Lissu ana fursa ya kuongea katika vikao vya chama, kwa nini aropoke mabarabaraniMnajaribu kufanya damage control eh
Lissu kama mwanachama ana haki ya kutoa maoni yake kama raia na mwanachama huo haukuwa mkutano wa chama.
Halafu CCM mbona hamna makamu mwenyekiti hadi leo tangia Kinana alazimishwe "kujiuzulu" kama Ndugai.
Dah! Yaani mpaka Ally Kamwe kaungana na wafanyakazi wa Manispaa kuzoa taka!asali kitu kibaya sana waulezi yanga
Unaelewa maana ya kuropoka?Lissu ana fursa ya kuongea katika vikao vya chama, kwa nini aropoke mabarabarani
Yatajadiliwa maana CCM ndio walioshika serikali kwa sasa na walisema wameufuta upinzani rasmi 2020.mambo ya ccm waachie ccm wenyewe hayakuhusu
SASA KINAKUFA CCM AU CHADEMA ?CCM IMESIMAAMA IMARA CHADEMA WANAJIULIZA WARUDI NYUMA KUJIPANGA WEWE NI NANI MPAKA USEME CCM INAKUFA? ONA HATA AIBUTrue ni uongo Bora kususia uchaguzi fake wa kizimkazi
CCM kimekufa na mwaka huu mmoja kuelekea 2025 bila kufanya mabadiliko ya kweli chama hiki kinadondoka.
ACT HAITOKUJA KUWA CHAMA KIKUBWA CHA UPINZANI. SABABU HAIJAWAHI KUWA CHA UPINZANI. LISSU ANA AKILI NI NGUMU YEYE AKAKAA KUJADILIANA NA SAMIA.LABDA SAMIA ATAFUTE WATU WA KUMSAIDIA KUJADILIANA NA LISSU.Lissu ndiye anasababisha kukosa upamoja wa kukabiliana na Samia kwa vile yeye anataka kugombea Urais na anaamini yeye ndiye bora kuliko wengine
Bado Lissu huyu huyu ndiye aliye haribu maridhiano ambayo Samia alikuja nan4R. Alianza kuyaponda majukwaaani wakati wenzie wanaendelea. Wakati huo 50% ya matakwa ya CHADEMA yalishakubaliwa na Samia.
Sera ya winner takes all ndiyo iliyoharibu maridhiano kwa vile Lissu alikuwa anataka Samia apokee matakwa yao yote.
Mbona ACT wanafanya siasa bila matusi kwenye majukwaa? Tusishangae miaka 15 baadaye ACT ikawa chama kikubwa cha upinzani nchini
Hueleweki!True ni uongo Bora kususia uchaguzi fake wa kizimkazi
CCM kimekufa na mwaka huu mmoja kuelekea 2025 bila kufanya mabadiliko ya kweli chama hiki kinadondoka.
Weka ushahidi!Mbowe atapata wapi guts za kusema kweli wakati yuko madarakani kwa shuruti na kashakula hela ya ccm?
Mbowe ccm=AUzuri wa Lissu siyo Mnafiki!
ACT=CCM B
Hamwezi ushindani huko ccm, mnaivuruga nchi kwa ujinga wenu, haya semeni ni kipi kinachowafanya mwaengue wapinzani bila ya sababu?Naona Lissu anatupa taulo, kabla hata mechi haijaanza, TKO ya mwamba wa kizimkazi
Hauzijui siasa dogo wa 2000. Huyo Lissu wako ataisha kama kina Christopher Mtikila tu au Seif Sharrif Hamad.ACT HAITOKUJA KUWA CHAMA KIKUBWA CHA UPINZANI. SABABU HAIJAWAHI KUWA CHA UPINZANI. LISSU ANA AKILI NI NGUMU YEYE AKAKAA KUJADILIANA NA SAMIA.LABDA SAMIA ATAFUTE WATU WA KUMSAIDIA KUJADILIANA NA LISSU.
Tengenezeni chama chenu ila CHADEMA ni ya Edwin Mtei na mkwewe Mbowe.Mbowe atapata wapi guts za kusema kweli wakati yuko madarakani kwa shuruti na kashakula hela ya ccm?
Umewasahau mke wa Edwin Mtei, na watoto wake, wote hicho ni chama chao. Una dukuduku lingine kwa msaada zaidi?Tengenezeni chama chenu ila CHADEMA ni ya Edwin Mtei na mkwewe Mbowe.
Mapungufu ya makusudi,nyie ndiye mnaenadi ujinga cha muhimu ni kuwasusia na uchaguzi wenuLissu na ubinafsi wake hajali huu uchaguzi wa serikali za mitaa maana yeye hagombei. Anasema tujipange upya kwa vile 2025 apete. Kwanini kama kuna mapungufu wasiombe zoezi kurudiwa
Hayo ni maoni yako. Yatizo lako hupendi kusikia ukweli. Hivi hiyo vita unayosema chadema kupigana (tena bila wewe) wamesalia wangapi baada ya kuenguliwa???Hivi wewe kama mwananchi jukumu lako ni nini? Kuwabeza wapinzani??Naona Lissu anaendesha mambo ya chama kama anavyofanya shughuli zake binafsi. Anatoa tamko kwamba huu uchaguzi wa mitaa chadema tumeshashindwa asubuhi tu. Hii inakatisha tamaa wanachama ambao walishajipanga ngazi za mitaa. Yaani katikati ya vita, anatangazia wanajeshi wa chadema kwamba watashindwa vita
Ametumwa na kikao kipi cha chama kutoa kauli hizo za kutangazia umma kwamba Chadema imepigwa uchaguzi wa mitaa. Nadhani huu ni ushahidi Lissu anatumika na maadui wa Chadema.
Hili Lina maslahi ya imma. Halihitajiki kuzungumziwa chumbani mkuu❗❗Lissu ana fursa ya kuongea katika vikao vya chama, kwa nini aropoke mabarabarani
Zitto anatembea na faili la Usajili wa Chama kwenye Frash icho bado sana na CCM ipo sana mpaka Wananchi waamue wenyewe bila Hivi Vyama UpinzaniLissu ndiye anasababisha kukosa upamoja wa kukabiliana na Samia kwa vile yeye anataka kugombea Urais na anaamini yeye ndiye bora kuliko wengine
Bado Lissu huyu huyu ndiye aliye haribu maridhiano ambayo Samia alikuja nan4R. Alianza kuyaponda majukwaaani wakati wenzie wanaendelea. Wakati huo 50% ya matakwa ya CHADEMA yalishakubaliwa na Samia.
Sera ya winner takes all ndiyo iliyoharibu maridhiano kwa vile Lissu alikuwa anataka Samia apokee matakwa yao yote.
Mbona ACT wanafanya siasa bila matusi kwenye majukwaa? Tusishangae miaka 15 baadaye ACT ikawa chama kikubwa cha upinzani nchini
Kwenye vikao amekuwa hapewi nafasiLissu ana fursa ya kuongea katika vikao vya chama, kwa nini aropoke mabarabarani
Misukule inamlinda mzee mbowe hadi huruma aiseeHili Lina maslahi ya imma. Halihitajiki kuzungumziwa chumbani mkuu❗❗