Lissu asiwe kichwa cha zege asome alama tuu

Ashampoo burning

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2023
Posts
593
Reaction score
2,219


Unajua Lissu anajitia hajui kuwa hali iko hivi, Rais Samia 2025 hataki kabisa upinzani mkali, sasa Lissu yeye anakomaa. Mambo tayari yako mezani pale Mbeya, wataka jimbo Sugu apate na Tulia apate.

Ukija Arusha wataka jimbo pia Lema apate alipe madeni yake na Gambo apate. Kule iringa Msigwa nae watamuonea tu huruma.

Sasa Lissu yeye anajifanya kichwa ngumu ndio maana wenzie wataanza kumpiga nyundo, maana wamechoka kukaa mitaani.

Lissu yeye anataka Katiba ndio mambo mengine yafuate, wakati wenzie wako tayari kwa lolote warudi Bungeni.

Mfano Sugu hela ya kujenga hotel angepata wapi kama sio Ubunge? Sasa sasa hivi kashaaambiwa njia nyeupe utarudi, hujimsikia akipiga kelele.

Lissu bora tu ukae kimya unaingiza nzi kwenye togwa, kina Lema watakupiga makofi. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Lissu hela anayo ndio maana ana misimamo.
 

Chawa wa Mbowe wote ni MAMLUKI!
 
Ishi tu kutokana na hisia zako jinsi zinavyokutuma kufanya, lakini tambua ukweli kuwa JPM kaifanya CDM kuwa taasisi imara sana. Chama kipo imara na kinachukua tahadhari zote kuhusu kuwepo kwenye meza ya maridhiano.

CDM inatambua kwa kina hii ni "win-loose situation" kwa hiyo inalazimika kuwa na mipango mbadala endapo maridhiano yakivirugika. Ni lazima mpango mkakati uwe na sura mbili kuendana na hali ilivyo hivi sasa, na pia jinsi ambavyo itapokuwa katika hali za mashaka na nyakati za kutokuaminiana.
 
Subiri ufike chairman atamshughulikia atakaa kimya!
 
Mnaomba poo, hamna kuomba poo, lazima mle za chembe hadi mkae.
Sugu alirudi kutoka USA na hela ya kutosha. CCM mlidhulumu mradi wake wa malaria, mnajidai mmesahau?
 
GT..achana na huyo ...CDM wanavuruga mno ....Nipo Mwanza Mkuu....Wenje anaharibu CCM kila uchao
 
Punguza uoga. Tupo na Lissu mpaka mwisho. Ubunge wa dezo hatutaki
 
Mnaomba poo, hamna kuomba poo, lazima mle za chembe hadi mkae.
Sugu alirudi kutoka USA na hela ya kutosha. CCM mlidhulumu mradi wake wa malaria, mnajidai mmesahau?
Aliingia kichwa kichwa kwa mastermind Ruge akapigwa za mbavu akaanza kulia kama mbwa koko.
 
Punguza uoga. Tupo na Lissu mpaka mwisho. Ubunge wa dezo hatutaki
Acheni udwanzi bwana....Haijalishi.....CCM kwenye ulingo sawia - Uchaguzi .,.CHADEMA...hawashindiki....Walah....Mungu ni Samehe na ni rehemu tu,ukinihitaji poa. ..Hongereni tu CHADEMA,mna poragwa ushindi tu...,Mnakwaza wafuasi/Wanachama.....Munasaidikaje?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…