata akina Babu ilikuwa hivyo hivyo. Sasa huyu Lissu anayezunguka akipayuka na kumkashifu Rais ni nani hasa.?
Watakuja tuelezea vizuri tukiishamaliza kazi 28/10
Uzuri wake wakati wa KUJA kutubu u karibu sana. D DAY 28/10Sisi tunachowezakusema ni hiki - kuwa Lissu alipigwa risasi hizo 16 za ndege na wenzake kwa lengo la kumfanyia njia ya kwenda Ulaya kutayarishwa kwa haya afanyayo na asemayo kwa nia na lengo OVU na kutaka kuichokza Serikali na vyombo vya dola, LAKINI wote wanajua anachotafuta, hivyo wameamua kumnyamazia tu!