Yan huo ujinga mgombea chadema asipokuwa lissu naipigia ccm.
Mbowe itakula kwakePiga chini tu.kwanza hana hela.Mbowe ni pesa kwanza mambo mengine ndo yafate.
Lissu anatinga timu Jumatatu ijayo na ndiye mgombea urais wa coalition ya upinzani kupitia chama chake cha Chadema.[SUP]Kuna bundi ameanza kutanda ktk chama kikuu cha upinzani CDM juu ya mpango wakumpiga chini Mh Lissu asigombee urais mwaka huu na huyu bundi ameanzia kamati kuu chonde chonde Chadema wananchi wengi wako nyuma ya lissu jifanyeni tu kama mmajikuna mkate jina Mh lissu hamtakaa msahau maamuzi yenu mabovu Andiko hili nilakuwaonya Viongozi kamati kuu[/SUP]
Nyalandu amejipanga kiuchumi kufanya kampeni kama mgombea urais lkn mbelgiji mfuko umetoboka ni maneno meengi wakati mwenye chama anataka pesa itangulie sio maneno.Mbowe itakula kwake
Tuliwatoa gerezani kwa miamia zetu asilete utani kabisaNyalandu amejipanga kiuchumi kufanya kampeni kama mgombea urais lkn mbelgiji mfuko umetoboka ni maneno meengi wakati mwenye chama anataka pesa itangulie sio maneno.
Ki ukweli kama watafanya tofauti watu wengi hawatawaelewa!! Acha tushindwe tukiwa na jemedari LISU!!! hakuna atakaye laumu mtu, ila wakifanya tofauti, hata waliokata tamaa na kupiga kura hawatajitokeza kamwe!!!Mbowe na wenzako hebu msimamisheni Lisu ili tukapige kura hata sisi tuliokata tamaa, Kama mkiamua vinginevyo mtaijua vizuri nguvu ya uma, ambayo huwa mnaihubiri kila siku.
KabisaaaaaaaaaaaahSiamini kama Nyarandu anaweza kuwa mgombea wa Chadema,kwa lipi alilolifanya?kama kweli Mbowe atamtosa Lissu,Basi yote anayosingiziwaga yatageuka ukweli.Remember NCCR na Mrema