Uchaguzi 2020 Lissu hajui historia mbinu anayotumia ya ngangari CUF Zanzibar walishaitumia haikuwafikisha popote

Uchaguzi 2020 Lissu hajui historia mbinu anayotumia ya ngangari CUF Zanzibar walishaitumia haikuwafikisha popote

Aliyeshika usukani hapendwi ndani na nje ya chama chake. Ndani ya chama timu Kinana, timu Kikwete, timu Makamba, timu Nape wote hawa wanampa tabasamu la kinafiki tu. Subiri uone atakavyo dondoka.
Kama atapita subiria next yrs uone mchomozo wa Makundi,
 
Aliyeshika usukani hapendwi ndani na nje ya chama chake. Ndani ya chama timu Kinana, timu Kikwete, timu Makamba, timu Nape wote hawa wanampa tabasamu la kinafiki tu. Subiri uone atakavyo dondoka.
Thus aliprint fomu moja kuogopa wajumbe
 
Unashauri aseme akiibiwa kura amwachie Mungu?Zanzibar 2015 Maalim Seif alikosea Sana baada ya kupokwa ushindi, hilo ni funzo tosha!Ifike mahali mtambue mkicheza na sanduku lá kura kuna kuwajibika! Sanduku la kura na maamuzi ya wapiga kura viheshimiwe,hilo ndio lá msingi kama tunataka kuendelea kuwa taifa lenye amani na utulivu!
Leo Mkapa hayupo sijui watamtegemea Nani,ccm anga limeshawakataa
 
Kama unadhani siasa za Lissu zimepitwa na wakati basi elewa kuanzia sasa, kuna mtu siasa zake kama ni ubaya basi ni mara sita ya Lissu, lakini siasa zake hizo ndiyo zimemfikisha hapo alipo na zinamhakikishia kuendelea kuwepo.
Usilalamike Jiwe kukutana na Chuma
Jiwe kapatikana Safari hii,hapa amekosekana tu Mtikila Mungu amrehemu hakika watz tusingeonewa na Hawa majahili madhalimu
 
Siasa za Lissu za sasa ni zile zilizopitwa na wakati ambazo akina Maalim Seif walizitumia sana kule Zanzibar zilikuwa zikiitwa siasa za ngangari Hadi kieleweke. Hadi wakaagiza visu na kufanya vitendo vya kigaidi .Mwisho was siku wakaja kugundua kuwa haziwapeleki popote wakaziacha

Sasa Lissu kaziokota kwenye jalala la historia anajiona yeye ndie kamanda. Mkuu wa ngangari aliyeshushwa na Allah kuwangungurisha watanzania!! Ana Messianic lunatism!!

Lissu asome historia ya hiyo mbinu ya ngangari kwanini haokufanikiwa

Pia ajiulize kwanini maandamano ya Mange Kimambi aliyoaitisha na yeye Lisu akasema ataongoza kwa Nini hayakufanikiwa? Kwa Nini wali change direction

Je, anadhani ngangari yake itafanikiwa? Kwa nini Kuna tofauti na ngangari za akina Seif Sharrif Hammad ambako watu walikuwa tayari hata kujitoa muhanga

Ninachokiona Lisu anadhani kugundua kitu kipya ambacho serikali haijawahi kukutana nacho kuwa Ni Mara ya kwanza kutokea!!!

Anyway anajaribu kucopy Let us mwishowe itakuwaje lakini sidhani Kama hata hiyo strategy anatumia Kama aliifanyia analyisis akiwa nawatu waliobobea kwenye political science Kama akina professier Baregu Ange m consult amsaidie

It is just a reminder ythat there is nothing new under the sun
Hivi unadhan mpaka kupatikana SUK chama chakavu walilipenda?endeleen kuweweseka chuma kinarindima
Hapa sio mbinu ilisha tumika Jambo ni haki itendeke ama ionekane inatendeka sii kwa upande lfulani Bali kwa washiriki wote kwa usawa kulingana na kaninu sii tuu zile zilizolenga upande Fulani Bali kwa mujibu wa katiba .
 
Mleta mada nimekusikiliza kwa kusoma,
Upo sahihi sana,hivi karibuni kuna mchambuzi wa mambo ya siasa na uchumi toka kenya alisema...kama lissu anataka kugain more popularity and powee amuige Mandela, kwa maana ya kwamba asitumie siasa za maneno makali na kushambulia kwa maneno anaodhani walimdhulu. Awe mtulivu, ajikite katika kuangalia mapungufu ya serikali na kueleza mikakato na ilani yao katika kumkwamua mtanzania...

Lakini toka lissu kaanza kupanda majukwaani amekuwa akiongea kwa maneno makali,kushambulia na kushutumu ,na zaidi anategemea huruma ya watu, halafu kuna watu watakuwa tu wanajitokeza kwenye mikusanyiko yake ili wamuone anavyofanana baada ya kupona, na huenda ikawapa imani chadema kuwa watakuwa na wapiga kura wengi,kumbe hakuna,

Lakini pia anguko lingine kwa wapinzani kwenye kiti cha urais, wataenda kugawanaa kura, Membe na Lissu.na wwngine na kumuacha Jiwe akipeta.
 
Aliyeshika usukani hapendwi ndani na nje ya chama chake. Ndani ya chama timu Kinana, timu Kikwete, timu Makamba, timu Nape wote hawa wanampa tabasamu la kinafiki tu. Subiri uone atakavyo dondoka.
Mfano kweli akadondoka,hizo team Kinana,Nape,Makamba watafaidi nini nchi ikashikwa na wapinzani wao?,fikiria nje ya box utaliona hili,wao kwa wao watagombani ndani,lakini wakitoka nje wanakua wamoja,mark hii comment
 
ndani,lakini wakitoka nje wanakua wamoja,
Siyo kweli mkuu. Unakumbuka Nape alishikiwa bastola hadharani?
Unakumbuka Kinana ametukanwa na Musiba hadharani?
Unakumbuka Kikwete ametukanwa na Magufuli hadharani kwamba aache kuwashwawashwa?
Yawezekana upo nje ya nchi mkuu huyajui ya Tanzania
 
Back
Top Bottom