Pre GE2025 Lissu: Dkt. Slaa ni tishio kiasi gani kama sio ukandamizaji, tunahitaji kutengeneza nchi mpya kukomesha uonevu

Pre GE2025 Lissu: Dkt. Slaa ni tishio kiasi gani kama sio ukandamizaji, tunahitaji kutengeneza nchi mpya kukomesha uonevu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa Chadema na Wakili wa Dkt. Wilbroad Slaa, Tundu Lissu amesikitishwa kushikiliwa kwa muda mrefu mteja wake huyo ambaye ana umri wa miaka 76 bila kupewa dhamana huku akieleza kuwa ni uonevu.

"Hivi inawezekanaje kwa serikali hii, na mapolisi wake na waendesha mashtaka wake kumweka ndani muda wote huu mzee wa miaka 76, mzee Slaa alivyo tu ni tishio kiasi gani? Kama sio kukandamiza watu bure. Hivi ndio vitu ambavyo tunatakiwa tuvipige vita, tutengeneze nchi mpya, tupate sheria mpya, Katiba mpya itakayohakikisha kwamba mambo haya ya uonevu wa aina hii hayatokei tena kwa Wananchi wetu"

Soma, Pia: Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka
 
Mwenyekiti wa Chadema na Wakili Msomi, Tundu Lissu atoa neno mbele ya Mahakama Kuu ya Dar es Salaam

"Hivi inawezekanaje kwa serikali hii, na mapolisi wake na waendesha mashtaka wake kumweka ndani muda wote huu mzee wa miaka 76, mzee Slaa alivyo tu ni tishio kiasi gani? Kama sio kukandamiza watu bure. Hivi ndio vitu ambavyo tunatakiwa tuvipige vita, tutengeneze nchi mpya, tupate sheria mpya, Katiba mpya itakayohakikisha kwamba mambo haya ya uonevu wa aina hii hayatokei tena kwa Wananchi wetu"
Kwakweli ukiwaza unaahangaa hawa qenye madaraka wanavyoyatumia

Slaa ana issue gani? Mpaka umalizie nguvu kwake?
 
Wamlambe na kesi nyingine akae miezi miwili
 
Kwamba mwenye miaka 76 hatakiwi kuwekwa ndani/kushikiliwa?

Ndio, kosa aliosingiziwa lina dhamana. Pili ni Balozi humfungi Balozi kizembe, ukijisikia. Tatu sio tishio labda atakimbia. Kumdhuru mtu.
 
Mwenyekiti wa Chadema na Wakili wa Dkt. Wilbroad Slaa, Tundu Lissu amesikitishwa kushikiliwa kwa muda mrefu mteja wake huyo ambaye ana umri wa miaka 76 bila kupewa dhamana huku akieleza kuwa ni uonevu.

"Hivi inawezekanaje kwa serikali hii, na mapolisi wake na waendesha mashtaka wake kumweka ndani muda wote huu mzee wa miaka 76, mzee Slaa alivyo tu ni tishio kiasi gani? Kama sio kukandamiza watu bure. Hivi ndio vitu ambavyo tunatakiwa tuvipige vita, tutengeneze nchi mpya, tupate sheria mpya, Katiba mpya itakayohakikisha kwamba mambo haya ya uonevu wa aina hii hayatokei tena kwa Wananchi wetu"

Soma, Pia: Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka
Laana inamtesa Dr.Slaaa, sio suala la uonevu 🐒
 
Back
Top Bottom