matusi ya nini? jibu hoja..ndilo tatizo la JF na anonymity!Raia yeyote hatakiwi kunyimwa dhamana kwa kosa linalodhanika, usiwe nguruwe pori
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
matusi ya nini? jibu hoja..ndilo tatizo la JF na anonymity!Raia yeyote hatakiwi kunyimwa dhamana kwa kosa linalodhanika, usiwe nguruwe pori
Lisu unajua, ukisema nitakuua, hata uwe na umri wa miaka 200, iko shida itakupata pamja na kuwa huwezi kwenda kuua physically kwa umri wako!Mwenyekiti wa Chadema na Wakili wa Dkt. Wilbroad Slaa, Tundu Lissu amesikitishwa kushikiliwa kwa muda mrefu mteja wake huyo ambaye ana umri wa miaka 76 bila kupewa dhamana huku akieleza kuwa ni uonevu.
"Hivi inawezekanaje kwa serikali hii, na mapolisi wake na waendesha mashtaka wake kumweka ndani muda wote huu mzee wa miaka 76, mzee Slaa alivyo tu ni tishio kiasi gani? Kama sio kukandamiza watu bure. Hivi ndio vitu ambavyo tunatakiwa tuvipige vita, tutengeneze nchi mpya, tupate sheria mpya, Katiba mpya itakayohakikisha kwamba mambo haya ya uonevu wa aina hii hayatokei tena kwa Wananchi wetu"
Soma, Pia: Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka
Sio tusi, ni ushauri tumatusi ya nini? jibu hoja..ndilo tatizo la JF na anonymity!
yaaani wamekutana wote hawana akili hivi kama anajijua ni mzee wa miaka 76 kinachomfanay kufanya uchochezi yaaani na uzee wake anakesha kwenye mitandaio kuandika uzushi ili baadsae aje aonewe huruma? aache upumbavu wake hakuna nchi ya kuchezea kijinga hivyoMwenyekiti wa Chadema na Wakili wa Dkt. Wilbroad Slaa, Tundu Lissu amesikitishwa kushikiliwa kwa muda mrefu mteja wake huyo ambaye ana umri wa miaka 76 bila kupewa dhamana huku akieleza kuwa ni uonevu.
"Hivi inawezekanaje kwa serikali hii, na mapolisi wake na waendesha mashtaka wake kumweka ndani muda wote huu mzee wa miaka 76, mzee Slaa alivyo tu ni tishio kiasi gani? Kama sio kukandamiza watu bure. Hivi ndio vitu ambavyo tunatakiwa tuvipige vita, tutengeneze nchi mpya, tupate sheria mpya, Katiba mpya itakayohakikisha kwamba mambo haya ya uonevu wa aina hii hayatokei tena kwa Wananchi wetu"
Soma, Pia: Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka
kwahiyo anafanya ujinga makusudi ili aje apewe dhamana? anafundishwa adabu ili akitoka maji aite mma asirudie tenaAkili yako ndogo utaelewa nini? Kwa nini akae ndani kwa kosa lenye dhamana, hiyo ndiyo hoja kuu
kumuita mwenzako nguruwe pori ni tusi kubwa...stop that tabia. Jibu hoja kama huwezi just skip the postSio tusi, ni ushauri tu
Kwani kijana aliyechoma picha ya samia alikuwa tishio kiasi gani? Where is he?Mwenyekiti wa Chadema na Wakili wa Dkt. Wilbroad Slaa, Tundu Lissu amesikitishwa kushikiliwa kwa muda mrefu mteja wake huyo ambaye ana umri wa miaka 76 bila kupewa dhamana huku akieleza kuwa ni uonevu.
"Hivi inawezekanaje kwa serikali hii, na mapolisi wake na waendesha mashtaka wake kumweka ndani muda wote huu mzee wa miaka 76, mzee Slaa alivyo tu ni tishio kiasi gani? Kama sio kukandamiza watu bure. Hivi ndio vitu ambavyo tunatakiwa tuvipige vita, tutengeneze nchi mpya, tupate sheria mpya, Katiba mpya itakayohakikisha kwamba mambo haya ya uonevu wa aina hii hayatokei tena kwa Wananchi wetu"
Soma, Pia: Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka
Hujamuelewa. Suala hapa ni ni kwa nini ananyimwa dhamana, ni ni wazi ni amri kutoka juuKwamba mwenye miaka 76 hatakiwi kuwekwa ndani/kushikiliwa?