Uchaguzi 2020 Lissu hajui historia mbinu anayotumia ya ngangari CUF Zanzibar walishaitumia haikuwafikisha popote

Uchaguzi 2020 Lissu hajui historia mbinu anayotumia ya ngangari CUF Zanzibar walishaitumia haikuwafikisha popote

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Siasa za Lissu za sasa ni zile zilizopitwa na wakati ambazo akina Maalim Seif walizitumia sana kule Zanzibar zilikuwa zikiitwa siasa za ngangari Hadi kieleweke. Hadi wakaagiza visu na kufanya vitendo vya kigaidi .Mwisho was siku wakaja kugundua kuwa haziwapeleki popote wakaziacha

Sasa Lissu kaziokota kwenye jalala la historia anajiona yeye ndie kamanda. Mkuu wa ngangari aliyeshushwa na Allah kuwangungurisha watanzania!! Ana Messianic lunatism!!

Lissu asome historia ya hiyo mbinu ya ngangari kwanini haokufanikiwa

Pia ajiulize kwanini maandamano ya Mange Kimambi aliyoaitisha na yeye Lisu akasema ataongoza kwa Nini hayakufanikiwa? Kwa Nini wali change direction

Je, anadhani ngangari yake itafanikiwa? Kwa nini Kuna tofauti na ngangari za akina Seif Sharrif Hammad ambako watu walikuwa tayari hata kujitoa muhanga

Ninachokiona Lisu anadhani kugundua kitu kipya ambacho serikali haijawahi kukutana nacho kuwa Ni Mara ya kwanza kutokea!!!

Anyway anajaribu kucopy Let us mwishowe itakuwaje lakini sidhani Kama hata hiyo strategy anatumia Kama aliifanyia analyisis akiwa nawatu waliobobea kwenye political science Kama akina professier Baregu Ange m consult amsaidie

It is just a reminder ythat there is nothing new under the sun
 
Kama unadhani siasa za Lissu zimepitwa na wakati basi elewa kuanzia sasa, kuna mtu siasa zake kama ni ubaya basi ni mara sita ya Lissu, lakini siasa zake hizo ndiyo zimemfikisha hapo alipo na zinamhakikishia kuendelea kuwepo.
Usilalamike Jiwe kukutana na Chuma
 
TOFAUTI YA NGANGARI YA CUF NA YA LISSU' ILE YA CUF ILIKUWA HAINA USHAWISHI TOFAUTI NA HII YA LISSU,

AU NISEME ILE YA CUF ILIKUWA NI KAMA KUPIGA MIZINGA HEWANI KWENYE SHEREHE ZA KUMBUKUMBU YA UHURU WAKATI
HII YA LISSU NI KUPIGA MIZINGA KWENYE UWANJA WA MAPAMBANO
 
Unashauri aseme akiibiwa kura amwachie Mungu?Zanzibar 2015 Maalim Seif alikosea Sana baada ya kupokwa ushindi, hilo ni funzo tosha!Ifike mahali mtambue mkicheza na sanduku lá kura kuna kuwajibika! Sanduku la kura na maamuzi ya wapiga kura viheshimiwe,hilo ndio lá msingi kama tunataka kuendelea kuwa taifa lenye amani na utulivu!
 
Aliyeshika usukani hapendwi ndani na nje ya chama chake. Ndani ya chama timu Kinana, timu Kikwete, timu Makamba, timu Nape wote hawa wanampa tabasamu la kinafiki tu. Subiri uone atakavyo dondoka.
 
Lisu asome historia ya hiyo mbinu ya ngangari kwa nini haikufanikiwa
Kwa kuwa mgombea wa CHADEMA anatumia mbinu ambazo hazijawahi kufanikiwa, nilitegemea mwana CCM awe anachekelea uvunguni na wala asimshtue au kumshauri Lissu. Sasa ajabu ni kwamba mwana CCM anamshtua mwana Chadema kuhusu mbinu zisizoleta mafanikio!
 
Unashauri aseme akiibiwa kura amwachie Mungu?Zanzibar 2015 Maalim Seif alikosea Sana baada ya kupokwa ushindi, hilo ni funzo tosha!Ifike mahali mtambue mkicheza na sanduku lá kura kuna kuwajibika! Sanduku la kura na maamuzi ya wapiga kura viheshimiwe,hilo ndio lá msingi kama tunataka kuendelea kuwa taifa lenye amani na utulivu!
Maneno kuntu!
 
We Pimbi na wenzako mbona mnahaha Sana na Lissu? Kwa kukusaidia Lissu anajua anachofanya .Iliushinde urais Kuna factors ambazo ni internal and external kijana , safari hii wizi wa kura tutawaona, bora msiibe tu .
 
Aliyeshika usukani hapendwi ndani na nje ya chama chake. Ndani ya chama timu Kinana, timu Kikwete, timu Makamba, timu Nape wote hawa wanampa tabasamu la kinafiki tu. Subiri uone atakavyo dondoka.
Hao wenye mitandao mbona hawawi marais basi? Jamani mambo mengine tutafakari sana .
 
Kama unadhani siasa za Lissu zimepitwa na wakati basi elewa kuanzia sasa, kuna mtu siasa zake kama ni ubaya basi ni mara sita ya Lissu, lakini siasa zake hizo ndiyo zimemfikisha hapo alipo na zinamhakikishia kuendelea kuwepo.
Usilalamike Jiwe kukutana na Chuma
Una maana gani na hilo neno 'chuma'?
 
Aliyeshika usukani hapendwi ndani na nje ya chama chake. Ndani ya chama timu Kinana, timu Kikwete, timu Makamba, timu Nape wote hawa wanampa tabasamu la kinafiki tu. Subiri uone atakavyo dondoka.
Magufuli ni chaguo la wananchi wa Tanzania
 
Haumjui lissu wewe,hivi ungekuwa wewe umepigwa risasi 16 ungerudi kweli TZ? Mambo ya visu vya CUF kutoka kwa Mahita unaonekana siasa umezijulia 2015,hauwezi kutofautisha Ze comedy show ,Vituko Show ,Mizengwe au Futuhi kila kitu unachoona kwenye TV kina mambosasa wakiongea unakichukua tu kweli ma CCM yamejaa Ma ZERO brains yasiyoweza kudigest taarifa.
 
Hivi unadhan mpaka kupatikana SUK chama chakavu walilipenda?endeleen kuweweseka chuma kinarindima
 
Back
Top Bottom