Tuache cheap politics na kugeuzana wajinga kama ana hoja mbadala aje na hoja zilizosimama! Bila kodi atapata wapi nyongeza ya mishahara, ajira, fidia nk. Ajiara 13,000 zinauhusiano gani na Lisu, tafadhali onyesha. Unakoelekea utasema na mshahara wa mwezi wa tisa tumshukuru Lisu, madeni na malimbikizo mbona tumelipwa wakati yuko busy anatuchongea kwa wafadhili?! Tuweni waungwana kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu , siyo ushabiki tu!
Tupooo[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]tushamuunga mikono na miguu nini kumpa kura mapema tu
Tukumbuke kuwa Tundu Lissu alivuliwa ubunge akiwa mgonjwa na wala hakulipwa kiinua mgongo. Tusiache kumchangia mafuta na maji ya kunywa katika safari ya ukombozi.
Wote tujitokeze kumpigia kura 28/10/2020.
Walimu 13,000 mliopata ajira juzi. Asante yenu kwa Lissu ni kura zenu.
Wamachinga, sasa mmeambiwa kitambulisho si muhimu. Asante yenu kwa Lissu ni kura zenu.
Wakulima, mtapata nafasi ya kutafuta masoko yenye tija nchi jirani kwa ushirika wenu. Kura zenu kwa Lissu zitafanikisha haya.
Wanafunzi, mikopo ya elimu ya juu hata kwa walio soma English Medium. Mpeni kura Tundu Lissu.
Huduma bora za afya kwa wote. Kura kwa Tundu Lissu.
Mliobomolewa nyumba bila fidia, kura zenu kwa Lissu zitamuwezesha kufuta machozi yenu.
Wafanyakazi Lissu ameahidi kuhakikisha ongezeko la mishahara linafanyika kila mwaka. Kura yako itafanikisha haya.
Wafanyabisshara kodi itatokana na mapato yako, hakuna kodi za kukomoana. Mwezesheni Lissu kufanikisha haya.
https://www.facebook.com/
Hili nalo nyumbani utakuta lina familia ptuuKimsingi Lissu anasaka kura za huruma.
Suala usaliti na lengo la kuivurugaTanzania halijaisha vichwani mwa Watanzania
Mpaka sasa anasuswa na Mwenyekiti wake ujue hatopata kura za kujaa hata kikombe
Zawadi yangu kwa Lissu ni kumpigia kura. Over
Tukumbuke kuwa Tundu Lissu alivuliwa ubunge akiwa mgonjwa na wala hakulipwa kiinua mgongo. Tusiache kumchangia mafuta na maji ya kunywa katika safari ya ukombozi.
Wote tujitokeze kumpigia kura 28/10/2020.
Walimu 13,000 mliopata ajira juzi. Asante yenu kwa Lissu ni kura zenu.
Wamachinga, sasa mmeambiwa kitambulisho si muhimu. Asante yenu kwa Lissu ni kura zenu.
Wakulima, mtapata nafasi ya kutafuta masoko yenye tija nchi jirani kwa ushirika wenu. Kura zenu kwa Lissu zitafanikisha haya.
Wanafunzi, mikopo ya elimu ya juu hata kwa walio soma English Medium. Mpeni kura Tundu Lissu.
Huduma bora za afya kwa wote. Kura kwa Tundu Lissu.
Mliobomolewa nyumba bila fidia, kura zenu kwa Lissu zitamuwezesha kufuta machozi yenu.
Wafanyakazi Lissu ameahidi kuhakikisha ongezeko la mishahara linafanyika kila mwaka. Kura yako itafanikisha haya.
Wafanyabisshara kodi itatokana na mapato yako, hakuna kodi za kukomoana. Mwezesheni Lissu kufanikisha haya.
https://www.facebook.com/
Familia hata panya ana afamilia, je ni familia bora au bora familia?Hili nalo nyumbani utakuta lina familia ptuu
Sera zenu zipo wazi.Hili nalo nyumbani utakuta lina familia ptuu