Pre GE2025 Lissu: Dkt. Slaa ni tishio kiasi gani kama sio ukandamizaji, tunahitaji kutengeneza nchi mpya kukomesha uonevu

Pre GE2025 Lissu: Dkt. Slaa ni tishio kiasi gani kama sio ukandamizaji, tunahitaji kutengeneza nchi mpya kukomesha uonevu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwenyekiti wa Chadema na Wakili wa Dkt. Wilbroad Slaa, Tundu Lissu amesikitishwa kushikiliwa kwa muda mrefu mteja wake huyo ambaye ana umri wa miaka 76 bila kupewa dhamana huku akieleza kuwa ni uonevu.

"Hivi inawezekanaje kwa serikali hii, na mapolisi wake na waendesha mashtaka wake kumweka ndani muda wote huu mzee wa miaka 76, mzee Slaa alivyo tu ni tishio kiasi gani? Kama sio kukandamiza watu bure. Hivi ndio vitu ambavyo tunatakiwa tuvipige vita, tutengeneze nchi mpya, tupate sheria mpya, Katiba mpya itakayohakikisha kwamba mambo haya ya uonevu wa aina hii hayatokei tena kwa Wananchi wetu"

Soma, Pia: Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka
Lisu unajua, ukisema nitakuua, hata uwe na umri wa miaka 200, iko shida itakupata pamja na kuwa huwezi kwenda kuua physically kwa umri wako!
 
Lissu hajui kwamba "kingamaji" Wake Mbowe sasa hayupo, na yeye ndio kioo cha chama, therefore he is within range. Zamani alikuwa anajificha mgongoni mwa Mbowe.
 
Mwenyekiti wa Chadema na Wakili wa Dkt. Wilbroad Slaa, Tundu Lissu amesikitishwa kushikiliwa kwa muda mrefu mteja wake huyo ambaye ana umri wa miaka 76 bila kupewa dhamana huku akieleza kuwa ni uonevu.

"Hivi inawezekanaje kwa serikali hii, na mapolisi wake na waendesha mashtaka wake kumweka ndani muda wote huu mzee wa miaka 76, mzee Slaa alivyo tu ni tishio kiasi gani? Kama sio kukandamiza watu bure. Hivi ndio vitu ambavyo tunatakiwa tuvipige vita, tutengeneze nchi mpya, tupate sheria mpya, Katiba mpya itakayohakikisha kwamba mambo haya ya uonevu wa aina hii hayatokei tena kwa Wananchi wetu"

Soma, Pia: Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka
yaaani wamekutana wote hawana akili hivi kama anajijua ni mzee wa miaka 76 kinachomfanay kufanya uchochezi yaaani na uzee wake anakesha kwenye mitandaio kuandika uzushi ili baadsae aje aonewe huruma? aache upumbavu wake hakuna nchi ya kuchezea kijinga hivyo
 
Akili yako ndogo utaelewa nini? Kwa nini akae ndani kwa kosa lenye dhamana, hiyo ndiyo hoja kuu
kwahiyo anafanya ujinga makusudi ili aje apewe dhamana? anafundishwa adabu ili akitoka maji aite mma asirudie tena
 
Mwenyekiti wa Chadema na Wakili wa Dkt. Wilbroad Slaa, Tundu Lissu amesikitishwa kushikiliwa kwa muda mrefu mteja wake huyo ambaye ana umri wa miaka 76 bila kupewa dhamana huku akieleza kuwa ni uonevu.

"Hivi inawezekanaje kwa serikali hii, na mapolisi wake na waendesha mashtaka wake kumweka ndani muda wote huu mzee wa miaka 76, mzee Slaa alivyo tu ni tishio kiasi gani? Kama sio kukandamiza watu bure. Hivi ndio vitu ambavyo tunatakiwa tuvipige vita, tutengeneze nchi mpya, tupate sheria mpya, Katiba mpya itakayohakikisha kwamba mambo haya ya uonevu wa aina hii hayatokei tena kwa Wananchi wetu"

Soma, Pia: Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka
Kwani kijana aliyechoma picha ya samia alikuwa tishio kiasi gani? Where is he?
 
Huyu babu anatafuta matatizo Bure.
Biashsra ya club house aikimbie kama ukoma!
 
Back
Top Bottom