ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Siwezi rudia maelezo ambayo Yako humu,shutuma za Lisu Kwa Mbowe zimeeipotiwa wiki yote hii na ndio msingi wa mada hapo Juu.
Yule sio mzima, nadhani ana matatizo ya Kisaikolojia na akili.Nimelia sana, Lissu hana utu wala uungwana
Kwa hiyo Haki ya Wananchi ni kutukana Samia na kuhubiri mfarakano wa Kitaifa? Hiyo ndio Haki ya Wananchi wa wapi?Tundulissu anasimamia Haki za wananchi hivyo hawezi kukubalia ikiwa utaendelea kuwa mwizi .
Mambo ya ulimsaidia hayana maana ikiwa unaiba
Huna hoja wewe ulichoandika hapo hujakifanyia utafiti muda mwingine kunyamaza hukusaidia kuficha ujinga ulionaoChangia mada, usijitungie swali halafu ulete majibu
amini nakwambia panda kwa ufupi na unene kamwe hawez kurusha mateke unless umeathiliwa sana na filamu ya Kung Fu panda. NawasilishaShukrani ya panda ni mateke
Shukrani ya panda ni m
Shukrani ya punda ni mateke.
Kwahiyo hii ndio namna pekee ya kumtuliza Lissu? Hoja zake moto zimewashinda kuanzia viongozi wenzie huko CDM mmebaki kukumbushana fadhila?Lissu mi kama kachanganyikiwa au kuna mtu anamfanyia vitendo vya ushirikina akosane na watu waliombeba akiwa hoi kwa risasi.
Mbowe hakulala akipinga Lissu asipelekwe Muhimbili, akatoa hela mfukoni akakodi ndege akampeleka Nairobi, akamuombea na ulinzi kutoka serikali ya kenya ili zimwi mla watu (R.I.H) asimmalizie.
Kiongozi pekee aliyeenda kumuona Lissu katikati ya vitisho na makundi ya chinja chinja ya yule jamaa ni Samia. Akamfuata huko ubeleji alikokuwa anaishi pekee akampa nauli akarudi Tanzania.
Inasemwa kwamba baada ya SSH kutoka Nairobi, yule jamaa na kundi lake, rasmi walimtenga SSH kwa kila jambo ndani ya serikali, hata kumsalimia ilikuwa kosa la jinai, ukimsalimia kesho huna kazi.
Leo Lissu kaandaa ritani ya matusi dhidi ya watu waliomfanyia wema, kasahau hata kuwatukana waliompiga risasi, anashambulia waliomuokoa.
Bhojo kaziro!
View attachment 2981389
Kwa hiyo Haki ya Wananchi ni kutukana Samia na kuhubiri mfarakano wa Kitaifa? Hiyo ndio Haki ya Wananchi wa wapi?
Kwahiyo hii ndio namna pekee ya kumtuliza Lissu? Hoja zake moto zimewashinda kuanzia viongozi wenzie huko CDM mmebaki kukumbushana fadhila?
Kuna nyakati za fadhila na ukweli, huu ni wakati wa ukweli. Wakati wa fadhila mtakumbukwa ikifika tarehe aliyofanyiwa shambulio.
Hapana, mimi namtetea Mbowe. Ni tofauti kidogo na Zitto.Mbowe ni Afisa tu kama Zitto huna ujualo
Nimemaliza 🐼
Onesha hayo matusi kwanza tuyaone mkuu .
Ina huna uwezo wa kujua matusi na kuambiwa ukweli ?
Sasa hii speech Ina tusi gani unayajua matusi wewe?
Ni sawa lakini tafsiri yake ni kwamba yeye peke yake atakuwa amewazidi akili serikali nzima ni aibu na fedhehaEndeleeni kumjaza gas,Msaada mtakaompa ni kusema pole kama [emoji23][emoji23]
Usiwe mpumbavu. JF siyoi mahala pa kutishia watu. Lissu yupo, na ataendelea kuwepo na kuwafungua macho waliolala kama nyinyi.Endeleeni kumjaza gas na vile hana hekima atajaa.
Mwisho wa siku Cha maana mtakachomsaidia ni kusema pole
LIssu mwenyewe aliongea kwamba mzee turki ndio alisimamia na kutoa gharama ya ndege na matibabu na hakupenda mtu yoyote ajue, baada ya turk kufariki lissu ndio alitoa siri hii sasa huyo mbowe katokea wapi?Nimekupa za ndaani kabisa, hata tiketi ya mke wa Lissu na watoto kwenda ubeleji ni kazi ya Mbowe
Nakushauri uendelee kulia, kwa sababu huu ni mwanzo tu. Uovu wenu wote, na ulaghai mwingi mnaoutumia kwa kutumia lugha laini huku mkifanya uovu utafunuliwa wote kwa wananchi.Nimelia sana, Lissu hana utu wala uungwana
Na huo ndio ukweli wenyewe ! Turki ndiye aliyekodisha ndege mpaka Nairobi !L
LIssu mwenyewe aliongea kwamba mzee turki ndio alisimamia na kutoa gharama ya ndege na matibabu na hakupenda mtu yoyote ajue, baada ya turk kufariki lissu ndio alitoa siri hii sasa huyo mbowe katokea wapi?