Pre GE2025 Lissu: Dr. Slaa ndiye alimleta Lowassa CHADEMA

Pre GE2025 Lissu: Dr. Slaa ndiye alimleta Lowassa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Tundu Lissu amesema Dr. Slaa ndiye alimleta Edward Lowassa CHADEMA ndiye aliyeanzanisha hilo wazo, ndiye aliyeongoza timu zote za majadiliano za CHADEMA kujadiliana na timu ya Lowassa.

Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Aidha amesema na ndiye aliyetisha kikao cha kamati kuu cha kumkaribisha Lowassa, Na ndiye aliyenipigia mimi simu nikiwa jimboni kwangu Singida Mashariki tarehe 26 au 27 ya Julai 2015 na kuniambia njoo kuna kamati kuu ya dharula kesho.

Aidha
 
Dr. Slaa ndiye alimleta Lowassa CHADEMA ndiye aliyeanzanisha hilo wazo, ndiye aliyeongoza timu zote za majadiliano za CHADEMA kujadiliana na timu ya Lowassa.

Na ndiye aliyetisha kikao cha kamati kuu cha kumkaribisha Lowassa, Na ndiye aliyenipigia mimi simu nikiwa jimboni kwangu Singida Mashariki tarehe 26 au 27 ya Julai 2015 na kuniambia njoo kuna kamati kuu ya dharula kesho.
Hii issue ilikua wazi dk slaa akavutwa chemba na ccm na kumoa pesa na ubalozi
 
Babu anapigwa majungu akiwa selo
1737144078878.jpg

Dr. Slaa ndiye alimleta Lowassa CHADEMA ndiye aliyeanzanisha hilo wazo, ndiye aliyeongoza timu zote za majadiliano za CHADEMA kujadiliana na timu ya Lowassa.

Na ndiye aliyetisha kikao cha kamati kuu cha kumkaribisha Lowassa, Na ndiye aliyenipigia mimi simu nikiwa jimboni kwangu Singida Mashariki tarehe 26 au 27 ya Julai 2015 na kuniambia njoo kuna kamati kuu ya dharula kesho.
 
Amejibu vema tu ni namna gani Lowassa ameingia na yeye hakuwa amekubaliana, lakn hakuwa na namna. Hi ni dhambi amekiri kuitenda.
 
Ni vyema kama Lisu akikubali tu kuwa walikosea kumleta Lowasa CHADEMA.

Kukosea ni ubinadamu. Cha muhimu ni kujifunza kutokana na hayo makosa.
Na amekosea kwa sababu taasisi nzima ilikosea hivyo kama sehemu ya taasisi amekubali dhambi hiyo
 
Dr. Slaa ndiye alimleta Edward Lowassa CHADEMA ndiye aliyeanzanisha hilo wazo, ndiye aliyeongoza timu zote za majadiliano za CHADEMA kujadiliana na timu ya Lowassa.

Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Na ndiye aliyetisha kikao cha kamati kuu cha kumkaribisha Lowassa, Na ndiye aliyenipigia mimi simu nikiwa jimboni kwangu Singida Mashariki tarehe 26 au 27 ya Julai 2015 na kuniambia njoo kuna kamati kuu ya dharula kesho.

Na Slaa ndiye aliyesema chama kimeuzwa. 😂😂
 
Suala la lowassa sijui hata kalijibuje.,......nasikia tu,
"Dr slaa ndiye aliyemleta......."
"Dr slaa aje alijibie hili kwanini alimleta"
"Ni kweli nami nilihusika katika suala hilo, siwezi kubisha"

Nimeenda kulala
Ndiomaana Mimi sikutaka kumsikiliza huyu jamaa .Kajitoa kabisa kwenye suala la Lowasa
 
Back
Top Bottom