Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Kumpigia kura Lisu ni sawa na kumkabidhi Fisi Bucha,
Yatakuja mafisi yanayomendea rasilimali zetu kuzitafuna mpaka isibaki hata mfupa.
Lisu mwenyewe kasema ataweka mali zetu rehani ili apate fedha za maendeleo. (Hili katumwa na mabeberu aje kulifanya ).
Atatugawa kwa majimbo ili iwe rahisi kutawalika na hayo mafisi yaliyomtuma.
Lisu sio wa kumuonea huruma ni wa kumkata, ataliingiza hili Taifa kwenye majuto makuu.
Yatakuja mafisi yanayomendea rasilimali zetu kuzitafuna mpaka isibaki hata mfupa.
Lisu mwenyewe kasema ataweka mali zetu rehani ili apate fedha za maendeleo. (Hili katumwa na mabeberu aje kulifanya ).
Atatugawa kwa majimbo ili iwe rahisi kutawalika na hayo mafisi yaliyomtuma.
Lisu sio wa kumuonea huruma ni wa kumkata, ataliingiza hili Taifa kwenye majuto makuu.